Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingunguti pale mahakama ya mbuzi unapita barabara ya karakata buguruni wapo kibao mpaka jana mm nimewakuta na bei ni zilezile tu.. huko scarcity inawez kuletwa na sabab nyingine nyingine za supply chainVijiwe vingi kuanzia kimara mbezi mpk goba hiyo namna inapatikana kwa tabu karibu na hamna
Unawashwa washwa hivi! Au naona vibaya?we unaonaje?
Nina hamu nayo sana iko bei gani huko?Vingunguti pale mahakama ya mbuzi unapita barabara ya karakata buguruni wapo kibao mpaka jana mm nimewakuta na bei ni zilezile tu.. huko scarcity inawez kuletwa na sabab nyingine nyingine za supply chain
Bei za mbuzi zle zle tu elf 60 au 70 itafute barabara inaitwa karakata. Hii barabara pia ina sehem maarufu inaitwa mahakama ya mbuzi na kuna baa kubwa sana mazingira hayoNina hamu nayo sana iko bei gani huko?
umeona vizuri, shangilia sasaUnawashwa washwa hivi! Au naona vibaya?
Mmmmmm vigumusanaaa.....hata exposure hapo ngumu sana.....ataisgia vitu nusu na robo unga kupima sukari kupima mjali mafuta kula....majani chai kufunga....trust meKwa hiyo akipanga chumba cha elf 10 hawez kununua mbuzi mzima au hawez kunywa wine?
Kwa kg? Mbuzi mzima mkuu sina shughuli eti🤣Bei za mbuzi zle zle tu elf 60 au 70 itafute barabara inaitwa karakata. Hii barabara pia ina sehem maarufu inaitwa mahakama ya mbuzi na kuna baa kubwa sana mazingira hayo
Unavijua vipaumbele vyake? Ushawah kuona mtu analalia godoro ulimi wa elf 48 wakati anavaa jinzi elf 40 na tisheti elf 25 na raba ya 150?Mmmmmm vigumusanaaa.....hata exposure hapo ngumu sana.....ataisgia vitu nusu na robo unga kupima sukari kupima mjali mafuta kula....majani chai kufunga....trust me
Sijawah kuulizia na kona hizo wanauza wazima mana ndo mahakaman ila sidhan kama itakuwa tofaut na bei ya ng"ombe. Mana mbuzi naona bei juu zanzibar tu kilogram ni elf 20Kwa kg? Mbuzi mzima mkuu sina shughuli eti🤣
OK shukraniSijawah kuulizia na kona hizo wanauza wazima mana ndo mahakaman ila sidhan kama itakuwa tofaut na bei ya ng"ombe. Mana mbuzi naona bei juu zanzibar tu kilogram ni elf 20
Asingeijua JF aloooo...?! tena..Unaeza kuta umepanga vingunguti chumba cha 10k
Imagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.
Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.
Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.
Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.
Serikali fanyieni kazi suala hili
Cc. Vincenzo Jr Kigamboni nyama ya mbuzi bei ikoje kwa buchani? Me nimeshazoea kuagiza iliyopikwa tuSh ngapi kilo moja kaka? Next week nitakuja huko nina appointment na kidemu changu kipya, kimezaliwa 2006 kinasoma VETA. Nakuja Kula Tunda kimasihara. Najua nikiwa huko nitapata na connection ya maziwa ya ngombe kutoka Kibada kule maziwa yao ni original na very healthier.
Afu 8 kakaCc. Vincenzo Jr Kigamboni nyama ya mbuzi bei ikoje kwa buchani? Me nimeshazoea kuagiza iliyopikwa tu
😁😁😄😄ila wewe ni kapumbavu! Nikafikri ulikuwa unasaka nyama ya mbuzi ukiwa na jambo la msingi! Kumbe urojo tu! Umeona mpira wa Makolo lakini? Wanasema Yanga hamtoki!Imagine leo nimezunguka hadi Shuu Butchers zote hakuna nyama ya mbuzi. Nimezunguka kwenye Bucha zote za MBASHA Meat Supply kote hakuna nyama ya mbuzi. Hadi MBASHA Butcher Meat Suppy ya pale VINGUNGUTI Machinjioni hakuna nyama ya mbuzi.
Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa jiji zima la Dar es salaam kukosa nyama ya mbuzi.
Yani leo imenibidi niwe fala kama wanaume walio oa. Nimenunua mbuzi mzima ( 150k) wakati Mimi shida yangu ilikuwa ni kilo 4 tu.
Kilo 2 za kupika na pilau kesho nyumbani kwa ajili ya sherehe ya Yanga na kilo 2 kwa ajili ya kutumia na wine yangu ili niende uwanjani nikiwa nimewaka. Nakunywa Pinot Noir mwenzenu original brand kutoka South Africa. Natakiwa niwe nimeshiba vizuri kabla ya kunywa.
Serikali fanyieni kazi suala hili