Serikali itoke mbele iseme imefilisika

Serikali itoke mbele iseme imefilisika

Hamna construction contactor bongo hapa mwenye ubavu wa kipesa wa kuhimili kusurvive mwaka bila malipo huku pesa zake zinatoka kuhudumia kuendesha kampuni na miradi .
Ni upuuzi sana serikali inafanya
Hizo kampuni zitakufa na nyingi zimeshaanza kufa , tuliona kipindi cha Magufuli ni nini kitolitea kwenye sekta ya ujenzi baada ya contractors kuminywa na kukosa tenda
Wapo sana inategemea unachukua kaz za ukubwa gani. Usichukue kaz inayozid uwezo wako. Kwa mfano ukienda kwenye tender na mhindi ana vifaa vyote na mtaji juu. Wewe unaweza kushinda tenda unaanza kaz za kukodi tena vifaa kwa mhindi huo mzigo ni mkubwa huwez kusurvive. Wako watu wanafanya kazi zaid ya tano kwa mitaji yao hujui tu.
 
Mkuu
Baba unaikimbiaje familia kisa huna hela??
Mkuu haujawahi kusikia ama kushuhudia jamaa akiikimbia familia sababu ya ukata?

Mwenziyo nshawahi kushuhudia njemba mbili maeneo tofauti zikikimbia familia kutokana na sababu za kiuchumi.

Jamaa anaondoka kama anaenda kutafuta kibarua na kuiacha familia katika hali ya matumaini, lakini harudi na ndiyo inakuwa imeshatoka hiyo.

Kwa hiyo si ajabu sana, wanaume tumetofautiana namna ya kukabiliana na ukata ama kukabiliana na hali ya hatari.
 
Habarini wana Jamvi Especialy wanaojishughulisha na kazi za Construction ( Civil and Building).
Huu mwaka sijawahi kuuona tangu nianze kujishughulisha na kazi za Ujenzi ni kwamba serikali haina hela kiasi hiki au kuna kitu nyuma ya pazia hatukijui inakuwaje Miradi itangazwe lakini fedha za mradi hamna inafikia wakandarasi wanadai malipo karibu miezi 8 hadi mwaka unakatika alafu sio Taasisi au Serikali kuu kote majanga.
Serikali mnataka walioajiriwa au kujiajiri kwenye sekta hii waishije kwa mfano.
Fedha zimeenda wapi na kila siku tunaambiwa sisi tuna hela nyingi sana.
Christmass hii sielew itakuwaje...Ukisikia Baba kaikimbia familia ndio huku.
Wakandarasi wengine mnaishije na hali hii naomba kujua experience zenu.
"Watanzania mtanikumbuka"
 
Habarini wana Jamvi Especialy wanaojishughulisha na kazi za Construction ( Civil and Building).
Huu mwaka sijawahi kuuona tangu nianze kujishughulisha na kazi za Ujenzi ni kwamba serikali haina hela kiasi hiki au kuna kitu nyuma ya pazia hatukijui inakuwaje Miradi itangazwe lakini fedha za mradi hamna inafikia wakandarasi wanadai malipo karibu miezi 8 hadi mwaka unakatika alafu sio Taasisi au Serikali kuu kote majanga.
Serikali mnataka walioajiriwa au kujiajiri kwenye sekta hii waishije kwa mfano.
Fedha zimeenda wapi na kila siku tunaambiwa sisi tuna hela nyingi sana.
Christmass hii sielew itakuwaje...Ukisikia Baba kaikimbia familia ndio huku.
Wakandarasi wengine mnaishije na hali hii naomba kujua experience zenu.
Ukandarasi nafanya kama mengineyo la sivyo utakufa mapema jiongoze kampuni yangu mpaka leo maddeni yanafika 2.4 billion
 
Habarini wana Jamvi Especialy wanaojishughulisha na kazi za Construction ( Civil and Building).
Huu mwaka sijawahi kuuona tangu nianze kujishughulisha na kazi za Ujenzi ni kwamba serikali haina hela kiasi hiki au kuna kitu nyuma ya pazia hatukijui inakuwaje Miradi itangazwe lakini fedha za mradi hamna inafikia wakandarasi wanadai malipo karibu miezi 8 hadi mwaka unakatika alafu sio Taasisi au Serikali kuu kote majanga.
Serikali mnataka walioajiriwa au kujiajiri kwenye sekta hii waishije kwa mfano.
Fedha zimeenda wapi na kila siku tunaambiwa sisi tuna hela nyingi sana.
Christmass hii sielew itakuwaje...Ukisikia Baba kaikimbia familia ndio huku.
Wakandarasi wengine mnaishije na hali hii naomba kujua experience zenu.
Mambo ni Moto!!
 
Habarini wana Jamvi Especialy wanaojishughulisha na kazi za Construction ( Civil and Building).
Huu mwaka sijawahi kuuona tangu nianze kujishughulisha na kazi za Ujenzi ni kwamba serikali haina hela kiasi hiki au kuna kitu nyuma ya pazia hatukijui inakuwaje Miradi itangazwe lakini fedha za mradi hamna inafikia wakandarasi wanadai malipo karibu miezi 8 hadi mwaka unakatika alafu sio Taasisi au Serikali kuu kote majanga.
Serikali mnataka walioajiriwa au kujiajiri kwenye sekta hii waishije kwa mfano.
Fedha zimeenda wapi na kila siku tunaambiwa sisi tuna hela nyingi sana.
Christmass hii sielew itakuwaje...Ukisikia Baba kaikimbia familia ndio huku.
Wakandarasi wengine mnaishije na hali hii naomba kujua experience zenu.
Ukifanya forecasting ya miaka miwili ijayo ndio utaogopa zaidi, 2024 uchaguzi wa serikali za mitaa, 2025 uchaguzi mkuu na mambo yake yote.

Well so far uchumi ndio kama hivyo ila nchi kutumia kuliko uwezo wa kuzalisha haijawahi kutuacha salama hata kama tukopeshwe vipi. Usisahau gharama kubwa ya matumizi.
 
unaongea kitu usichokijua Tuchukue mikopo mara ngapi...utalipaje mkopo na hela hulipwi
Mkopo utalipwa na pesa ya Serikali.Tunafany hizo biashara za ijeina banks tunajua.

Kama riba inakuaje si utakatwa.huko huko kwenye malipo ya Serikali?

Kama ulitumia.pesa zako binafsi utakoma.
 
Back
Top Bottom