Serikali itupe mrejesho kuhusu wizi wa vifaa vya milioni 500 Hospitali ya Wilaya ya Bunda

Serikali itupe mrejesho kuhusu wizi wa vifaa vya milioni 500 Hospitali ya Wilaya ya Bunda

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Hili ni suala nyeti mno. Vifaa vya milioni 500 kuibiwa huku serikali ikiwa kimya haipendezi hata kidogo. Wiki tatu sasa zimepita lakini tukio hili kama vile limesahaulika.

Watu wanaiba dawa wakaona haitoshi, wameamua kuiba vifaa. Kifuatacho ni kunyofoa mabati, mbao na milango ya Hospitali za Umma.

Tunaomba tamko la serikali.

Pia soma: Wizi wa vifaa vya milioni 500 Hospitali ya Wilaya ya Bunda
 
Hili ni suala nyeti mno.
Vifaa vya milioni 500 kuibiwa huku serikali ikiwa kimya haipendezi hata kidogo.
Wiki tatu Sasa zimepita lakini tukio hili Kama vile limesahaulika. Watu wanaiba dawa wakaona haitoshi, wameamua kuiba vifaa. Kifuatacho ni kunyofoa mabati, mbao na milango ya hospitali za Umma.

Tunaomba tamko la serikali.
Na ww ukiona kuna kitu kimekaa hapo of sini kwako pita nacho maana mama hana hata habari na mambo hayo
 
Na ww ukiona kuna kitu kimekaa hapo of sini kwako pita nacho maana mama hana hata habari na mambo hayo
Kumbuka hii Mali ya umma iliyopotea ni shilling milioni 500,000,000 na sio shilling 500. Kwanini Kuna ukimya kiasi hiki.
 
Na nyie kanda maalum, siku hizi mmekuwa kama wanadaslama, mkiwashe wazee wa kanda malum.
 
Unataka ulete utaratib mpya mkuu, tangu lin mnapewa mrejesho wa wizi, ubadhirifu na ufisadi?
 
Unataka ulete utaratib mpya mkuu, tangu lin mnapewa mrejesho wa wizi, ubadhirifu na ufisadi
 
Back
Top Bottom