Hae Mosu
Member
- Dec 23, 2019
- 43
- 33
Kuna tatizo kubwa Kwa Afisa Utumishi wa HALMASHAURI ya KARAGWE hasa katika suala la kuhudumia watumishi.
Inajulikana kuwa Serikali kupitia wizara ya Utumishi wa Umma imetoa nafasi Kwa watumishi Kwa ambao wanahitaji kuhama ili kufuata wenza wao, waombe uhamisho ila kwa Karagwe, Afisa Utumishi anagoma kuwasaidia watumishi Kwa kigezo kuwa hawajapata taarifa kamili na utaratibu wa namna gani watumishi hao wataweza kuhama.
Je, serikali haijatoa utaratibu Kwa Maafisa Utumishi ili waanze mchakato wa kuwawezesha watumishi ili wapate uhamisho? Na je, huyu Afisa Utumishi anafanya haya Kwa lengo gani? na hili jambo haliharibu taswira njema ya serikali kuamua kuwasikiliza watumishi?.
TUNAIOMBA SERIKALI ISIKIE KILIO CHETU SISI WATUMISHI WA HALMASHAURI YA KARAGWE ILI TUPATE HAKI ZETU KWANI SIKU ZIMEBAKI CHACHE NA HAKUNA LINALOFANYIKA. ASANTE
Inajulikana kuwa Serikali kupitia wizara ya Utumishi wa Umma imetoa nafasi Kwa watumishi Kwa ambao wanahitaji kuhama ili kufuata wenza wao, waombe uhamisho ila kwa Karagwe, Afisa Utumishi anagoma kuwasaidia watumishi Kwa kigezo kuwa hawajapata taarifa kamili na utaratibu wa namna gani watumishi hao wataweza kuhama.
Je, serikali haijatoa utaratibu Kwa Maafisa Utumishi ili waanze mchakato wa kuwawezesha watumishi ili wapate uhamisho? Na je, huyu Afisa Utumishi anafanya haya Kwa lengo gani? na hili jambo haliharibu taswira njema ya serikali kuamua kuwasikiliza watumishi?.
TUNAIOMBA SERIKALI ISIKIE KILIO CHETU SISI WATUMISHI WA HALMASHAURI YA KARAGWE ILI TUPATE HAKI ZETU KWANI SIKU ZIMEBAKI CHACHE NA HAKUNA LINALOFANYIKA. ASANTE