DOKEZO Serikali itusaidie, Dampo la Bakhresa ni hatari kwa Afya za Wananchi wa Kijiji cha Kazole

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nchi ndio haina mpango.
Azam waliona mbali wakachagua vikinduu kuwa ni dampo lao,nyie Wazaramo kwa kujifanya mnayafuata mapori mmelifuata.
Huwa nakerwa sana na huu utaratibu wa vijiji,ndio mnaanzisha kijiji halafu ndio mnaomba barabara za sogea nipite baadae maji baadae vichochoro vya bange pombe na mikojo.
Ndiovmnaotufanya tutembee na spidi 50 nchi nzima kisa kijiji.
 
Bakhresa na utajri wote huo anashindwa kujenga ukuta wa dampo?
 
Aliyemfata mwenzake ndiyo ana tatizo na ndiye anapaswa hama.

Ni sawa na Wazo na Twiga Cement
 
Aliyemfata mwenzake ndiyo ana tatizo na ndiye anapaswa hama.

Ni sawa na Wazo na Twiga Cement
Wazaramo wanashida sana,kila leo wanaenda palipo pabaya.haya wapambane na jalala.
 
Subirini nyie wanakijiji wote muhamishwe huko ndiyo mtajua
Hamjui [emoji1]

Ova
 
Ngoja nimcheki Upendo Michael au Istabela Mallisa wa Azam Tv aje aripoti hiyo taarifa
 
Dampo ni fursa lichangamkieni likiondoka mtajuta, yaani gesi na mbolea mnaishitaki iondolewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…