DOKEZO Serikali itusaidie wakazi wa Kigogo, fedha wanazotaka kutulipa kupisha mradi haziendani na nyumba zetu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
6 Oct 2022 — BENKI ya Dunia imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh bilioni 466.387) kugharamia mradi wa Bonde la Msimbazi ili kuepuka mafuriko ...[emoji3064][emoji848][emoji2827]
 
Push back hamuwezi kisa uoga, unaona kabisa nyumba yako ni 1M na unatishiwa kupewa 300k unaogopa na kuchukua,watanzania watu wa ajabu hata wanyasa wamewazidi to push back
 
Dah kwa hii serikali yetu hii [emoji3]
Pana mzee kisukari kimepanda anapepewa ndani alikataa offer ya m 400 kaja kulipwa m 80 akagoma kuchukua,greda likaja kubomoa na vitu ndani, we nani ucheleweshe maendeleo,pesa zipo bank kaendeshe kesi na hadi kesi ije iishe pesa zisharudi hazina usubirie madai lini hio,viwanja vyenyewe ni squatter.
Alijua yupo barabarani itapanda tu thamani,SAsa nyumba ulijenga miaka 50 iliyopita KWA thamani ya SAsa hata milioni 5 haifiki anafika mtu ana milioni 500 unashangaa bado.
Chukua hio 500 kajenge kijiji ule kodi.
 
Hamna hati, eneo ni squatter hata hio wanayokupeni ni nyingi kamateni pesa hio, hamuwezi zuia maendeleo mtakula greda bila huruma. Hio pesa ni thamani ya wakati ule vifaa vya ujenzi vilipokuwa chini.
 
Duh wewe jamaa noma
 
Ila chukueni tu,15,20,30 mle bondeni mnadhani mtapewa sh ngapi? chukueni fasta mkanunue Viwanja Kisemvule kiwanja milioni mbili hichooo jengeni mkae kwa amani
 
mkishupaza shingo kukataa mtapigwa tu, wenzenu barabara ya kimara mbezi walivinja wenyewe maana JIWE alisema wao chadema wanatakiwa kuuawa, hawakupata hata mia nyie mmileta zenu mnapigwa tu, chukua hata buku tembea mbele hawatanii hao ohoooooooo FAMASIALA NINI
 
Milioni 400 angejenga mjini kabisa ale kodi taratibu, tatizo watu wakoloni sana
 
Ile ya kimara sitaki hata kukumbuka
 
Watu wote waliojenga huko wana hati za serikali?

Kama hauna ndugu, bora uchukue zako mapema hiyo pesa utafute ustaarabu mwingine...
 
Makazi holela mengi yatavunjwa miaka 100 ijayo
 
Hananasif yenyewe kule bondeni wako kwenye program ya kuhamishwa huko

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…