Serikali iwaangalie broiler breeders wanaoshindana na wafugaji wadogo

Serikali iwaangalie broiler breeders wanaoshindana na wafugaji wadogo

Jack HD

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
851
Reaction score
1,168
Habari wanabodi,

Ni wakati serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kuangalia mienendo ya breeders wa kuku wa nyama wanavyoshindana na wafugaji wadogo kwenye soko. Nadhani ni wakati wa vyombo vya serikali mfano hawa watu wa fair competition kuingilia kati suala hili kwa manufaa ya wafugaji wadogo.
Kwanni nasema hili?

Hebu chukulia mathalani, mimi mfugaji nanunua vifaranga kutoka Kampuni X, nanunua pia chakula kutoka kampuni X, nawakuza kuku zangu nikitegemea kuuza sokoni broiler baada ya wiki tano. Ajabu unapokwenda sokoni unakutana na Kampuni X, uliyonunua vifaranga wa siku moja kwake pamoja na chakula cha kuku naye kaleta Kuku zake aliofuga mwenyewe kwenye soko lile lie. Hiki ni nini??

This is unfair competition, ni wazi kampuni X lazama atauza Kuku wake kwa bei ya chini kwa sababu moja economies of scale, anafuga kuku wengi kwa mkupuo hivyo gharama kwa kila kuku mmoja ipo chini. Pili, vifaranga ni wa kwake, hata akijiuzia kumeet normal profit kwa kila kifaranga Tshs. 700, still bado hatuwezani naye kwenye soko ilhali kifaranga tunanunua kwake kwa Tshs. 1600. Tatu chakula anatengeneza mwenyewe, hivyo hata ww mfugaji ukitengeneza chakula chako still atakupiga gap kwenye vifaranga.

Ni wakati breeders wajikite zaidi kwenye kutotolesha vifaranga badala ya kuingia kwenye kuuza Kuku na kushindana na wafugaji wadogo ambao hao hao ni wateja wao kwenye vifaranga na chakula cha kuku. Ni wakati wa serikali kulifumbulia macho suala hili, kama Kampuni X watahitaji kufuga kwa ajili ya nyama, basi waangalie zaidi Export Market na sio tunakutana nao mara Shekilango, Kisutu, Manzese wamekuwa wakiaribu mfumo mzima wa soko na kusababisha mitaji ya wafugaji kukata na hasara zisizovumilika.

Cc
Ministry of livestock & Fisheries
TPBA
Fair Competition
TABROFA
PAT
 
Habari wanabodi,

Ni wakati serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kuangalia mienendo ya breeders wa kuku wa nyama wanavyoshindana na wafugaji wadogo kwenye soko. Nadhani ni wakati wa vyombo vya serikali mfano hawa watu wa fair competition kuingilia kati suala hili kwa manufaa ya wafugaji wadogo.
Kwanni nasema hili?

Hebu chukulia mathalani, mimi mfugaji nanunua vifaranga kutoka Kampuni X, nanunua pia chakula kutoka kampuni X, nawakuza kuku zangu nikitegemea kuuza sokoni broiler baada ya wiki tano. Ajabu unapokwenda sokoni unakutana na Kampuni X, uliyonunua vifaranga wa siku moja kwake pamoja na chakula cha kuku naye kaleta Kuku zake aliofuga mwenyewe kwenye soko lile lie. Hiki ni nini??

This is unfair competition, ni wazi kampuni X lazama atauza Kuku wake kwa bei ya chini kwa sababu moja economies of scale, anafuga kuku wengi kwa mkupuo hivyo gharama kwa kila kuku mmoja ipo chini. Pili, vifaranga ni wa kwake, hata akijiuzia kumeet normal profit kwa kila kifaranga Tshs. 700, still bado hatuwezani naye kwenye soko ilhali kifaranga tunanunua kwake kwa Tshs. 1600. Tatu chakula anatengeneza mwenyewe, hivyo hata ww mfugaji ukitengeneza chakula chako still atakupiga gap kwenye vifaranga.

Ni wakati breeders wajikite zaidi kwenye kutotolesha vifaranga badala ya kuingia kwenye kuuza Kuku na kushindana na wafugaji wadogo ambao hao hao ni wateja wao kwenye vifaranga na chakula cha kuku. Ni wakati wa serikali kulifumbulia macho suala hili, kama Kampuni X watahitaji kufuga kwa ajili ya nyama, basi waangalie zaidi Export Market na sio tunakutana nao mara Shekilango, Kisutu, Manzese wamekuwa wakiaribu mfumo mzima wa soko na kusababisha mitaji ya wafugaji kukata na hasara zisizovumilika.

Cc
Ministry of livestock & Fisheries
TPBA
Fair Competition
TABROFA
PAT
Unawadhibiti vp? Ni ngumu sana anaweza kutumia ndugu zake akafuga we utajuaje? Kikubwa pambana na hali yako,pia kumbuka tuko kwenye free market
 
Soko huria lakini, cha msingi ni wewe kutafuta soko kabla ya kuanza kufuga.
 
Unawadhibiti vp? Ni ngumu sana anaweza kutumia ndugu zake akafuga we utajuaje? Kikubwa pambana na hali yako,pia kumbuka tuko kwenye free market
bora afanye hivyo, lakini si kukutana naye yeye mwenyewe direct, hii inaumiza!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Imebidi nicheke tu!

Kwahiyo nawewe ukitoka kwenye huo ufugaji mdogo serikali ikudhibiti kuokoa waliopo chini yako?

Acha kufuga kutegemea serikali itakubeba ndio utafika mbali!

Maana tukiendelea hivi wauza maandazi wa mtaani nao watasema serikali imdhibiti bakhresa asiuze maandazi ili kuwa na fair competition!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Imebidi nicheke tu!

Kwahiyo nawewe ukitoka kwenye huo ufugaji mdogo serikali ikudhibiti kuokoa waliopo chini yako?

Acha kufuga kutegemea serikali itakubeba ndio utafika mbali!

Maana tukiendelea hivi wauza maandazi wa mtaani nao watasema serikali imdhibiti bakhresa asiuze maandazi ili kuwa na fair competition!
Waliotoka kwenye ufugaji mdogo wapo wengi, na hakuna mahala niliposema wadhibitiwe. usichanganye mambo Mzee
 
Habari wanabodi,

Ni wakati serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kuangalia mienendo ya breeders wa kuku wa nyama wanavyoshindana na wafugaji wadogo kwenye soko. Nadhani ni wakati wa vyombo vya serikali mfano hawa watu wa fair competition kuingilia kati suala hili kwa manufaa ya wafugaji wadogo.
Kwanni nasema hili?

Hebu chukulia mathalani, mimi mfugaji nanunua vifaranga kutoka Kampuni X, nanunua pia chakula kutoka kampuni X, nawakuza kuku zangu nikitegemea kuuza sokoni broiler baada ya wiki tano. Ajabu unapokwenda sokoni unakutana na Kampuni X, uliyonunua vifaranga wa siku moja kwake pamoja na chakula cha kuku naye kaleta Kuku zake aliofuga mwenyewe kwenye soko lile lie. Hiki ni nini??

This is unfair competition, ni wazi kampuni X lazama atauza Kuku wake kwa bei ya chini kwa sababu moja economies of scale, anafuga kuku wengi kwa mkupuo hivyo gharama kwa kila kuku mmoja ipo chini. Pili, vifaranga ni wa kwake, hata akijiuzia kumeet normal profit kwa kila kifaranga Tshs. 700, still bado hatuwezani naye kwenye soko ilhali kifaranga tunanunua kwake kwa Tshs. 1600. Tatu chakula anatengeneza mwenyewe, hivyo hata ww mfugaji ukitengeneza chakula chako still atakupiga gap kwenye vifaranga.

Ni wakati breeders wajikite zaidi kwenye kutotolesha vifaranga badala ya kuingia kwenye kuuza Kuku na kushindana na wafugaji wadogo ambao hao hao ni wateja wao kwenye vifaranga na chakula cha kuku. Ni wakati wa serikali kulifumbulia macho suala hili, kama Kampuni X watahitaji kufuga kwa ajili ya nyama, basi waangalie zaidi Export Market na sio tunakutana nao mara Shekilango, Kisutu, Manzese wamekuwa wakiaribu mfumo mzima wa soko na kusababisha mitaji ya wafugaji kukata na hasara zisizovumilika.

Cc
Ministry of livestock & Fisheries
TPBA
Fair Competition
TABROFA
PAT
Wewe uza reja reja mkuu peleka kwa wanunuzi wadgo.
 
Waliotoka kwenye ufugaji mdogo wapo wengi, na hakuna mahala niliposema wadhibitiwe. usichanganye mambo Mzee
Mkuu ukishasema serikali iliangalie hilo na unasema Hao wafugaji wakubwa wawe breeders tu huko tayari ni kuwadhibiti Hao wafugaji wakubwa Mkuu!
Labda niwe sielewi kiswahili!

Anyway humu jukwaani tupo wengi hebu Uzi ufike page kama tatu hivi tuone mawazo ya wenzetu wengine kama watakuunga mkono
 
Wewe uza reja reja mkuu peleka kwa wanunuzi wadgo.
hiyo ni hasara. mathalani chukulia una kuku elfu mbili, itakuchukua muda gani kumaliza kuuza kwa rejareja mfano kuku kumi kwa siku?
 
Mkuu ukishasema serikali iliangalie hilo na unasema Hao wafugaji wakubwa wawe breeders tu huko tayari ni kuwadhibiti Hao wafugaji wakubwa Mkuu!
Labda niwe sielewi kiswahili!

Anyway humu jukwaani tupo wengi hebu Uzi ufike page kama tatu hivi tuone mawazo ya wenzetu wengine kama watakuunga mkono
Hakuna sehemu inayosema wafugaji wakubwa wawe breeders tu, point ni breeders tusikutane nao sokoni.
 
Mnalilia Serikal iingilie Masuala ya Biashara

Ikiingilia Kwa namna ilivyoingilia Kwenye Korosho mnapiga Kelele
 
Mkuu mimi nauza chapati na maandazi naomba unisaidie kuiambia serikali imzuie bakhresa asiuze chapati na maandazi kwakuwa unga anatuuzia yeye. Period
 
Hakuna sehemu inayosema wafugaji wakubwa wawe breeders tu, point ni breeders tusikutane nao sokoni.
sawa! imagine Wewe ndo serikali ungefanya nini kufanya hawa Watu wasikutane sokoni?
 
Je serikali wakiamua kufungua mashamba makubwa ya kufugia kuku utaenda kulia kwa nani?
 
sawa! imagine Wewe ndo serikali ungefanya nini kufanya hawa Watu wasikutane sokoni?
Kuweka katazo na usimamizi maana wanaofanya hivyo si breeders wote na wanaofanya wanafahamika.Akikiuka katazo basi anyanganywe leseni ya kuwa breeder ili awe mfugaji na yeye.
 
Je serikali wakiamua kufungua mashamba makubwa ya kufugia kuku utaenda kulia kwa nani?
Issue sio Kufuga kuku wengi, Maana wapo wafugaji wakubwa wengi tu. Issue ni kuwa breeder, unatuuzia vifaranga vyako, tunanunua chakula kwako, halafu unakuja kutubaishia sokoni.
 
Mkuu mimi nauza chapati na maandazi naomba unisaidie kuiambia serikali imzuie bakhresa asiuze chapati na maandazi kwakuwa unga anatuuzia yeye. Period
Ww utaendelea kuwa nyuma hivyo hivyo kama jina lako lilivyo. Period
 
Back
Top Bottom