Jack HD
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 851
- 1,168
- Thread starter
- #41
Mkuu wapo 2200 kwa sasa ila kuna uwoga wa kuexpand zaidi kutokana na hali ya soko.Mimi ni mfugaji mdogo so naelewa sana unachomaanisha mkuu.. . Lakini tuko kwemye ulimwengu wa mbwa kala mbwa.... hata serikali ikiingilia bado tu utakuwa na changamoto nyingi.. cha msingi ni kukomaa na wewe uingie kwenye ligi ya wakubwa...
Achana na mambo ya kufuga kuku buku weka target upige hata 2000 au 3000 lakino make sure una system nzuri ya kuuza kabla hujaingiza kuku bandanj....
Kufuga kuku wachache ni stress tu