Serikali iwaangalie broiler breeders wanaoshindana na wafugaji wadogo

Mkuu wapo 2200 kwa sasa ila kuna uwoga wa kuexpand zaidi kutokana na hali ya soko.
 
hiyo ni hasara. mathalani chukulia una kuku elfu mbili, itakuchukua muda gani kumaliza kuuza kwa rejareja mfano kuku kumi kwa siku?
Wakifika wiki tano wachinje wahifadhi kwenye freezer.Utaepuka gharama ya chakula.
 
Do you think yote hayo hatufikirii. ni bora atleast iwe kuna katazo na watu wafanye hivyo, kuliko kutokuwa na katazo kabisa
 
Wkifika wiki tano wachinje wahifadhi kwenye freezer.Utaepuka gharama ya chakula.
kuku elfu mbili utawachinja na uanze kuuza rejareja, watakudodea mzee. wengi wanataka fresh chickens
 
Kule Mbezi beach sio?
 
Duuh umemjibu vyema kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wapo 2200 kwa sasa ila kuna uwoga wa kuexpand zaidi kutokana na hali ya soko.
Tukomae mkuu mi mwenyewe ndo biashara yangu hii.... hivi huyo jamaa wa mbezi anafugaga kuku wa ngapi maana nshamsikia sana na anauzaga bei gani
 
Mkuu usiwe mkali. Hayo ni mawazo ya watu uliowaletea thread. Sidhani hata asilimia moja ya members humu ni wafugaji. Sasa kwanini umeleta uzi humu? Unless umekosea hadhira.

Kuna mijitu inaropoka matapishi ilihali hata Kuku wa nyama alivyo hawamjui. Stupid Kabisa!!
 
Mtoa mada amesema breeder abaki kuwa breeder na kuuza vifaranga.
 
Rafu kwenye biashara hizi ni kawaida sana. Ila nadhani unaweza kuangalia a different market niche au a different way ya kuuza kuku. Si lazima kuuza kuku mzima. Unaweza ukaamua kufanya some processing kwa kujiunga na wafugaji wengine. Hii ya kila mtu kujifanyia lwake inafaya wafugaji wasiwe na nguvu sokoni. Mfano wafugaji wanaweza kujiunga kwenye vikundi na kuwa na kama abattoir (machinjio) qambapo kuku wanachinjwa na kuwa packed kama ni paja paja, kama ni firigisi ni firigiri, na kama ni miguu ya kuku ni miguu ya kuku. Then you do some cool packaging +branding. That way unaweza ukawa unafanya kitu tofauti kidogo. Ninajua kule uswahili mtu anaweza asiwe na uwezo wa kununua kuku mzima lakini uwezo wake ukaishia kwenye vipapatio. May be ukauza vipapatitio hadi kwenye packaging ya buku. Miguu na vicwwa ukauza kwa packaging ya hadi mia tano tano. Unaweza jikuata unamaximize profit ukilinganisha na kusubiri kuuza kuku mzima. Umoja ndo silaha muhimu kama mnataka kushindana na hawa breeders
 
kuku elfu mbili utawachinja na uanze kuuza rejareja, watakudodea mzee. wengi wanataka fresh chickens

Afu mtu anafikiria kuchinja kuku elfu2 ni kazi ndogo. Afu hata kama ingewezekana hiyo freezer ya kuwajaza hao wote kwa mfugaji kuwa nayo ni shughuli pia. Plus na umeme wetu ghafla ukakatika lazima ule short ya kutisha kwa kuku wote hao
 
Unawadhibiti vp? Ni ngumu sana anaweza kutumia ndugu zake akafuga we utajuaje? Kikubwa pambana na hali yako,pia kumbuka tuko kwenye free market
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nadhani kama ni kesi umeshaitolea maamuzi mkuu..
 
Kimsingi haiwezekani hapo..
Utetezi utakuwepo ila sio rahisi kudhibiti hilo abadani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…