Mkuu wapo 2200 kwa sasa ila kuna uwoga wa kuexpand zaidi kutokana na hali ya soko.Mimi ni mfugaji mdogo so naelewa sana unachomaanisha mkuu.. . Lakini tuko kwemye ulimwengu wa mbwa kala mbwa.... hata serikali ikiingilia bado tu utakuwa na changamoto nyingi.. cha msingi ni kukomaa na wewe uingie kwenye ligi ya wakubwa...
Achana na mambo ya kufuga kuku buku weka target upige hata 2000 au 3000 lakino make sure una system nzuri ya kuuza kabla hujaingiza kuku bandanj....
Kufuga kuku wachache ni stress tu
Wakifika wiki tano wachinje wahifadhi kwenye freezer.Utaepuka gharama ya chakula.hiyo ni hasara. mathalani chukulia una kuku elfu mbili, itakuchukua muda gani kumaliza kuuza kwa rejareja mfano kuku kumi kwa siku?
Think bigger bro, Kama mimi ni kampuni x na ukanizuia nisiuze kuku kama wewe, Kesho naenda kufungua kampuni nyingine alafu natumia hiyo kuuza hao kuku..hiyo itakuwa fair au sio? The most adaptive wins always! na its non sense kama kumwomba referee kila ukifungwa magoli mawili lihesabiwe moja kwa sababu timu unayocheza nayo ina wachezaji wakubwa!
ki kweli inaua biashara na hapo ndo innovation inapotakiwa kutumika kushindana nao.
Kule Mbezi beach sio?Yule jamaa wa Mbezi serikali inabidi imtupie jicho vinginevyo biashara ya kuuza kuku wake awe ana export nje. Kuna jamaa yangu mmoja na yeye ni mfugaji na aliniambia alipoteza mteja wake kutokana na kuingiliwa soko lake na huyo breeder muuza vifaranga na chakula
Duuh umemjibu vyema kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Imebidi nicheke tu!
Kwahiyo nawewe ukitoka kwenye huo ufugaji mdogo serikali ikudhibiti kuokoa waliopo chini yako?
Acha kufuga kutegemea serikali itakubeba ndio utafika mbali!
Maana tukiendelea hivi wauza maandazi wa mtaani nao watasema serikali imdhibiti bakhresa asiuze maandazi ili kuwa na fair competition!
Tukomae mkuu mi mwenyewe ndo biashara yangu hii.... hivi huyo jamaa wa mbezi anafugaga kuku wa ngapi maana nshamsikia sana na anauzaga bei ganiMkuu wapo 2200 kwa sasa ila kuna uwoga wa kuexpand zaidi kutokana na hali ya soko.
Kweli kabisaUnawadhibiti vp? Ni ngumu sana anaweza kutumia ndugu zake akafuga we utajuaje? Kikubwa pambana na hali yako,pia kumbuka tuko kwenye free market
Kuna mijitu inaropoka matapishi ilihali hata Kuku wa nyama alivyo hawamjui. Stupid Kabisa!!
Mtoa mada amesema breeder abaki kuwa breeder na kuuza vifaranga.Mkuu ukishasema serikali iliangalie hilo na unasema Hao wafugaji wakubwa wawe breeders tu huko tayari ni kuwadhibiti Hao wafugaji wakubwa Mkuu!
Labda niwe sielewi kiswahili!
Anyway humu jukwaani tupo wengi hebu Uzi ufike page kama tatu hivi tuone mawazo ya wenzetu wengine kama watakuunga mkono
Mkuu tufanye wewe ndio serikali ungefanyeje?Mtoa mada amesema breeder abaki kuwa breeder na kuuza vifaranga.
Ndio ningemzuia. Chukua kwa mfano Cocacola nae angekuwa anauza rejareja ingekuaje?Mkuu tufanye wewe ndio serikali ungefanyeje?
Ungemzuia breeder kuwa na shamba la kuwakuza?
kuku elfu mbili utawachinja na uanze kuuza rejareja, watakudodea mzee. wengi wanataka fresh chickens
πππUnawadhibiti vp? Ni ngumu sana anaweza kutumia ndugu zake akafuga we utajuaje? Kikubwa pambana na hali yako,pia kumbuka tuko kwenye free market