Serikali iwapandishe madaraja Walimu wenye Shahada ya Pili (Masters Degree) mara tu baada ya kumaliza masomo yao

Serikali iwapandishe madaraja Walimu wenye Shahada ya Pili (Masters Degree) mara tu baada ya kumaliza masomo yao

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Ni miaka mingi Sasa walimu Hawa wenye Shahada ya Pili ya ualimu na wale wenye PhD ya ualimu, wamekuwa hawapati ongezeko lolote la mshahara mara baada ya kumaliza elimu zao za juu, tofauti na ilivyo kwenye idara zingine Kama afya nk. Ambapo Shahada ya Pili huwa inatambuliwa.

Ombi: TUNAOMBA serikali walau iweke utaratibu wa kuwapa hata Daraja moja la mshahara Hawa walimu wenye Shahada ya Pili Mara tu baada ya kumaliza masomo yao. Hii itapunguza kuhangaika kutafuta kujiunga na idara zingine kwa lengo la kupata kipato kinachoendana na taaluma Yao.

Najua Kuna wahusika humu naomba kuwasilisha.
 
Nnachojua,
Mwalimu mwenye
Certificate, anafundisha primary
Diploma, anafundisha olevel
Degree, anafundisha advance
Masters-anafundisha vyuoni

Sasa Kama hutaki kuhama idara,
Unataka ulipwe mshahara wa masters ili ukae bure TU?
 
Nnachojua,
Mwalimu mwenye
Certificate, anafundisha primary
Diploma, anafundisha olevel
Degree, anafundisha advance
Masters-anafundisha vyuoni

Sasa Kama hutaki kuhama idara,
Unataka ulipwe mshahara wa masters

Nnachojua,
Mwalimu mwenye
Certificate, anafundisha primary
Diploma, anafundisha olevel
Degree, anafundisha advance
Masters-anafundisha vyuoni

Sasa Kama hutaki kuhama idara,
Unataka ulipwe mshahara wa masters ili ukae bure TU?
SIYO wote wanataka kuhamia idara zingine, chamsingi Ni kuiomba serikali iwape hata motisha kidogo Kama ilivyo kwenye idara zingine.
 
Ombi: TUNAOMBA serikali walau iweke utaratibu wa kuwapa hata Daraja moja la mshahara Hawa walimu wenye Shahada ya Pili Mara tu baada ya kumaliza masomo yao. Hii itapunguza kuhangaika kutafuta kujiunga na idara zingine kwa lengo la kupata kipato kinachoendana na taaluma Yao.
Hawataki mkaribiane nao kwa kipato ili muendelee kuwanyenyekea
 
Ni miaka mingi Sasa walimu Hawa wenye Shahada ya Pili ya ualimu na wale wenye PhD ya ualimu, wamekuwa hawapati ongezeko lolote la mshahara mara baada ya kumaliza elimu zao za juu, tofauti na ilivyo kwenye idara zingine Kama afya nk. Ambapo Shahada ya Pili huwa inatambuliwa.

Ombi: TUNAOMBA serikali walau iweke utaratibu wa kuwapa hata Daraja moja la mshahara Hawa walimu wenye Shahada ya Pili Mara tu baada ya kumaliza masomo yao. Hii itapunguza kuhangaika kutafuta kujiunga na idara zingine kwa lengo la kupata kipato kinachoendana na taaluma Yao.

Najua Kuna wahusika humu naomba kuwasilisha.
Soma shahada ya pili ili utafute cheo cha madaraka ukisubiri daraja utakaa sana

Kwenye elimu msingi na sec hakuna pesa,dili ni chache sana na wanaopata dili ni wachache. Na dili hizo chache ni za msimu.
 
Ila ipo siku masters ya ualimu itambuliwa tu kwasabu idara zingine zinaitambua, tuendelee kuomba serikali. Kwasabu Si kila mtu anaweza kwenda kuomba kazi sehem nyngne inje ya ualimu.
Chama Cha walimu chenyewe ndo hiki🤣 wanaangalia ma-tshirt tu
 
Hoja haina mantiki Kama mnafanya kazi moja bila kujali elimu mlipwe mshahara mmoja
 
Ila ipo siku masters ya ualimu itambuliwe tu kwasabu idara zingine zinaitambua, tuendelee kuomba serikali. Kwasabu Si kila mtu anaweza kwenda kuomba kazi sehem nyngne inje ya ualimu.
Shida zipo nyingi zikitambuliwa itakuwa vurugu mechi
 
Shida zipo nyingi zikitambuliwa itakuwa vurugu mechi
KUSOMA MASTERS SIDHANI KAMA NI RAHISI KIHIVYO MKUU KWA UPANDE WA FEDHA.. Ni Bora wakatambuliwa hata kupewa daraja moja tu.
 
Mnachokosea na ambacho hakiwezi kuwapandisha madaraja au mshahara ni kwenda au kusomea Masters ya kozi tofauti na masuala ya Ualimu, hivyo unakosa muendelezo. Iko hivi,waalimu wengi niliowahi kuwaona wanakimbilia kusoma kozi za Utawala na masuala ya Utumishi jambo ambalo haliwaongezei chochote kwenye ukuaji wa kitaaluma ya Ualimu wao labda tu pale watakapopata nafasi za uteuzi za kiuongozi kama vile Mkuu wa shule au Afisa Elimu kwenye ngazi ya Halmashauri.
 
Mkuu kupata hizo nafasi za uteuzi si rahis kiasi hcho, chamsingi tuimbe serikali itoe motisha kwa wote kuwe na muundo kabisa, kwasabu mtu anaweza akawa na masters akaomba fursa akaambiwa sifa mpaka uwe TGTS G😄 umeona hapo Sasa .
 
Mm nawasemea walimu Kama mwaharakati huru lakini kuna chama Cha walimu Inamaana huwa hawaoni au hawafanyi ulinganifu wa sitahiki za watumishi wenye Masters wanazopewa kwenye idara zingine? Ni kuiomba serikali ifanye mabadiliko ya kimuundo kwa walimu wenye Shahada ya Pili
 
Back
Top Bottom