Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kwa hiyo wakiuziwa wachina hizi shida zitaisha?Aisee siku hizi hawa jamaa wa voda wamekua wahuni sana hasa katika vifurushi vyao, ukijiunga kifurushi cha Internet kama una salio la kawaida wanakata salio kwanza halafu likiisha ndio wanafyeka mb