Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.

Pia soma>> Watanzania wamefungiwa internet
 
Jamani eeeeh sio lazima wote tujipendekeze kwa mfalme ili tule. Wengine tukalime.

Intaneti ni nyenzo muhimu sana yenye matumizi makubwa kuliko hizo siasa zenu za kilevi.

Biashara, maswala mbalimbali ya kitaaluma, vyote vinategemea intaneti kwa kiasi kikubwa katika nyakati hizi.

Msiwafanye watanzania wote kuwa wahanga na mateka wa siasa zenu za kubabaisha na za kuunga unga kwa propaganda za kuokoteza.

Mara sijui tunapambana na maadui?

Maadui gani mnaopambana nao ninyi Tanganyika? Kanchi dhaifu kasikojulikana hata kwenye ramani ya dunia!

Hebu wacheni siasa za kitoto.
 
Jamani eeeeh sio lazima wote tujipendekeze kwa mfalme ili tule. Wengine tukalime.

Intaneti ni nyenzo muhimu sana yenye matumizi makubwa kuliko hizo siasa zenu za kilevi.

Biashara, maswala mbalimbali ya kitaaluma, vyote vinategemea intaneti kwa kiasi kikubwa katika nyakati hizi.

Msiwafanye watanzania wote kuwa wahanga na mateka wa siasa zenu za kubabaisha na za kuunga unga kwa propaganda za kuokoteza.

Mara sijui tunapambana na maadui?

Maadui gani mnaopambana nao ninyi Tanganyika? Kanchi dhaifu kasikojulikana hata kwenye ramani ya dunia!

Hebu wacheni siasa za kitoto.
Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.

Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza ujinga
 
Jamani eeeeh sio lazima wote tujipendekeze kwa mfalme ili tule. Wengine tukalime.

Intaneti ni nyenzo muhimu sana yenye matumizi makubwa kuliko hizo siasa zenu za kilevi.

Biashara, maswala mbalimbali ya kitaaluma, vyote vinategemea intaneti kwa kiasi kikubwa katika nyakati hizi.

Msiwafanye watanzania wote kuwa wahanga na mateka wa siasa zenu za kubabaisha na za kuunga unga kwa propaganda za kuokoteza.

Mara sijui tunapambana na maadui?

Maadui gani mnaopambana nao ninyi Tanganyika? Kanchi dhaifu kasikojulikana hata kwenye ramani ya dunia!

Hebu wacheni siasa za kitoto.
Tanganyika ipi unaisema? Adui wa kwanza ni wewe kibaraka wa mabeberu.
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya, na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Wewe kula kulala huwezi kujua kuzima kwa internet imeleta hasara kiasi gani kiuchumi, mfanyabiashara mmoja mmoja mambo yamestuck, Usiwe bendera fuata upepo
 
Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.

Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Duuh! ebhana eeeehh..Unajiropokea tu masikini hujui hata ulichokiandika.

Hivi Magufuli anakujua kweli wewe?
 
Wewe kula kulala huwezi kujua kuzima kwa internet imeleta hasara kiasi gani kiuchumi, mfanyabiashara mmoja mmoja mambo yamestuck, Usiwe bendera fuata upepo
Kipi bora hiyo hasara ya vijisenti vyenu au usalama wa nchi?
 
Ukweli haufichiki kamwe! Unaweza jaribu upaka masizi au kinyesi kidogo kupumbaza watu lakini wenyewe utajitafutia namna yakutoka....ndio fact of life hiyo.
#NoOneCanStopReggae
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya, na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
HUJUI KITU. KILICHOZIMWA NI MITANDAO YA KIJAMII NA WALA SIO INTERNET
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya, na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Hivi uko serious na haya maoni yako?
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya, na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.

Sasa wawekezaji gani watakuja kufungua ofisi nchi ambayo haina mtandao! Kwa manufaa ya nani hasa!!
 
Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.

Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza ujinga
Ahahahahah duh! Eti uharo..nimejikuta nacheka tu. Mkuu kusoma vitabu siyo poa. Lakini umesahau vitabu hivyo vinapatikana mtandaoni pia!
 
Ahahahahah duh! Eti uharo..nimejikuta nacheka tu. Mkuu kusoma vitabu siyo poa. Lakini umesahau vitabu hivyo vinapatikana mtandaoni pia!
Maswali gani haya? Mnapata uvivu gani kusoma hard copy?
 
sasa wawekezaji gani watakuja kufungua ofisi nchi ambayo haina mtandao! Kwa manufaa ya nani hasa!!
Kwani ni suala kudumu? India pamoja uwekezaji mkubwa huwa wanazima kwa usalama wa taifa lao, sembuae sisi?
 
Back
Top Bottom