Tanganyika ipi unaisema? Adui wa kwanza ni wewe kibaraka wa mabeberu.
Na adui namba moja ni Misukule aina yako wenye upeo mdogo ambao ni Vibaraka wa Madhalimu aina ya Jiwe ambao kutokana na upumbavu wenu mmeaminishwa eti Tanzania mna maadui wengi!
Mngekuwa na maadui wengi namna hiyo kama mnavyoaminishana huko Lumumba, huyu loser mwenzenu Jiwe bado angekuwepo madarakani?
Yaani fikra za enzi za ujima tangua zama za Nyerere kuna losers hadi kesho ndo fikra zenu!!
Tangu akina Nyerere wameanza kuwaambia malofa kwamba mna maadui kila kona, unadhani CCM ingekuwepo?!
Btw, what's so special mlichonacho Tanzania ambacho wengine hawana hadi muwe na maadui wengi kiasi hicho?
Patrice Lumumba aliyekuwa na maadui wa kweli alidumu madarakani kwa muda gani?
Muammar Gaddafi na Saddam Hussein waliokuwa na maadui ni miaka mingapi tangu wauawe?!
Samora Machel na Mondlane ambao walikuwa na maadui waliiongoza Mozambique kwa muda gani?!
Thomas Sankara aliyekuwa na maadui wa kweli aliiongoza Burkina Fasso kwa miaka ngapi?
Na mlivyo na akili fupi, hao hao mnaodanganyana eti ni maadui wenu ndo hao hao wanaoawapa pesa ili misukule aina yako mfundishwe hadi jinsi ya kunawa mikono!
VERY STUPID!