Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

Vpn inakupa access ya kupata server za nje ya nchi ili upate unachokitaka. Sasa kama server za ndani zimezimwa na kulindwa utadukua vipi? Bora mimi sina shule ila wewe ni mpuuzi na shoga.
Kwa huu utopolo ulioandika ,am done with U
 
Vpn inakupa access ya kupata server za nje ya nchi ili upate unachokitaka. Sasa kama server za ndani zimezimwa na kulindwa utadukua vipi? Bora mimi sina shule ila wewe ni mpuuzi na shoga.
Hata kichwani ushafumuliwa marinda.

Mtoto sio riziki, fala sana chakula cha wakubwa lumumba
 
Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.

Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Yaani kwa post yako hii inaonesha ni jinsi gani ulivyo loser usiyejua chochote manake watu aina yako wanadhani internet is just for social media...

Yaani umeonesha ni jinsi gani ulivyo na upeo finyu usiyejua kwamba watu duniani hivi sasa wamewekeza zaidi kwenye online education!! Wala hujui kwamba wakali wengi wa IT hivi sasa kuna kibao wanaosoma through coding boot camps na kuajiriwa kwenye taasisi kubwa sana duniani, na kwa Mtanzania wa kawaida asiye na uwezo wa ku-attend physical boot camps classes anaweza kusoma through online!!

Kwahiyo unaonesha ni jinsi gani ulivyo loser usiyejua chochote no wonder unadhani Instagram is just kwa ajili ya kuwafuatilia akina Wema Sepetu bila kujua ni losers aina yako ndio wenye mawazo matapishi aina yako!!!
 
Maswali gani haya? Mnapata uvivu gani kusoma hard copy?
Wee jamaa bila shaka shuleni kwako ulienda kusomea ujinga, sio bure aisee. kichwani mwako umebeba funza badala ya akili.

Kwa hiyo wale watu waliohitimu elimu zao za juu kwa kupitia mfumo wa E-learning elimu zao ni batili kisa hawakusoma vitabu vya hard copy?

Na vp kuhusu wale wanaoendelea kujitafutia elimu kwa mfumo huohuo wa E-learning?.
 
Ameathirika na siasa za kulamba mattercall
Halafu alivyo mpumbavu anasahau kwamba hivi sasa anaandika huo ujinga wake kwa sababu ya uwepo wa hiyo hiyo intanet anayotaka isirudishwe!!

Na dunia ya leo leo ukitaka kujua top losers basi angalia percdeption yao towards the internet... yaani inadhani intaneti ni kwa ajili ya social media, na wala haijui kwamba biashara nyingi hivi sasa zimehamia kwenye social media!!, na bado zinaendelea kuhamia huko
 
HUJUI KITU. KILICHOZIMWA NI MITANDAO YA KIJAMII NA WALA SIO INTERNET
Hakuna watu wanafanya biashara kwenye mitandao ya kijamii?
Bila shaka ni wengi mno nao wameathirika pakubwa.
 
Halafu alivyo mpumbavu anasahau kwamba hivi sasa anaandika huo ujinga wake kwa sababu ya uwepo wa hiyo hiyo intanet anayotaka isirudishwe!!

Na dunia ya leo leo ukitaka kujua top losers basi angalia percdeption yao towards the internet... yaani inadhani intaneti ni kwa ajili ya social media, na wala haijui kwamba biashara nyingi hivi sasa zimehamia kwenye social media!!, na bado zinaendelea kuhamia huko
Huyo Dada ni Kiazi kitamu

Katumia VPN kuleta upuuzi wake humu.

Kama internet haina umuhimu anafanyaje humu?

Si angeandika upuuzi wake kwenye gazeti?
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Kama mawazo yako ndo haya, wewe ni kubwa jinga.
 
Tanganyika ipi unaisema? Adui wa kwanza ni wewe kibaraka wa mabeberu.
Na adui namba moja ni Misukule aina yako wenye upeo mdogo ambao ni Vibaraka wa Madhalimu aina ya Jiwe ambao kutokana na upumbavu wenu mmeaminishwa eti Tanzania mna maadui wengi!

Mngekuwa na maadui wengi namna hiyo kama mnavyoaminishana huko Lumumba, huyu loser mwenzenu Jiwe bado angekuwepo madarakani?

Yaani fikra za enzi za ujima tangua zama za Nyerere kuna losers hadi kesho ndo fikra zenu!!

Tangu akina Nyerere wameanza kuwaambia malofa kwamba mna maadui kila kona, unadhani CCM ingekuwepo?!

Btw, what's so special mlichonacho Tanzania ambacho wengine hawana hadi muwe na maadui wengi kiasi hicho?

Patrice Lumumba aliyekuwa na maadui wa kweli alidumu madarakani kwa muda gani?

Muammar Gaddafi na Saddam Hussein waliokuwa na maadui ni miaka mingapi tangu wauawe?!

Samora Machel na Mondlane ambao walikuwa na maadui waliiongoza Mozambique kwa muda gani?!

Thomas Sankara aliyekuwa na maadui wa kweli aliiongoza Burkina Fasso kwa miaka ngapi?

Na mlivyo na akili fupi, hao hao mnaodanganyana eti ni maadui wenu ndo hao hao wanaoawapa pesa ili misukule aina yako mfundishwe hadi jinsi ya kunawa mikono!

VERY STUPID!
 
Uko sawa watu wanaongea sana bila kujua uhalisia wa jambo
Kwahiyo social media hazina umuhimu kwa wananchi?

Au unadhani kila mtu anaingia instagram kuangalia umbea?

Kuna biashara kubwa zinafanyika kupitia social media na ni ajira za watu.
 
Na adui namba moja ni wapumbavu aina yako wenye upeo mdogo ambao ni Vibaraka wa Madhalimu aina ya Jiwe ambao kutokana na upumbavu wenu mmeanishwa eti Tanzania mna maadui wengi! Mngekuwa na maadui wengi namna kama mnavyoaminishana huko Lumumba, huyu loser mwenzenu Jiwe bado angekuwepo madarakani?

What's so special mlichonachi Tanzania ambacho wengine hawana hadi muwe na maadui wengi kiasi hicho?

Mlivyo wapumbavu, hao hao mnaodanganya ni maadui wenu ndo hao hao wanaoawapa ili misukule aina yako mfundishwe hadi jinsi ya kunawa mikono!

VERY STUPID!
Kama hajaelewa hadi hapo basi pale lumumba kuna shida kubwa.
 
Unajua wewe kilaza ni bora unyamaze kuficha matope uliyonayo kichwani unajiaibisha tu bure. Yaani Professional hackers uwazuie kwa kuzima internet? kilaza kama wewe umeweza kubaypass hizo restrictions kutoka tcra kwa kutumia hako ka vpn sembuse wadukuzi?
Hapa mnabishana na lijinga jinga... Bora mnyamaze tu.
 
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.

Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.

Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.

Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Kama wewe ni Mzalendo wa kweli, na unayaamini haya uliyoyaandika, umetumia njia gani kutufikishia ujumbe wako hapa JF? Bila kuvunja sheria, ungeweza kutuletea hiki ulichoandika? Uishi unachokihubiri!
 
Hivi kwa akili ya kawaida tu Marekani awe na jambo lake serious kuna nini chakumzuia asitekeleze nakufanya atakacho?

Ni kujidanganya pakubwa kudhani tuna ubavu wakupimana nhuvu na Marekani au nchi za magharibi kwa ujumla wake.
 
Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.

Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Hatutumii amazon, eBay au aliExpress. Ila tunafanya hivyo hivyo kupitia status, instagram na Facebook. Na amini tunapata rizki zetu kupitia platforms hizo.

Hivyo hoja ya kudharau e-commerce bongo haina mantiki. Na kiasi kikubwa baadhi yetu tumeathirika na kufungiwa kwa mtandao.
 
Aise teuzi kumbe zinapatikana kwa njia nyepesi kama hizi?

Kama kuna mtu alipata teuzi kwa uandishi wa aina ya mleta mada basi viongozi tulionao ni janga kubwa.

Usishangae mada kama hii isiyo na mashiko nayo inampa ugali mleta mada pale mitaa yao ya bk 7.
 
Hapa mnabishana na lijinga jinga... Bora mnyamaze tu.
Wewe na mpuuzi mwenzako ambae mnajifanya hamjui Tanzania inarasimali gani adimu na muhimu na maadui wengi wanaionea wivu ndio mnafikiri kwa makalio na vichwa vimejaa kinyesi.
 
Back
Top Bottom