Torquemada
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 231
- 260
Huyo ni Chakula kitamuKwa swali hili inaonekana aidha ww ni mzee, au kijana unayejifanya mzalendo uchwara.
Hayupo kundi la wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Chakula kitamuKwa swali hili inaonekana aidha ww ni mzee, au kijana unayejifanya mzalendo uchwara.
Acha utani. Hivi unajua ni kiasi gani sasa watu tunanunua mahitaji kwa njia ya mtandao? Mtu ana bidhaa mkoa fulani mnawasiliana anakutumia? Mimi ndiyo huwa nafanya. Na kipindi cha corona ndiyo wengi walijifunza na sasa elimu ya online marketing platforms ndiyo mwake.E- commerce bongo? Kila siku mnarundikana kwenye magenge kununua nyanya na dagaa mchele.
Upo darasa la ngapi?Wewe na mpuuzi mwenzako ambae mnajifanya hamjui Tanzania inarasimali gani adimu na muhimu na maadui wengi wanaionea wivu ndio mnafikiri kwa makalio na vichwa vimejaa kinyesi.
Sio kijijini mkuu hili ni dubwana jingaa. Linadhan kila kitu ni mapambio. Now uchaguzi umeshapita hakuna threat yoyote to the government, hali ni Shwari, nadhani hata serikali iko mbioni kurudisha network.
Wewe na mpuuzi mwenzako ambae mnajifanya hamjui Tanzania inarasimali gani adimu na muhimu na maadui wengi wanaionea wivu ndio mnafikiri kwa makalio na vichwa vimejaa kinyesiHapa mnabishana na lijinga jinga... Bora mnyamaze tu.
Soma vitabu kijana achana na mitandao,kwani kusoma mpaka utumie soft copy?Kwa swali hili inaonekana aidha ww ni mzee, au kijana unayejifanya mzalendo uchwara.
Na hawezi kuelewa kwa sababu huo upeo wenyewe hana!!Kama hajaelewa hadi hapo basi pale lumumba kuna shida kubwa.
Piga simu ya mkononi si mlishakuwa wateja na mnafahamiana! Acha uzuzuAcha utani. Hivi unajua ni kiasi gani sasa watu tunanunua mahitaji kwa njia ya mtandao? Mtu ana bidhaa mkoa fulani mnawasiliana anakutumia? Mimi ndiyo huwa nafanya. Na kipindi cha corona ndiyo wengi walijifunza na sasa elimu ya online marketing platforms ndiyo mwake.
Angalia ulivyo na akili finyu!!!Piga simu ya mkononi si mlishakuwa wateja na mnafahamiana! Acha uzuzu
Usigeuze betri za radio ukidhani itaongea kinyumenyume. Lingine tena....Duh! Kwahiyo Polepole kazamisha bomba kwenye kinyeo chako na bomba limeingia lote?! No wonder unaongea uharo... atakuharibu huo mtaro kwa tamaa zako boya wewe!
Wewe na mpuuzi mwenzako ambae mnajifanya hamjui Tanzania inarasimali gani adimu na muhimu na maadui wengi wanaionea wivu ndio mnafikiri kwa makalio na vichwa vimejaa kinyesi
Soma vitabu kijana achana na mitandao,kwani kusoma mpaka utumie soft copy?
Kijana umeishia la ngapi? Unadhani Accacia waliondoka kwa kupenda?Raslimali gani za kuonewa wivu na wazungu ambazo haziko popote duniani isipokuwa Tanzania tu? Hebu nitajie raslimali yoyote ambayo iko Tanzania tu na haipo popote ambapo wazungu wakikosa maua yao yatasimama. Halafu hizi siasa za kuendekeza propaganda za kijinga zimeanza na awamu hii ya washamba. Mbona uchaguzi wa 2015 social media zilikuwa On na hakuna tatizo lilitokea? Au kwakuwa uchaguzi huu mliamua kutembea na kura kwenye mabeg?
Angalia ulivyo mpumbavu!!!Wewe na mpuuzi mwenzako ambae mnajifanya hamjui Tanzania inarasimali gani adimu na muhimu na maadui wengi wanaionea wivu ndio mnafikiri kwa makalio na vichwa vimejaa kinyesi
Soma vitabu kijana achana na mitandao,kwani kusoma mpaka utumie soft copy?
Usalama wa kuzima mtandao ili wakiiba kura ichukue muda taarifa kusambaa!? Bure kabisa ,NktHasara? Serikali inaji usalama wa nchi na watu wake.
Kwa hiyo hivyo ulivyotaja viko Tanzania tu, na wakivikosa maisha yao yatasimama? Kwani mpaka sasa vitu hivyo havichimbwi na hao hao wazungu? Au hawa wazungu wanaovichimba hivi sasa, ni tofauti na hao mnaolishana propaganda mfu?Kijana umeishia la ngapi? Unadhani Accacia waliondoka kwa kupenda?
Kampuni ngapi za mabeberu wanagombania kuja kuchimba dhahabu?
Nickel,uranium,chuma cha Liganga ni mifano tu ya vitu ambavyo wazungu wanavitaka kwa udi na uvumba.
Usa wana mafuta lakini wanagombania mafuta Iraq na Libya,huu ni mfano tu. Kuwa na dhahabu haifanyi mabeberu kutoitamani Tanzania. Ila nafikiri ni vijana wa 1995-2020 ambao elimu yako ni ya kupata A lakini kichwani una 0
Lini Serikali ilitangaza imezuia mitandao? Wewe huu ujumbe ungeufikisha hapa bila mtandao kufanya kazi? Kwanini usiengeandika OP-ED Kwenye Majira au Mzalendo kupitia SLP tukasoma huko?Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Umesahau kuwa leseni nyingi zilifutwa na kuanzia 2017 ilitungwa sharia mpya ya madini? Hujui kampuni nyingi ziliondoka na sasa ndio zinakuja kivingine.Kwa hiyo hivyo ulivyotaja viko Tanzania tu, na wakivikosa maisha yao yatasimama? Kwani mpaka sasa vitu hivyo havichimbwi na hao hao wazungu? Au hawa wazungu wanaovichimba hivi sasa, ni tofauti na hao mnaolishana propaganda mfu?
Si mmesema watanzania sio wajinga hawawezi kufanya fujo wala kuandamana?Woga huu wa nini sasa?Ni kweli kabisa upo sahihi. Lakini, unafanyaje biashara ama unafanyaje maswala mbalimbali ya kitaaluma huku, nyumba zinachomwa moto, wanafunzi wako bize kutafuta mikuki, upinde na mishale, mabomu ya kufutia machozi yanalindima nakadhali!