Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini...
Mimi ni mwana CCM Mwenzako na Shabiki 'tukuka' kabisa wa Rais Dk. Magufuli na hata 'Kura' yangu nimempa Yeye, ila kwa hili lililofanywa na TCRA siliungi mkono tena kwa 100% kwani ni la 'Kipumbavu / Kipopoma' mno. Nimesikitia umekuja na huu Uzi wako huku ukiwa na 'Hoja' za 'Kitoto' na 'Dhaifu' kabisa huku ukinipa 'Mashaka' kama huko Chuo Kikuu ulikosoma ulistahili kweli Kusoma.
Kwa Kukutaarifu tu sasa ni kwamba GENTAMYCINE nimebahatika kupita katika Taasisi kadhaa za Serikali hapa Mkoani Dar es Salaam na hata kukutana na Watendaji baadhi na wote 'wamechukizwa' na 'kusikitishwa' na huu 'Upumbavu' unaoutetea hapa uliofanywa na hawa TCRA. Watafute Watu wa TRA wakupe 'Mrejesho' mzima wa 'Hasara' ambayo nchi imeipata kutokana na huu 'Upumbavu' wa waliotuzimia.
Najua kwakuwa 'Kichwani' Kwako ni 'Mtupu' hili hulijui na sasa nakupa kwamba baada ya hawa TCRA 'Kuamuru' haya Makampuni ya Simu yarudishe 'Huduma' za Mtandao 'yamegoma' na wanachofanya ni Kuwasha tu 'Kimtindo' kisha 'wanazima' au kufanya Mtandao uwe 'Slow' ili tu na Wao 'Kuwakomoa' hawa TCRA wako. Na nasikia kuna Kampuni Kubwa tu ya Kimarekani inataka ilipwe ndiyo ibonyeze Kitufe cha Internet.
Namalizia kwa Kukuuliza je, umeshajua ni kwanini hivi sasa kuna Ulinzi mkubwa, mkali na umakini mwingi pale Kijitonyama katika Ofisi za Posta? Kwakuwa Kichwani mwako ni 'Mtupu' siwezi Kukupa Kinachoendelea na Kilichosababisha. Sasa kama hawa TCRA wako 'unaowatetea' hapa wamezima Mtandao mbona Watanzania wenye 'Akili' kuliko wao bado tunaendelea tu Kutumia Mtandao kutoka nchi zingine Duniani?
Amani au Ustawi wa nchi hauletwi kwa 'Wapumbavu' kadhaa Kuamua 'Kipumbavu' tu 'Kuzima' Mtandao bali ni kwa wenye Mamlaka Kuongoza au Kutawala kwa Haki huku wakikubali 'Kukosolewa' ili wawe 'imara' zaidi. Na kama kuna Serikali ambayo ilipaswa iheshimu sana Mitandao na Maoni yetu Sisi 'Keyboard Warriors' basi ni hii ya sasa kwani 'tunaisaidia' kuliko vile inavyodhani kwa 'Kuwaibulia' mengi tu wasiyoyajua.
Na usichokijua Mitandao hii hii unayosema inaleta 'Vita' ndiyo hii hii ikitumika vyema ndiyo 'Kinara' wa Kuleta Amani hapa Duniani. Amekera sana!