Mjinga ni wewe ambae hujajua mantiki ya kuzima mitandao wakati wa uchaguzi.Upumbavu ni kuushambulia mtandao wa Internet kwa kutumia mtandao huo huo wa Internet.
Ungeandika kwa masizi kwenye mabua ukasambaza ujinga wako, hapo hata kama ungekuwa umekosea, angalau ungekuwa consistent kinadharia.
Sasa hivi unaushambulia mtandao wa internet, wakati huo huo unautumia, unaonekana ama ni mjinga, ama ni mnafiki.
Pengine vyote viwili.
Niliongea na dereva uber alienichukua akawa analalamika dah kipindi hiki biashara imekua ngumu kweli.E- commerce bongo? Kila siku mnarundikana kwenye magenge kununua nyanya na dagaa mchele.
Ccm imewaharibu mno wananchi wengi kwa kuwaaminisha vitu vya ukweli.Mjinga ni wewe ambae hujajua mantiki ya kuzima mitandao wakati wa uchaguzi.
Mwambie avumilie ni kwa maslahi mapana ya taifa.Niliongea na dereva uber alienichukua akawa analalamika dah kipindi hiki biashara imekua ngumu kweli.
Sababu akasema ni mtandao kutokupatikana.
Anyways uber drivers wote bongo tatizo ni Chadema hivo lazima walalamike 🙌🙌🙌
Tanzania hamna udhalimu ndio mliitisha maandamano wala hakuna aliyejitokeza. Wewe mwenyewe unaandamana humu Jf kwa maneno tu.Ccm imewaharibu mno wananchi wengi kwa kuwaaminisha vitu vya ukweli.
Hivi unaelewa kweli maana halisi ya usalama wa Taifa?
Unadhani kuzima internet pekee ndo kutaepusha let say machafuko?
Kipindi cha Arab spring watawala walizima internet nchi nzima kuhofia maandamano lakini bado watu waliandamana na hakuna mtawala aliyenusurika kusalia madarakani.
Maandamano yakuwaondoa madhalimu hayajaanza leo yalianza hata kabla ya internet kuingia duniani.
Aisee. Ningeweza kukutukana kwa niaba yake lkn naogopa ban.Mwambie avumilie ni kwa maslahi mapana ya taifa.
Chukueni majembe mkalime acheni kazi za kivivu,uber nani anapanda siku hizi acha upuuzi. Kila Ist ni uber biashara gani hiyo? Nendeni mkalime lasivyo mtaolewa weww na huyo dereva.Aisee. Ningeweza kukutukana kwa niaba yake lkn naogopa ban.
Uber drivers have the target to meet in their dealings. They have families to feed ffs.
Stop being a dimwit
Mkuu serikali ilishawahi kukiri popote kuwa ilizima internet au mitandao ya kijamii?Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Mtu mwovu Siku zote huishi kwa hofu.Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Mimi wala sipo upande wowote wa hivi vyama vya kisiasa mkuu nachangia kutokana na thread/comment ambayo naona naweza kufanya hivyo.Tanzania hamna udhalimu ndio mliitisha maandamano wala hakuna aliyejitokeza. Wewe mwenyewe unaandamana humu Jf kwa maneno tu.
Naomba ulale,huna kitu kipya.Mimi wala sipo upande wowote wa hivi vyama vya kisiasa mkuu nachangia kutokana na thread/comment ambayo naona naweza kufanya hivyo.
Pia nimegusia issue ya internet kwamba waweza kuzima lakini wananchi wakiamua kuandamana wataandamana tu.
Mtu aliyeshinda kwa kishindo maana yake ni kwamba ana kundi kubwa la wananchi wanaom support hivyo sioni umuhimu wa serikali ku deal na wapinzani kila uchwao kamata kamata zimekuwa nyingi sijui hofu ya nini wakati wananchi wengi wanaipenda serikali yao.
Serikali ingeacha viongozi wa upinzani waandamane tu maana wananchi wangewakataa kuliko hii kamata kamata inaonesha wananchi wengi hawaiungi serikali mkono.
KwaheriChukueni majembe mkalime acheni kazi za kivivu,uber nani anapanda siku hizi acha upuuzi. Kila Ist ni uber biashara gani hiyo? Nendeni mkalime lasivyo mtaolewa weww na huyo dereva.
WEWE NI ZUZU, ndio maana hata majority ya wana-Lumumba wenzako hawakuungi mkono kwa sababu upeo wako upo below even Lumumba's average!!We muuza vitumbua Kawe ndio ukutane na watendaji wakuu wa serikali? Mbona shughuli za umma zipo sawa tu na website za serikali zinafanya kazi kama kawaida. Unadhani kila mtu ni mjinga kama hawa wafuasi wa Chadema ambao huwa unawajaza ujinga?
Ulivyokuwa na akili ya kimaskini unadhani e-commerce inatimika kwe ye biashara ndogo ndogo. Expand fikra zako..E- commerce bongo? Kila siku mnarundikana kwenye magenge kununua nyanya na dagaa mchele.
For the record haijazimwa complete. Wame disable na kuslowdown bandwidth kwa baadhi ya websites. However watu wako so adaptive.. wamekuja njia za ku access hiyo mitandao na watakuja nazo zaidi na zaidi.Wewe kula kulala huwezi kujua kuzima kwa internet imeleta hasara kiasi gani kiuchumi, mfanyabiashara mmoja mmoja mambo yamestuck, Usiwe bendera fuata upepo
Kwann usingeenda kuyasemea haya kwa kipaza saut uko mtaani ukaja kuandika kwenye mtandao, kama mtandao hauna umuhimu mkuu, apa enyewe unatumia mtandao afu unapinga internet Afu usikute ww ni msomi mkubwa tu maskiniHii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Nimesema haina umuhimu? Au usalama wa nchi ni muhimu zaidi ya mtandao?Kwann usingeenda kuyasemea haya kwa kipaza saut uko mtaani ukaja kuandika kwenye mtandao, kama mtandao hauna umuhimu mkuu, apa enyewe unatumia mtandao afu unapinga internet Afu usikute ww ni msomi mkubwa tu maskini
Sasa mkuu e commerce na kuzima mtandao vinaingilianaje?Unajua maana ya e-commerce????
Lumumba sipajui na mimi sio mwana Lumumba,wao kutoniunga mkono sio sababu ya kutosema ukweli. Vipi umeanza kuwashwa tena?WEWE NI ZUZU, ndio maana hata majority ya wana-Lumumba wenzako hawakuungi mkono kwa sababu upeo wako upo below even Lumumba's average!!