Serikali iwe makini, isikurupuke kurudisha mtandao wa intaneti

Ulivyokuwa na akili ya kimaskini unadhani e-commerce inatimika kwe ye biashara ndogo ndogo. Expand fikra zako..
Kwa hiyo inabagua? Kama inabagua haitufai watanzania 90% tunaishi uswahilini,asubuhi tunaamka na mabakuli kutafuta vitumbua na mihogo.
 
Hamna usalama unalindwa kwa kuzima internet Labda Tanzania itakuwa ya Kwanza, sio kweli nchi zilizoendelea kimtandao ndo zina machafuko, ko tuseme Somalia wanatumia sana mitandao ama nn
Nimesema haina umuhimu? Au usalama wa nchi ni muhimu zaidi ya mtandao?
 
Hamna usalama unalindwa kwa kuzima internet Labda Tanzania itakuwa ya Kwanza, sio kweli nchi zilizoendelea kimtandao ndo zina machafuko, ko tuseme Somalia wanatumia sana mitandao ama nn
Somalia ni nchi iliyoendela? Kwa hiyo kama huko kuna machafuko?

Internet shutdown ni solution kuzuia propaganda za uongo zinazoleta uharibifu wa amani.
 
Kwa hiyo inabagua? Kama inabagua haitufai watanzania 90% tunaishi uswahilini,asubuhi tunaamka na mabakuli kutafuta vitumbua na mihogo.
Ww ndio unaishi uswahilini. And haibagui. It depends na mtu anataka kufanya biashara gani. Hata kama ni ndogo ukiqmua kutumia e-commerce thats up to you.
Na ndio maana serikali haijapiga marufuku.

Sizungumzii small business ambazo naona ww umezilenga. Nazungumzia biashara zinazoingizia nchi pato kubwa.. e-commerce imekuwa moja ya online platform ambazo almost mabenki yote.. mpaka BOT yanatumia. Online transactions zote zinazunguka kwa e-commerce.
E-commerce ni revolutions si dhambi wala kuvunja sheria. Na kama huwez ku afford .. hiyo ni ww. Wapo wanaoweza ku afford na serikali inawatambua.
 
Somalia ni nchi iliyoendela? Kwa hiyo kama huko kuna machafuko?

Internet shutdown ni solution kuzuia propaganda za uongo zinazoleta uharibifu wa amani.
Kwa dunia tuliopo Ujenzi wa barabara sio suluisho pekee la kukuza uchumi wa watu, tumetoka zama za mawe, na sasa tuko zama za technologia na habari uwez kufosi tuende tofaut ata kidogo, habari ndo kila kitu ni bora kuweka sheria kali za matumiz ya mitandao kuliko kuzima mitandao
 
Cybercrimes Act,2005?
 
Dunia inaenda mbele ww unafosi turudi nyuma haiwezekan, ndo maana walizima lkn watu wakajua matumizi ya VPN kuliko kawaida saiv matumiz ya VPN nchini japokuwa ni kinyume cha sheria lkn ndo habari ya mjini, Technologia ni kitu kingine
 
Usidhani watu wote humu wanatoa maoni yao wanapinga serikali kufungia mitandao.Serikali haijafunga internet unavyofikiri wewe labda imedhibiti mitandao ya kijamii ambayo ndio www.Ingefunga internet usingeweza kwenda kuchukua hela crdb acha kuichafua serikali kwa kutojua kwako na ushabiki.Tatizo ni wewe mtoa mada maneno unayotoa.Mtu atajiuliza uko sayari gani dunia hii.Elewa wanao comment humu wengi ni wazalendo wa nguvu pengine kuliko wewe na tena wana CCM tatizo unavo comment inawatia hasira mtu wanayejaribu kumuelimisha una mawazo ya kizamani mno how come uongelee hardcopy ya vitabu shuleni kwanza shule zingine havipo lakini mtandaoni mtu anasoma.How come mtu akuambie mambo ya e-commerce wewe unaongelea mambo ya kununua mihogo na nyanya gengeni hivi unafikiri kila mtu anaishi uswahilini.Mimi sijapinga wazo lako ila nilichogundua ulikuwa hujui kutofautisha kati ya internet na mitandao ya kijamii ni sawa na kulinganisha bahari na maziwa na mito vyote uviite bahari kisa tu vina maji ndani yake.Ila nimekugundua ifuatavyo:-
1.Kwa vyovyo utakuwa una elimu flani otherwise usingeweza kutoa baadhi ya comment ninazoona ila elimu yako kuhusu internet sio kubwa na ndo maana mimi mtaalamu wa IT nikaona sio kukuelimisha wewe mtoa mada ni kuchangia ili wana JF wengine wafahamu mtu hawezi kuwa mtaalamu wa kila fani.
2.Hata kama umesoma au hujasoma huna discipline au kwa kifupi huna hekima na busara kutokana na maneno machafu unayotumia nashangaa kwanini JF wasikupe ban.Hivyi unajua wako wasomi lakini ni wabwiya unga na bangi.
3.Kama ni well educated na muelewa unafanya makusudi kukoroga mada ili uone reaction za watu zitakuwaje kuhusu hili sakata la mambo ya mitandao kama ni hivyo basi utakuwa ni mtu muelewa mno.Unajua unachofanya
4.Huna ufahamu humu wachangiaji wengine si vijana wadogo unavyofikiria mtandao huu na mingine kuna watu wazima pengine wengine wanaweza kuwa mama au baba zako lakini hujui.Unapomtusi mtu ikatokea siku moja ukaona mfano AVATAR ni baba yako mzazi au mama yako mzazi utajisikia vibaya sana
Mtu akitumia muda wake mwingi kuelimisha jamii kwa lugha staha usimjibu kijeuri na matusi otherwise huo uzalendo wako utakuwa bendera fuata upepo tafuta kitabu cha shaban Robert kuna shairi linaitwa Mfua bati kisha soma
Ajabu unaongelea serikali ifikirie kuhusu kurudisha internet wakati unatumia JF ambayo ni sehemu ya hiyo internet unayoongelea
 
Leo wameblock change.org mule Twitter ili tusimalizie sahihi zetu elfu 10 kumburuza muuaji jela zilibakia Mia 5. Kwa mwenye ufahamu atufungulie tumshitaki huyu shetani pls.
 
Dola yoyote inayothubutu kuchezea(throttling), kuchuja(censoring) au kuzima(blockade) internet ni dalili ya kiwango cha juu kabisa cha kutaka kutawala fikra, maisha na hali za watu bila ridhaa yao. Inaonesha level ya uelewa na utashi wa washauri na wafanya maamuzi wetu ilivyojaa fikra za kijinga.

Ni mpumbavu pekee anaeweza kusupport na kusifia hiki waichofanya serikali bila kutafakari athari zake leo na baadae. Kwangu mimi hii ni solution ya mufa mfupi kwa tatizo la muda mrefu.
 
Lumumba sipajui na mimi sio mwana Lumumba,wao kutoniunga mkono sio sababu ya kutosema ukweli. Vipi umeanza kuwashwa tena?
WEWE NI ZUZU, ndio maana hata majority ya wana-Lumumba wenzako hawakuungi mkono kwa sababu upeo wako upo FAR below the average!! Hujafikisha hata average level ya wana-Lumumba wenzako!
 
Mimi kutumia haki yangu ya kutoa maoni yangu ina husiana vipi na Magufuli kuufahamu ukoo wetu? Ukiambia pumbavu utasemaje?
WEWE NI ZUZU, ndio maana hata majority ya wana-Lumumba wenzako hawakuungi mkono kwa sababu upeo wako upo FAR below the average!! Hujafikisha hata average level ya wana-Lumumba wenzako!
 
Imesaidia sana kupunguza na kuongoa proganda za kizushi kama hizi.
WEWE NI ZUZU, ndio maana hata majority ya wana-Lumumba wenzako hawakuungi mkono kwa sababu upeo wako upo FAR below the average!! Hujafikisha hata average level ya wana-Lumumba wenzako!
 
Uwez funga bank kwa kuogoba cyber crimes badala yake ni kuziongezea ulinzi wa mitandao bank ili wizi wa kimtandao usitokee mkuu,
Ulisema hamna sheria kali za kudhibiti matumizi mabaya acha kurukaruka
 
WEWE NI ZUZU, ndio maana hata majority ya wana-Lumumba wenzako hawakuungi mkono kwa sababu upeo wako upo FAR below the average!! Hujafikisha hata average level ya wana-Lumumba wenzako!
Naomba Mungu kwa usalama wa nchi yetu kuepuka wapotoshaji na wanasiasa wahuni kama wa Chadema internet isifunguliwe mpaka mwakani mwezi wa sita.
 
Mi nasema hivi, hili jamaa sio jinga bali ni pumbavu manake jinga likielimishwa linabadilika kuwa mjinga, na akiendelea kuelimishwa anaachana na ujinga wake for good, lakini hili zuzu hata likielimishwa halitaki, na mbaya zaidi, hata wanaomjia kistaarabu anaishia kuwatukana!!!

Angalia huyu mdau alivyomjia kwa ustaarabu:-
Lakini mdau pamoja na kumjia kwa ustaarabu wote huo, kaishia kujibiwa-
 
Naomba Mungu kwa usalama wa nchi yetu kuepuka wapotoshaji na wanasiasa wahuni kama wa Chadema internet isifunguliwe mpaka mwakani mwezi wa sita.
WEWE NI ZUZU, ndio maana hata majority ya wana-Lumumba wenzako hawakuungi mkono kwa sababu upeo wako upo FAR below the average!! Hujafikisha hata average level ya wana-Lumumba wenzako!

Na kama ulikuwa hufahamu, Mungu hawasikilizi mazuzu, anasubiri tu mkishakufa awaangize peponi kwa sababu anajua HAMNA AKILI!!!
 
Sasa kama umeshajua kuwa Mimi ni Muongo / Tapeli kwa kujifanya ni Afisa wa Serikali na Usalama ( UWT ) kwanini usinishtaki tu Kwao? Pumbavu.
Ahaaaa sababu unaendekeza ujinga na upumbavu? Matapeli kama wewe wapo wengi,utasikia nilikuwa na viongozi wa wizara.... tumewazoea. Kumbe mnaishi kawe uswahilini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…