Nafikiri hujasoma nilichoandika na kukielewa.Mkuu, nimeandika nikafuta mara kadhaa, lakini itoshe kusema haujui unachokipigania. Swali dogo tu, ikiwa unaipongeza serikali kukata mawasiliano hayo, mbona upo hapa ? Mbona umefanya kila juhudi uwe kwenye mtandao ?.
Eti kusoma kwa kutumia internet ni uvivu! Dah! Bado upo mbali miaka ya 1942. Pole sanaBiashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Hata sijui unazungumzia nini!Pole sana. Maana kijiba bado hakijatoka rohoni. Kitatoka, Polepole ndiyo mwendo!
Nadhani unapngelea ushabiki tu na sijui Kama unajua ni kiasi gani watu wamepoteza wakati mitandao.Na sidhani Kama unajua ni watu wangapi waliokuwa wanategemea Internet katika biashara,masomo,kupashana habari nk lkn wewe uko rigid na huoni what are the impacts hata kwa nchi ni kiasi imepoteza kiuchumi.Madhara yaliyopatikana kiuchumi ni makubwa Sana.Tafakari Sana.Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Huyo jamaa hata e-Trade haijui yy anajua kishabikia tu both are loosers.Unajua maana ya e-commerce????
Wewe bado ni kilaza vitabu viko kwenye internet funguka nani anayetegemea hard copy huo ni usomaji wa stone age siyo Sasa.Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Yangetokea machafuko hizo biashara zingefanyika? Maduka na hasara kiasi gani ingetokea kwa vitu kuchomwa na kuibwa?Mkuu umefikiria athari zake kwa watu ambao hufanya biashara zao online? Applications za job na hata vitu vingine muhimu vinavyofanyika online ?
Yani kuna baadhi ya Watanzania ni wajinga kuliko hata huyo Bashite, Kila mtu anajipendekeza kwa Jiwe mpaka inakeraJamani eeeeh sio lazima wote tujipendekeze kwa mfalme ili tule. Wengine tukalime.
Intaneti ni nyenzo muhimu sana yenye matumizi makubwa kuliko hizo siasa zenu za kilevi.
Biashara, maswala mbalimbali ya kitaaluma, vyote vinategemea intaneti kwa kiasi kikubwa katika nyakati hizi.
Msiwafanye watanzania wote kuwa wahanga na mateka wa siasa zenu za kubabaisha na za kuunga unga kwa propaganda za kuokoteza.
Mara sijui tunapambana na maadui?
Maadui gani mnaopambana nao ninyi Tanganyika? Kanchi dhaifu kasikojulikana hata kwenye ramani ya dunia!
Hebu wacheni siasa za kitoto.
Hahaha we genius sana, kwanini usiwashauri wakazima kwa miaka 10 kabisa.Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini.
Hizi ni nyakati mbaya sana maana mitandao inatumika vibaya na mara nyingi hutumika hata kuiba siri za nchi na kueneza propaganda za uongo.
Tumeshuhudia wadukuzi wakifanya udukuzi kwa kueneza propagada za uongo na kusababisha taharuki hasa nyakati za uchaguzi. Mimi binafsi naipongeza Serikali kwa hatua ilizofanya kwa maslahi ya taifa letu.
Hatujui akina Amsterdam na baadhi ya mabeberu walikuwa na mpango gani wa kudukua na kuingilia mawasiliano ya mtandao wa serikali yetu ili kuvuruga uchaguzi.
Usidhani mtazamo wako ni sawa na uhalisia ulivyo,kuna Biashara nyingi sana hifanyika online, hata Vitabu na majarida na pia updates mbalimbali kuhusu vitu vilivyoandikwa na vikafanyiwa research tena kwa umakini utavikuta online kila sku sasa wewe unapinga hili dah sijui ww ni kiumbe wa namna ganiBiashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Unamawazo mgando sana,Hanijui, uzalendo na mapenzi kwa taifa langu ndio maana nasema ukweli.
Mimi ni mwana CCM Mwenzako na Shabiki 'tukuka' kabisa wa Rais Dk. Magufuli na hata 'Kura' yangu nimempa Yeye, ila kwa hili lililofanywa na TCRA siliungi mkono tena kwa 100% kwani ni la 'Kipumbavu / Kipopoma' mno. Nimesikitia umekuja na huu Uzi wako huku ukiwa na 'Hoja' za 'Kitoto' na 'Dhaifu' kabisa huku ukinipa 'Mashaka' kama huko Chuo Kikuu ulikosoma ulistahili kweli Kusoma.Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini...
Hanijui, uzalendo na mapenzi kwa taifa langu ndio maana nasema ukweli.
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini...