mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Serikali kuweni makini sana na Hili Jambo.Mimi kama mwana CCM na Mtanzania,naweza kusema hili jambo mlimalize kwa ustaarabu Mkubwa.
Mnaweza mkawapa maadui wetu kutusemea vibaya,na mwishoe Watalii wakaogopa Kuja Tanzania.Serikalini kuweni makini sana nawahusia.
Tumetumia gharama kufanya Filamu ya Royal tour. Basi tutumie pia nafasi hii kuwahakikishia Watalii ya kuwa Tanzania hakuna hayo ambayo yanaripotiwa kuhusu Ngorongoro tutajiharibia na kuharibu Sekta ya Utalii wetu tunaotumia nguvu Kubwa kuutangaza.
Mnaweza mkawapa maadui wetu kutusemea vibaya,na mwishoe Watalii wakaogopa Kuja Tanzania.Serikalini kuweni makini sana nawahusia.
Tumetumia gharama kufanya Filamu ya Royal tour. Basi tutumie pia nafasi hii kuwahakikishia Watalii ya kuwa Tanzania hakuna hayo ambayo yanaripotiwa kuhusu Ngorongoro tutajiharibia na kuharibu Sekta ya Utalii wetu tunaotumia nguvu Kubwa kuutangaza.