Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Wananchi Wezangu,
Nami leo ninapenda kutowa maoni yangu, ingawaje sidhani kwamba jaji Warioba na kundi lake watayasikia maoni haya.
Kwanza ningependa kuyapa uzito maoni yangu kwa kuweka hii map ya Zanzibar ya mwaka 1886, kabla ya mile 10 za fukwe ya Tanganyika na Kenya kukodishwa kwa miaka 99 kwa wajerumani na waingereza.
Kabla ya wazungu kuifanya ramani hii, tanganyika ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar, mjerumani ikaipora sehemu hiyo na kuifanya koloni lake.
Mimi ninaamini moyoni kwamba sisi wazanaibari na watanganyika ni wamoja kidamu na tulikuwa raia wa nchi moja, sulatanate of zanzibar,
Kwa mtazamo huo na tufanye tu nchi moja lakini iitwe zanzibar na capital city yake iwe znz town, na musiseme znz town ni mji mdogo kuwa capital, kwani dodoma hakuna kitu chochote cha kuifanya iwe capital ya tz, hata airport hakuna.
Tujikombowe kutoka makucha ya wakoloni na turejeeni katika asili yetu ya Dola ya zanzibar
Ahsanteni
Nami leo ninapenda kutowa maoni yangu, ingawaje sidhani kwamba jaji Warioba na kundi lake watayasikia maoni haya.
Kwanza ningependa kuyapa uzito maoni yangu kwa kuweka hii map ya Zanzibar ya mwaka 1886, kabla ya mile 10 za fukwe ya Tanganyika na Kenya kukodishwa kwa miaka 99 kwa wajerumani na waingereza.
Kabla ya wazungu kuifanya ramani hii, tanganyika ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar, mjerumani ikaipora sehemu hiyo na kuifanya koloni lake.
Mimi ninaamini moyoni kwamba sisi wazanaibari na watanganyika ni wamoja kidamu na tulikuwa raia wa nchi moja, sulatanate of zanzibar,
Kwa mtazamo huo na tufanye tu nchi moja lakini iitwe zanzibar na capital city yake iwe znz town, na musiseme znz town ni mji mdogo kuwa capital, kwani dodoma hakuna kitu chochote cha kuifanya iwe capital ya tz, hata airport hakuna.
Tujikombowe kutoka makucha ya wakoloni na turejeeni katika asili yetu ya Dola ya zanzibar
Ahsanteni