mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,100
Nimekuja na ushauri huu kutokana na kuwa madaktari kunawkt km wanabahatisha vile na ukija kufika Muhimbili utaambiwa tatizo co hilo na unakuta umepoteza muda na pesa na ugonja umefika pabaya.
Kuna mama mmoja mtotowake alishituliwa ubongo hadi muhimbili wakataka wajue ni kwann madakari walifanya vile hyo hospital wakaomba wazaz wasiende kueleza km tatizo limeanzia pale. Mm mwanangu Alitibiwa sicle cell kwa muda wa miez kadhaaa na sindano kali lukuki bila mafanikio, maada ya kwenda Muhimbili ikaonekana hana tatizo hilo. Najiuliza sn kwann serikali isiweke wataalam hao huku kwenye wilaya na mikoa, kupunguza vifo visivyo vya lazima maana nawaona ni watu wa kukisia sana kuliko uhalisia, km vipimo hakuna ni bora kusema ukweli, lkn co kukisia na kumtibu mtu kwa dawa kali kitu asichoumwa.
Kuna mama mmoja mtotowake alishituliwa ubongo hadi muhimbili wakataka wajue ni kwann madakari walifanya vile hyo hospital wakaomba wazaz wasiende kueleza km tatizo limeanzia pale. Mm mwanangu Alitibiwa sicle cell kwa muda wa miez kadhaaa na sindano kali lukuki bila mafanikio, maada ya kwenda Muhimbili ikaonekana hana tatizo hilo. Najiuliza sn kwann serikali isiweke wataalam hao huku kwenye wilaya na mikoa, kupunguza vifo visivyo vya lazima maana nawaona ni watu wa kukisia sana kuliko uhalisia, km vipimo hakuna ni bora kusema ukweli, lkn co kukisia na kumtibu mtu kwa dawa kali kitu asichoumwa.