Serikali iweke mazingira ya watanzania kununua hisa kwenye mradi wa LNG

Serikali iweke mazingira ya watanzania kununua hisa kwenye mradi wa LNG

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Serikali ikubaliane na wawekezaji kuwa wananchai watanzanai wamiliki hisa, kwenye mgodi wa Gas wa LNG kule lindi.. Wasiwaachie wazungu ndo wanufaike harafu serikali inabaki na vihisa kidogo huku ikusubiri faida na kodi tu,, tuseme hapana lazima watanzania waweze kumilikishwa asilimia 20 % za hisa za biashara huska
 
Serikali ikubaliane na wawekezaji kuwa wananchai watanzanai wamiliki hisa, kwenye mgodi wa Gas wa LNG kule lindi.. Wasiwaachie wazungu ndo wanufaike harafu serikali inabaki na vihisa kidogo huku ikusubiri faida na kodi tu,, tuseme hapana lazima watanzania waweze kumilikishwa asilimia 20 % za hisa za biashara huska
Tukiacha ubonafsi yes itawezekana. Shida ni kuwa wale wanaonegotiate wanafanya nini? Kutafuta maslahi ya Taifa au yao binafsi?
 
Hii kitu ni muhimu sana kuhakiskisha kunakuwa na hisa za seeikali na hiasa za watanzania ,,mmojammoja
 
Sio Kwa chama hiki cha mafisadi na walarushwa wasiopenda wengine wapate ila wao.

Jamaa ni walafi na wachoyo balaa.
 
Back
Top Bottom