Serikali: Januari 31, 2025 ni mwisho wa kutumia mkaa na kuni

Serikali: Januari 31, 2025 ni mwisho wa kutumia mkaa na kuni

nikiongea chchte ntaambiwa nawasema vbya walimu
 
Deadline hiyo imetangazwa na Waziri wa Mazingira Suleimani Jafo.

Baada ya January 31, 2024 taasisi zote za Umma na Binafsi ni marufuku kupikia kwa kutumia mkaa na kuni.

Aidha Serikali imesema inataka kufikia 2030 Asilimia 80% ya Watanzania wote wawe wanatumia Nishati safi ya kupikia.

====

"Taasisi zote za Umma na Binafsi zinazopika chakula cha zaidi ya watu 100 itakapofika Januari 31,2024 taasisi hizo zinatakiwa kusititisha matumizi ya kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia, lakini taasisi zile ambazo zina watu zaidi ya 300 itakapofika Januari 31, 2025 zisitishe matumizi ya kuni na mkaa watumie nishati mbadala" - Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
mwenye shibe hamjui mwenye njaa, upuuzi
 
Anatokea mtu mmoja kutoka kisarawe anatutangazia eti kutumia kuni na mkaa sasa basi.

Unawakejeli wananchi masikini ili upate nini hasa?

Maana tayari wewe ni bilionea kwa kuwepo hapo bungeni na kwenye wizara.

Unaudharau kisa umasikini wetu? Hiyo kupata mlo wangu wa siku nashindwa leo unakejeli kuwa nisahau kutumia kuni?

Muwe mnaona aibu basi hata kama ni kuuza sura.

View attachment 2585444
huyu ni mpuuzi kama yule mzee wa kipara, ni ulevi wa zile naniiliu za wake wanne!
 
Ili kupata kichekesho kingine kama hili bonyeza *j*a*f*o#.....🤣😂
 
Anatokea mtu mmoja kutoka kisarawe anatutangazia eti kutumia kuni na mkaa sasa basi.

Unawakejeli wananchi masikini ili upate nini hasa?

Maana tayari wewe ni bilionea kwa kuwepo hapo bungeni na kwenye wizara.

Unaudharau kisa umasikini wetu? Hiyo kupata mlo wangu wa siku nashindwa leo unakejeli kuwa nisahau kutumia kuni?

Muwe mnaona aibu basi hata kama ni kuuza sura.

View attachment 2585444
WASHACHOKWA NA HAWANAGA JIPYA. WAMCHONGO.
 
Wakiweza kudhibiti ile misafara ya baiskeli za washkaji na magunia yao ya mikaa wanaoanziaga route zao maeneo ya nzega kupitia shy hadi mwanza nitaamini vinginevyo ni poroja kama poroja zingine tu.
 
Muhimu watueleze tu mbadala utakua ni nini mana kwa hatua tulipo tunahitaji sana kuachana na matumizi ya mkaa na kuni, kwa uhai wa dunia yetu
 
Deadline hiyo imetangazwa na Waziri wa Mazingira Suleimani Jafo.

Baada ya January 31, 2024 taasisi zote za Umma na Binafsi ni marufuku kupikia kwa kutumia mkaa na kuni.

Aidha Serikali imesema inataka kufikia 2030 Asilimia 80% ya Watanzania wote wawe wanatumia Nishati safi ya kupikia.

====

"Taasisi zote za Umma na Binafsi zinazopika chakula cha zaidi ya watu 100 itakapofika Januari 31,2024 taasisi hizo zinatakiwa kusititisha matumizi ya kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia, lakini taasisi zile ambazo zina watu zaidi ya 300 itakapofika Januari 31, 2025 zisitishe matumizi ya kuni na mkaa watumie nishati mbadala" - Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hivi magerezeza ni taasisi ya umma?

Sipati picha shule za boarding za serikali na magereza waanze kupikia gas, hiyo hela sijui watakua wanatoa wapi.
 
Jafo analeta FUTUHI ,nikitaka nipike makande inabidi nipikie gesi ,nyama choma nayo kwenye gesi? Bibi yangu aliyepo kantalamba,naminywili au kazulamimba na yeye apikie gesi?
 
Deadline hiyo imetangazwa na Waziri wa Mazingira Suleimani Jafo.

Baada ya January 31, 2024 taasisi zote za Umma na Binafsi ni marufuku kupikia kwa kutumia mkaa na kuni.

Aidha Serikali imesema inataka kufikia 2030 Asilimia 80% ya Watanzania wote wawe wanatumia Nishati safi ya kupikia.

Pia soma > Waziri Jafo apiga marufuku Majeshi na Shule kutumia kuni na mkaa kama nishati ya kupikia

====

"Taasisi zote za Umma na Binafsi zinazopika chakula cha zaidi ya watu 100 itakapofika Januari 31,2024 taasisi hizo zinatakiwa kusititisha matumizi ya kuni na mkaa kwa ajili ya kupikia, lakini taasisi zile ambazo zina watu zaidi ya 300 itakapofika Januari 31, 2025 zisitishe matumizi ya kuni na mkaa watumie nishati mbadala" - Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).
Huyu naye ni dokta? Tangu lini? Babu Tale aruhusiwe kutumia PhD yake sasa
 
Back
Top Bottom