Serikali: Januari 31, 2025 ni mwisho wa kutumia mkaa na kuni

nikiongea chchte ntaambiwa nawasema vbya walimu
 
mwenye shibe hamjui mwenye njaa, upuuzi
 
huyu ni mpuuzi kama yule mzee wa kipara, ni ulevi wa zile naniiliu za wake wanne!
 
Ili kupata kichekesho kingine kama hili bonyeza *j*a*f*o#.....🤣😂
 
WASHACHOKWA NA HAWANAGA JIPYA. WAMCHONGO.
 
Wakiweza kudhibiti ile misafara ya baiskeli za washkaji na magunia yao ya mikaa wanaoanziaga route zao maeneo ya nzega kupitia shy hadi mwanza nitaamini vinginevyo ni poroja kama poroja zingine tu.
 
Muhimu watueleze tu mbadala utakua ni nini mana kwa hatua tulipo tunahitaji sana kuachana na matumizi ya mkaa na kuni, kwa uhai wa dunia yetu
 

Hivi magerezeza ni taasisi ya umma?

Sipati picha shule za boarding za serikali na magereza waanze kupikia gas, hiyo hela sijui watakua wanatoa wapi.
 
Jafo analeta FUTUHI ,nikitaka nipike makande inabidi nipikie gesi ,nyama choma nayo kwenye gesi? Bibi yangu aliyepo kantalamba,naminywili au kazulamimba na yeye apikie gesi?
 
Huyu naye ni dokta? Tangu lini? Babu Tale aruhusiwe kutumia PhD yake sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…