Unakuta kijana ana miaka 30+, ametumia miaka 28 au zaidi shuleni hadi kuhitimu shahada yake ya udaktari.
Anarudi nyumbani bila ajira. Hana mtaji na hana ujuzi zaidi ya alichosomea. Wazazi nao hawakuwa na ajira rasmi, walikuwa wanaungaunga tu ili mtoto wao apate elimu aje kuwaokoa. Kijana anaamka anakuta baba na mama hawana nguvu tena ya kumsapoti na yeye hana nguvu ya kuwasapoti. Kila akiwaangalia wazazi anapata stress.
Kijana huyo akienda kwenye vibarua vya kusaidia mafundi anaonekana hajui lolote hivyo watu wanamkwepa.
Akisema aende mjini kama kariakoo, kutafuta cha kufanya. Anaishia kuzurula na anakosa hata 500 ya maji. Anaishia kutamani hata kuomba maji kwa mtu.
Hawezi kuuza simu ili aanze biashara maana kwenye simu ndipo ajira zinatangazwa. Na kuna muda anapitwa na fursa kwasababu ya kukosa bando.
Siku akipata elfu 1 yake anunue kifurushi, anakutana na kelele za motivational speaker wakimwambia kuwa kukaa kutegemea ajira ni uzembe. Utakufa masikini.
Anazidi kuchanganyikiwa.
Kijana huyu alikuwa na girlfriend wake, lakini ameachwa kwasababu future yake haionekani. Kijana huyu anahisia na mwili wake pia kuna muda unahitaji tendo la ndoa. Pesa ya kununua dada poa haipo, pesa ya kumpeleka mdada lodge haipo.Anaishia kujichua.
Akiangalia waliofeli darasa la saba, wapo mtaani na viduku na vidread kichwani wanaendesha bodaboda zao kwa furaha na kutamba elimu sio kitu.
Ndugu yangu; Ukipata nafasi ya kumshika kijana mmoja mkono na kumuinua juu, usisite. Vijana tunapitia mengi. Mungu atakulipa.
Kuna vijana wengi wasomi ila watoto wao hawatakwenda shule. Hawaamini tena kwenye elimu, kwa uelekeo wa vijana wasomi wanavyoongezeka na kuaminishwa kwenye kazi za ujanja ujanja taifa litaanza kujenga magereza mengi sana siku zijazo.
Anarudi nyumbani bila ajira. Hana mtaji na hana ujuzi zaidi ya alichosomea. Wazazi nao hawakuwa na ajira rasmi, walikuwa wanaungaunga tu ili mtoto wao apate elimu aje kuwaokoa. Kijana anaamka anakuta baba na mama hawana nguvu tena ya kumsapoti na yeye hana nguvu ya kuwasapoti. Kila akiwaangalia wazazi anapata stress.
Kijana huyo akienda kwenye vibarua vya kusaidia mafundi anaonekana hajui lolote hivyo watu wanamkwepa.
Akisema aende mjini kama kariakoo, kutafuta cha kufanya. Anaishia kuzurula na anakosa hata 500 ya maji. Anaishia kutamani hata kuomba maji kwa mtu.
Hawezi kuuza simu ili aanze biashara maana kwenye simu ndipo ajira zinatangazwa. Na kuna muda anapitwa na fursa kwasababu ya kukosa bando.
Siku akipata elfu 1 yake anunue kifurushi, anakutana na kelele za motivational speaker wakimwambia kuwa kukaa kutegemea ajira ni uzembe. Utakufa masikini.
Anazidi kuchanganyikiwa.
Kijana huyu alikuwa na girlfriend wake, lakini ameachwa kwasababu future yake haionekani. Kijana huyu anahisia na mwili wake pia kuna muda unahitaji tendo la ndoa. Pesa ya kununua dada poa haipo, pesa ya kumpeleka mdada lodge haipo.Anaishia kujichua.
Akiangalia waliofeli darasa la saba, wapo mtaani na viduku na vidread kichwani wanaendesha bodaboda zao kwa furaha na kutamba elimu sio kitu.
Ndugu yangu; Ukipata nafasi ya kumshika kijana mmoja mkono na kumuinua juu, usisite. Vijana tunapitia mengi. Mungu atakulipa.
Kuna vijana wengi wasomi ila watoto wao hawatakwenda shule. Hawaamini tena kwenye elimu, kwa uelekeo wa vijana wasomi wanavyoongezeka na kuaminishwa kwenye kazi za ujanja ujanja taifa litaanza kujenga magereza mengi sana siku zijazo.