Service levy ya zaman Sana,Juzi Kati nimeenda ku-renew leseni ya biashara nimeandaa 52k niliyozoea, nafika naambiwa eti kuna upuuzi mwingine umeongezeka inaitwa service levy. Kwahiyo itakuwa jumla 77k (52+25 k)
Sijui ni national wide, sijui ni halmashauri yetu!!
Upuuzi!!!!
Na hii utasikia haiwahusi wa Zanzibari, wakatu mikopo yote wamechukua waoHii itaitwa Kodi ya kichwa !! Hakiyani tulipiga hatua 6 mbele ,Sasa tumerudi hatua miaka miaka ya 1954 nyuma.kazi kwelikweli !! Watupatie tu tutalipa maana tumekopa Sana huko wordbank ,Imf .hakuna namna tupeni hizo control number tu [emoji24][emoji24], tulipe hiyo Kodi [emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi Kati nimeenda ku-renew leseni ya biashara nimeandaa 52k niliyozoea, nafika naambiwa eti kuna upuuzi mwingine umeongezeka inaitwa service levy. Kwahiyo itakuwa jumla 77k (52+25 k)
Sijui ni national wide, sijui ni halmashauri yetu!!
Upuuzi!!!!
Tutabanana hapa hapa tu [emoji3]Si mliambiwa mhamie Burundi mkajua utani[emoji16]
Rudi uliposomaKwenye capitalism, Kodi inalipwa kutokana na mtaji. Yeye anataka kodi ya kichwa, kichwa ni mtaji? Kama ndiyo turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
Kwani hapo hulipi kodi ya bidhaa ununuazo?Unalipa Kodi unaingiza Nini?
umewapa kazi?au mitaji ya biashara?
Hauwezi kuvuna kitu ambacho haujapanda.
Nchemba ni mzigo.
Sasa hivi hakunaa wa kututetea watu wanakaribishwa kuramba assaal
Mafuta tu (petroli na dizeli) yana utitiri wa Kodi na tozo mbalimbali zaidi ya 20🙄 ambazo zimesababisha gharama na bei za kila kitu kupanda. Na hapa kila mwananchi anahusika kupitia kulipa bei kubwa za nauli, vyakula, vinywaji, mavazi, mawasiliano, umeme, nk.Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao"
- @mwigulunchemba ,Waziri wa Fedha na Mipango
Taratibu basi, maana huwa mkiambiwa ccm ni sheitwani hamuelewi🙄Kwani hizi TOZO tunazolipa ni za nini?
Nchi yetu nzuri ila kuna watu wanahangaisha wananchi.
Yes it can be done! Na kuwasaidia vijana zaiadi ya hao milioni 7. Na wakatengenezewa ajira endelevu. Kuna nchi tayari wanafanya hivyo na tax base yao imekuwa for 45% . Ukiiangalia unaweza ona aiwezekani na pia ni kituko- Lakini hii inaweza kuwa mkombozi wa Vijana wetu hapa nchini.View attachment 2261264
"Kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi"
"Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA, napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote inayofanyika katika ununuzi na mauzo yanayofanyika ndani ya nchi"
"Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao"
- @mwigulunchemba ,Waziri wa Fedha na Mipango
#BajetiKuu
Hujui unalipa kodi bila kutambulika kuwa ni mlipakodi?Katika hili waziri amepuyanga haliwezi kuwa applicable maana hakuna mazingira yaliyopo ya kuwezesha hilo liwezekane, maana ktk bajeti yake amekiri kuwa kuna tatizo kubwa la ajira hasa Kwa kundi kubwa la vijana na akaenda mbele na kusema wazazi tena wazee ndiyo wanalihudumia kundi hilo kutokana na kutokuwa na ajira wala mitaji na akadai serikali lzm ije na mkakati wa kulisaidia kundi hilo moja akasema wameongeza bajeti ya kilimo, mifugo nk
Sasa hilo pendekezo hata halijaanza utekelezwaji wake hapohapo unaotaka uwasaidie unataka walipe kodi wee uliona wapi mheshimiwa in bwege voice
Hili pendekezo lingekuja miaka 2 au 3 hivi ingekuwa sawa siyo sasa
wafanyakazi wote wa umma na sekta binafsi wanalipa kodi wanaponunua bidhaa lakini wanalipa kodi kwa kukatwa kwenye mishahara yao. Hii ilikuwa substandard, wafanyakazi wa umma walikuwa wakilipa kodi kuliko wananchi wengine mfano mkulima, mfugaji, mfanyabiashara nkMimi nilidhani kila ninapofanya manunuzi huwa nalipa kodi.
Kwa hiyo kwa andiko lako unataka walio chini ya 18 wauziwe bidhaa zisizo na kodi ama?.
Kwani hapo hulipi kodi ya bidhaa ununuazo?
Kwa swali hili kwa hiyo hadi watoto wapewe tin kwa sababu na wao huwa wananunuaHujui unalipa kodi bila kutambulika kuwa ni mlipakodi?
Kuna wajanja wanakula ingiaHalafu hizo kodi zinaenda wapi?
Askari watakufuata kwenu,nchi ina wajinga sana hii... hujiulizi kodi ya majengo inalipwaje?Je mtu asipo Lipa itakuwa je?
Nyimbo ni nyingi,umoja wake wimboUkisikia tutaimba nyimbo moja ndio hii sasa
Na sisi vijana wa CCM hizi kodi zinatuhusu?View attachment 2261264
"Kila mtanzania mwenye umri wa zaidi ya miaka 18 na mwenye kipato anatakiwa kulipa kodi. Ili kutimiza amza hiyo, Serikali inakusudia kutoa namba ya utambulisho wa mlipakodi (TIN) kwa kila mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18 au zaidi"
"Kwa kuwa utaratibu wa usajili wa namba ya utambulisho wa Taifa (NIDA) unamtaka kila mwananchi mwenye umri wa miaka 18 au zaidi kujisajili NIDA, napendekeza kuwa wale wote wenye NIDA kwa sasa (wanaofikia milioni 19 nchi nzima) wapatiwe namba ya TIN na itumike kwenye miamala yote inayofanyika katika ununuzi na mauzo yanayofanyika ndani ya nchi"
"Kila mwenye namba ya mlipakodi atapata makadirio yake kwa njia ya simu na kulipa kodi husika kwa njia ya mtandao"
- @mwigulunchemba ,Waziri wa Fedha na Mipango
#BajetiKuu