Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 9 leo Aprili 18, 2023.
Serikali yasisitiza wazee wapewe vitambulisho vya huduma ya afya bila malipo
Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amewakumbusha viongozi wa Mikoa na Halmashauri kuwapatia vitambulisho vya matibabu bila malipo wazee wasio na uwezo ambao wana umri wa miaka 60 na kuendelea, kutenga dirisha kwa ajili ya Wazee na kuhakikisha dawa zote muhimu zinapatikana.
Kila mwanafunzi atatakiwa kusoma somo la maadili
Akijibu swali Bungeni kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mohammed Mwinjuma maarufu kwa jina la Mwana FA, amesema “Kutakuwa na somo la maadili kwenye mitaala mipya na kila Mwanafunzi lazima atalazimika kulisoma."
Serikali yasisitiza wazee wapewe vitambulisho vya huduma ya afya bila malipo
Naibu Waziri Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amewakumbusha viongozi wa Mikoa na Halmashauri kuwapatia vitambulisho vya matibabu bila malipo wazee wasio na uwezo ambao wana umri wa miaka 60 na kuendelea, kutenga dirisha kwa ajili ya Wazee na kuhakikisha dawa zote muhimu zinapatikana.
Kila mwanafunzi atatakiwa kusoma somo la maadili
Akijibu swali Bungeni kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mohammed Mwinjuma maarufu kwa jina la Mwana FA, amesema “Kutakuwa na somo la maadili kwenye mitaala mipya na kila Mwanafunzi lazima atalazimika kulisoma."