Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Kufaulu watafaulu vizuri tu.Safi sana na ianzie Chekechea Hadi Chuo Kikuu na iwe compulsory bila kufaulu Hilo hakuna kuendelea na mengine
Tuliosoma vyuo vya dini kuna somo linaitwa social ethics content zake ndio hayo maadili watu walifaulu vizuri tu lakin bado walitenda tofauti na vilivyofundishwa humo.
Maadili yanafundishwa na jamii