Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Mtoto anafundishwa ubaya wa pombe akirudi nyumbani anatumwa pombe na baba?Kufaulu watafaulu vizuri tu.
Tuliosoma vyuo vya dini kuna somo linaitwa social ethics content zake ndio hayo maadili watu walifaulu vizuri tu lakin bado walitenda tofauti na vilivyofundishwa humo.
Maadili yanafundishwa na jamii