Serikali kuajiri Zaidi ya walimu 35,000

Serikali kuajiri Zaidi ya walimu 35,000

Wewe kweli............ Huoni hats aibu kucoment, ngoja nikuulize ivi katibu mkuu na Waziri mkuu nani mwenye mamlaka, halafu huyo katibu mkuu ulimsikia wewe peke yako?

Pinda amezungumza akiwa katika shule ya sekondari Kiwere navyombo vya habari hususani magazeti ya Leo karibia yote yameandika iyo habari, wewe uyo katibu mkuu alikuwa akizungumzia wapi?

navyombo gani vya habari viliandika au alikwambia peke yako.Ndugu kabla ya kucoment uwe unafikiria sababu umetuonyesha ni jinsi gani ulivyo na uwezo mdogo Wa kufikiri

Umempa za uso pah pah pah
 
Bila mishahara mizur watabaki na walimu vilaza wasihangaike kujenga nyumba watoe House allowance. allowance ya nauli, teaching allowance wasipofanya hivyo kwa kuwapa walimu hiyo packege walie tu,

Nchi itazama miaka kadhaa ijayo. tena itaanza kuzama ndani EAC Ajira soko litaporomoka Uchumi utadidimia Misukosuko ya kiuchumi like inflation itadumu Migogoro itazidi kila kona Afya zitazorota Mangi meza watazidi uimla maofisini Middle class watatafuta huduma nchi jirani mawaziri waache ulimbukeni. Hata huyo magufuri ataonekana msaliti tu.
 
Sa hivi kila mtu atatabiri Yake bt Ajira zinatoka mwezi wa nne kuripoti mwezi wa tano,ni system fuatilia Ajira za miaka iliyopita zilikuwa ln
 
Oyooooo ajira uhakikaaaaaaaaaaaaa MKUBWA PINDA kashasemaaaaaaa mh kiroho safi
 
Sa hivi kila mtu atatabiri Yake bt Ajira zinatoka mwezi wa nne kuripoti mwezi wa tano,ni system fuatilia Ajira za miaka iliyopita zilikuwa ln

mwakajana wameenda mzigoni mwezi wa nne sawa na mwaka juzi sasa huo mwezi wa tano umeutoa wapi
 
hao walimu wa kiswahili english, historia na jiografia kama wanejaa huko sekondari wawapeleke shule za msingi kusikitosha walimu.
 
Wewe unataka aseme akiwa geto kwako au?
coz kwenye public ndio sehemu ya kusemeaaaa
 
Back
Top Bottom