- Thread starter
- #21
Wewe kweli............ Huoni hats aibu kucoment, ngoja nikuulize ivi katibu mkuu na Waziri mkuu nani mwenye mamlaka, halafu huyo katibu mkuu ulimsikia wewe peke yako?
Pinda amezungumza akiwa katika shule ya sekondari Kiwere navyombo vya habari hususani magazeti ya Leo karibia yote yameandika iyo habari, wewe uyo katibu mkuu alikuwa akizungumzia wapi?
navyombo gani vya habari viliandika au alikwambia peke yako.Ndugu kabla ya kucoment uwe unafikiria sababu umetuonyesha ni jinsi gani ulivyo na uwezo mdogo Wa kufikiri
Umempa za uso pah pah pah