Serikali kuajiri Zaidi ya walimu 35,000


Umempa za uso pah pah pah
 
Bila mishahara mizur watabaki na walimu vilaza wasihangaike kujenga nyumba watoe House allowance. allowance ya nauli, teaching allowance wasipofanya hivyo kwa kuwapa walimu hiyo packege walie tu,

Nchi itazama miaka kadhaa ijayo. tena itaanza kuzama ndani EAC Ajira soko litaporomoka Uchumi utadidimia Misukosuko ya kiuchumi like inflation itadumu Migogoro itazidi kila kona Afya zitazorota Mangi meza watazidi uimla maofisini Middle class watatafuta huduma nchi jirani mawaziri waache ulimbukeni. Hata huyo magufuri ataonekana msaliti tu.
 
Sa hivi kila mtu atatabiri Yake bt Ajira zinatoka mwezi wa nne kuripoti mwezi wa tano,ni system fuatilia Ajira za miaka iliyopita zilikuwa ln
 
Sa hivi kila mtu atatabiri Yake bt Ajira zinatoka mwezi wa nne kuripoti mwezi wa tano,ni system fuatilia Ajira za miaka iliyopita zilikuwa ln

punguza kukariri mkuu...
 
Oyooooo ajira uhakikaaaaaaaaaaaaa MKUBWA PINDA kashasemaaaaaaa mh kiroho safi
 
Sa hivi kila mtu atatabiri Yake bt Ajira zinatoka mwezi wa nne kuripoti mwezi wa tano,ni system fuatilia Ajira za miaka iliyopita zilikuwa ln

mwakajana wameenda mzigoni mwezi wa nne sawa na mwaka juzi sasa huo mwezi wa tano umeutoa wapi
 
hao walimu wa kiswahili english, historia na jiografia kama wanejaa huko sekondari wawapeleke shule za msingi kusikitosha walimu.
 
Wewe unataka aseme akiwa geto kwako au?
coz kwenye public ndio sehemu ya kusemeaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…