Serikali kugharamia mazishi ya wanafunzi waliofia mto Luiche wakivuka kwenda shule

Serikali kugharamia mazishi ya wanafunzi waliofia mto Luiche wakivuka kwenda shule

Nimeumiaaa ndio wanachoweza mbunge wao amelaaniwa yeye watoto wake wako dar Wanaishi pazuri habari hawapati na ukute Hawakujui hukooo
2025 hao wazazi km wachawi...na Wanavijiji Wanampa uraaa
We Acha tu
Watakwambia ccm imewatoa mbaliii.... (kauli wanazotumia kijijini za kupinga upinzani)
 
Kugharamia tu mazishi yao, bado hakuwezi kuwaondolea majonzi wazazi waliopoteza watoto wao katika mazingira kama hayo.

Kujenga daraja ndiyo sulujisho pekee. Kama watashindwa kujenga daraja la kudumu, basi wangejenga hata lile daraja la kamba. Hiyo mitumbwi siyo salama hata kidogo kwa usafiri wa majini.
 
Kugharamia tu mazishi yao, bado hakuwezi kuwaondolea majonzi wazazi waliopoteza watoto wao katika mazingira kama hayo.

Kujenga daraja mdiyo sulujisho pekee. Kama watashindwa kujenga daraja la kudumu, basi wangejenga hata lile daraja la kamba. Hiyo mitumbwi siyo salama hata kidogo kwa usafiri wa majini.
Unaambiwa hata yule mzee aliyekua anaendesha huo mtumbwi nayeye ameponea chupu chupu kurudisha Visa
 
halafu kuna kafala kanatembelea gari la Mil 100+ kwenye mkoa huo huo, kuna majinga kila kikao yakikaa unakata posho zinatosha kujenga hilo daraja...PUMAVU KABISA..
 
Hii nchi pesa wanakula wao vitu kama daraja huko vijijin kuweka hakuna walaaniwe viongoz wa ccm
 
Kipaumbele ni kukopesha wasanii na kugawa milioni tano kwa kila goli,
Daraja na kivuko salama tunasubiri bajeti

My poor country

but who is fair? No one even us

RIP to the souls that left because of selfishness,
but who is not selfish?
 
Kipaumbele ni kukopesha wasanii na kugawa milioni tano kwa kila goli,
Daraja na kivuko salama tunasubiri bajeti

My poor country

but who is fair? No one even us

RIP to the souls that left because of selfishness,
but who is not selfish?

Kosa wawajengee daraja au wapewe kivuko, wanawapa gharama za mazishi!
 
Soo sad jamani
wangejengewa daraja hata la wavuka kwa miguu; wakati wanasubiri uchambuzi yakinifu wa kujenga daraja rasmi
 
Shame on them leaders! Thieves, looters, gluttons! May the Almighty God judge them all perpetrators accordingly!
 

Serikali imesema itasasimamia na kugharamia taratibu zote za mazishi ya Wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji waliofariki kwa kuzama kwenye Mto baada ya mtumbwi kupinduka wakati wakielekea Shule.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema hayo baada kufika kaika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni kuaga miili ya Wanafunzi wawili waliopatikana leo kadokando ya Mto huo unaomwaga maji katika Ziwa Tanganyika.

"Kwa niaba ya Serikali ya awamu ya sita naomba niwafikishie salamu za pole kwa msiba mkubwa uliozikumba Familia hizi, tumepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa na tunaungana na Familia pamoja na Ndugu katika masikitiko haya makubwa tunajua hakuna mwenye uwezo wa kurejesha uhai uliotoweka ila tunaomba tuungane kwenye huzuni hii"

"Na serikali kwa upande wake itajitahidi kila inavyoweza ili kuwapumzisha kwa heshima Watoto wetu hawa ambao wamefariki, tutafanya tunavyoweza kuungana na Familia kuhudumia msiba ili tuweze kuwapumzisha wapendwa wetu vizuri, Serikali itaondoa changamoto hiyo kwa kutengeneza Daraja katika Mto huo"

Miili miwili iliyopatikana leo ya Wanafunzi hao ni mwili wa Tatu Sanaari na Ramadhani Nkwila(12) wa darasa la tano na wote wanazikwa leo, miili ambayo haijapatikana hadi sasa ni ya Watoto wawili Ashura Haruna wa darasa la kwanza na Zabibu, juhudi za utafutaji zinaendelea kufanywa na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kutoka Kigoma.

Pia soma: Kigoma: Wanafunzi 4 wazama mto Luiche wakivuka kwenda shule. Miili 2 yapatikana kati ya watoto 4 waliozama
Serikali inayojua kuwapumzisha wananchi wake waliopoteza uhai kwa kutokuwajibika kwake. Wakiwa Hai, haina mpango nao!
 
Anayapata yote, humu na mitandao mingine, kuna watu wana kazi zao kukusanya yote reymage humsikiagi anasema mambo yanayotoka mitandaoni? Hata yasipomfikia yeye hao wawakilishi wake. Nimesikitika sana, ndoto za watoto zinakatishwa kinyama tu.
Huzuni sana hii nchi inaumiza mnoo jamanii
Mama yeye anaangalia ya kwake tu angeskia vyakula visingeuzwa ghali vile jamani
Mi nasema hasikii Wala haangaliaa na Wala hajali km hii nchi inamhusu yeye

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
We Acha tu
Watakwambia ccm imewatoa mbaliii.... (kauli wanazotumia kijijini za kupinga upinzani)
Yaani Tena wanakuambia tunaipenda hatutaki vita daahh .
Nyie watu wa mikoani kama wamefungwa akili na CCM jamani huzuni sanaa acha tuuu,hawaelewi hao hao hapo watapewa laki 2 baasi washamaliza
KAZI ya Mungu Haina makosa wataambiwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Serikali imesema itasasimamia na kugharamia taratibu zote za mazishi ya Wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Kagera iliyopo Manispaa ya Kigoma Ujiji waliofariki kwa kuzama kwenye Mto baada ya mtumbwi kupinduka wakati wakielekea Shule.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema hayo baada kufika kaika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma ya Maweni kuaga miili ya Wanafunzi wawili waliopatikana leo kadokando ya Mto huo unaomwaga maji katika Ziwa Tanganyika.
Ndiyo furaha ya serikali kujitokeza kwenye maafa na kupewa shukurani wakati hiyo ajali ingezuiwa in advance kwa kuweka miundombinu rafiki ya kuvuka mto

Tazama wenzetu
1677344370415.png

Did a train station in Japan stay open for one student?

The Kami-Shirataki train station is located in Japan's north island of Hokkaido, three years ago due to its remote location and ending of freight trains, the Japan Railway (JR) decided to close it down. However, they changed their minds after they discovered a young girl used the station to go to high school every day.

 
Back
Top Bottom