Serikali kugharamia mazishi ya wanafunzi waliofia mto Luiche wakivuka kwenda shule

Japan. Raia mmoja, mtoto wa kike, ni muhimu kupata huduma ya usafiri. Kwetu Tz, maelfu wanasumbuka, serikali haina habari, mpaka maafa yawapate, wanagharamia mazishi, tatizo linaachwa liendelee!
 
Wekeni daraja sio mnagharamia mazishi hakuna ambaye asingezikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…