Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #41
Ndio boss ndio hicho wanachokifanya kifanya.Sasa mkuu si vilevile wanachofanya m gas aka kopa gas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio boss ndio hicho wanachokifanya kifanya.Sasa mkuu si vilevile wanachofanya m gas aka kopa gas
Hii safi.Ndio boss ndio hicho wanachokifanya kifanya.
View attachment 2389741
Shida ya BIOGAS ni harufu mbaya 😀😀😀😀😀😀Utapika chakula kinatoa harufu ya Taka.Hii ndio habar ya mjini
Sema serikali ina mambo yake kwenye hizo gas nyingine
Mkuu hicho unachoongea una uhakika nacho au upo unafanya matangazo?Shida ya BIOGAS ni harufu mbaya 😀😀😀😀😀😀Utapika chakula kinatoa harufu ya Taka.
Karibu M-Gas ujipikie chakula kitamu.
View attachment 2389744
Kujiunga piga: 0747744895
Kuletewa ni kwa mikoa yote au baadhi? Kama ni baadh ya mikoa tafadhali itaje.Piga hiyo namba utaelewa jinsi hiyo teknolojia inavyofanya kazi. Mtungi unatolewa bure kabisa hata jiko pia linatolewa bei sawa na bure.
View attachment 2389566
We unafanya matangazo sanaShida ya BIOGAS ni harufu mbaya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Utapika chakula kinatoa harufu ya Taka.
Karibu M-Gas ujipikie chakula kitamu.
View attachment 2389744
Kujiunga piga: 0747744895
Ya kwenye pipeline ipo TPDC boss, watu wanafungiwa wengi tu. Unaweza kwenda pale Azikiwe kwenye ofisi zao kupata utaratibu. Japo ujue tu kuvuta gesi kwa bomba lazima ujipange sana.Hio inge make sense kama umefungiwa pipeline ya gas. Sasa huo mtungi ukiisha si unarudi dukani kununua upya ama unapewa bure?
Boss nitajitahidi niende Lutindi Mission nijionee hiyo BIOGAS. Boss ni kweli kuhusu kuweka mtungi nje ya nyumba tunajitahidi tuanzishe hiyo program ya kuwapa elimu wateja wote wa gesi juu ya utunzaji wa mtungi wa gesi.We unafanya matangazo sana
Ushawahi kutana na mfumo mzuri wa biogas....nenda lutindi mission kajionee
Alafu tangazo lako hapo mwambie huo mteja awake mtungi wa gas njeee
Mtakuja kufaaaa
Ova
Boss unapika ugali unaiva, unapika na mboga na bado kifurushi kinabaki na kesho mnatumia tena.Kifurushi cha 1000 sjui 500
Mtu anaweza kitumia siku ngapi
Ova
Sawa boss. Ila mradi wa BIOGAS kuundesha ni kazi kidogo kama unavyojua boss.Mkuu hicho unachoongea una uhakika nacho au upo unafanya matangazo?
Biogas huwezi kufananishwa na hizo LPG's yaan ni mbingu na ardhi au nuru na giza
Sema labda kuestablish biogas ni shughuli lakini ukikamilisha ni vizazi kwa vizazi
Kwasababu wewe umeshazaliwa au siyo?Huwezi hamasisha watu wazaliane kwenye jamii fukara kama hii.
Yaani Mimi sioni msaada hapo kwa maana tofautisha mkaa na gesi. Mkaa wa 2000 na hiyo gesi 2000 ni tofauti. Yaani niwaambie hamjasaidia kitu na watu wakinunua hiyo mitungii yenu Kuna uwezekano wa disconnect hiyo mita yenu. Akatumua bure. Au vp kama huo mtungi ukiibiwa?? Au na mmefunga GPS.?Anataka auziwe mtungi elfu 3000
Mkaa na kuni vinaharibu mazingira boss. Usizungumzie mkaa katika zama hizi.Yaani Mimi sioni msaada hapo kwa maana tofautisha mkaa na gesi. Mkaa wa 2000 na hiyo gesi 2000 ni tofauti. Yaani niwaambie hamjasaidia kitu na watu wakinunua hiyo mitungii yenu Kuna uwezekano wa disconnect hiyo mita yenu. Akatumua bure. Au vp kama huo mtungi ukiibiwa?? Au na mmefunga GPS.?
Kitu kingine watu hawashindwi kununua mtungi kabisa wa gesi wengi wanaogopa ajali za moto. Kwani mmelifikilia Hilo kwenye hiyo mitungii yenu? Au mnataka tu Hela?
... inahitajika kampeni kabambe kuondoa ujinga ulipandikizwa vichwani mwa mafukara na yule jamaa wa fyatueni serikali itatunza! Baada ya lile tamko lake tumeshuhudia ongezeko la kutisha vichanga miongoni mwa mafukara wasio na mbele wala nyuma; ni hatari sana kwa mustakabali wa taifa.Huwezi hamasisha watu wazaliane kwenye jamii fukara kama hii.
Kuwa na akili, mkaa wa 3000 matumizi yake yapo sawa na gesi ya 3000? Hii tu ya 55000 kutoboa wiki mbili mtihani. Hiyo ya kupima hata masaa mawili itafikaje?Mbona kuni na mkaa huwa tunanunua na tunapikia baada ya hapo tunanunua tena boss. Karibu M-Gas boss. Piga namba 0747744895 upate kuhudumiwa mapema.
View attachment 2389691
View attachment 2389692View attachment 2389693
View attachment 2389694
Gesi ya 1000? Unaona humu watu ni wapumbavu Kama wewe?Boss unapika ugali unaiva, unapika na mboga na bado kifurushi kinabaki na kesho mnatumia tena.
Tukubali kwenda na teknolojia inavyotaka watanzania wenzangu. Digitalization ipo nyumbani mwetu sasa.
View attachment 2389761
Boss ahsante sana kwa comment nzuri. Ni kweli kabisa boss gesi ya Tsh 1000 ipo. Unanunua kama kifurushi cha simu. Karibu M-Gas ujipatie hiyo gesi ya Tsh. 1000 boss.Gesi ya 1000? Unaona humu watu ni wapumbavu Kama wewe?
Boss mimi naona viko sawa tu. Jaribu gesi ya Tsh 1000 upikie uone inakaa muda gani.Kuwa na akili, mkaa wa 3000 matumizi yake yapo sawa na gesi ya 3000? Hii tu ya 55000 kutoboa wiki mbili mtihani. Hiyo ya kupima hata masaa mawili itafikaje?