Tetesi: Serikali kukutana na wadau Arusha kujadili hali mbaya ya utalii

Tetesi: Serikali kukutana na wadau Arusha kujadili hali mbaya ya utalii

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,204
Reaction score
3,277
Wadau hii ni tetesi yenye ukweli 95%.

Ukweli ni kwamba baada ya serikali kupandisha kodi katika utalii, sasa hali ni mbaya Arusha ambao ndio mkoa wa kitalii zaidi Tanzania.

Kuna taarifa kuwa mnamo tarehe 20 mwezi huu Septemba serikali itakutana na wadau wa utalii kuangalia jinsi ya kurejesha hali ya utalii.

Kwa sasa makampuni mengi yamefungia magari ya kitalii ndani maana hali ni tete, watalii wacheche, vikampuni vidogo vidogo vinapumua kwa Oxygen.


MADHARA YA KAULI YA RAIS

Pia kutokana na ile kauli ya Rais kuwa hatutaki watalii wengi wasio na uwezo wa kulipa, kwamba bora tupate wachache wenye kulipa kodi imesababisha madhara makubwa kwa vijana kwa sababu watalii wakiwa wengi hata kama wanalipa hela kidogo inasaidia vijana wengi kuajiriwa katika sekta hiyo kwa kuwa watalii wakiwa wengi watahitaji Tour guides wengi, wabeba mizigo wengi (Porters), wapishi wengi nk. Tofauti na maoni ya Rais kuwa bora waje wachache wanaotoa pesa nyingi, kimsingi mtalii hata kama ana pesa nyingi lakini idadi ya wapishi, wabeba mizigo nk watabaki kuwa walewale tu, hivyo kusababisha watu wengi kupoteza kazi.

Kama kweli serikali itakaa na wadau wa utalii basi ni jambo jema.
 
Akianza kusikiliza washauri na kulegeza kamba hapo tunaenda nimenote
Swala la bandari kuwafuata wafanya biashara
Swala la kuarisha safari ya Zambia na sasa kuongea na wadau !!!
Safi
 
Huku kuongozwa kwa kauli za kuongea majukwani zinatukwamisha mahali pengi.... Huyu Rais kusimamiwa ni jambo la msingi sana....
 
Magufuli akibadilika ghafla akawa na uwezo wa kuwa SILENT na ku LISTEN ataifikisha hii nchi mbali sana...!!
 
Wadau hii ni tetesi yenye ukweli 95%.

Ukweli ni kwamba baada ya serikali kupandisha kodi katika utalii, sasa hali ni mbaya Arusha ambao ndio mkoa wa kitalii zaidi Tanzania.

Kuna taarifa kuwa mnamo tarehe 20 mwezi huu Septemba serikali itakutana na wadau wa utalii kuangalia jinsi ya kurejesha hali ya utalii.

Kwa sasa makampuni mengi yamefungia magari ya kitalii ndani maana hali ni tete, watalii wacheche, vikampuni vidogo vidogo vinapumua kwa Oxygen

MADHARA YA KAULI YA RAIS

Pia kutokana na ile kauli ya Rais kuwa hatutaki watalii wengi wasio na uwezo wa kulipa,
kwamba bora tupate wachache wenye kulipa kodi imesababisha madhara makubwa kwa vijana kwa sababu watalii wakiwa wengi hata kama wanalipa hela kidogo inasaidia vijana wengi
kuajiriwa katika sekta hiyo kwa kuwa watalii wakiwa wengi watahitaji Tour guides wengi, wabeba mizigo wengi (Porters), wapishi wengi nk. Tofauti na maoni ya Rais kuwa bora waje
wachache wanaotoa pesa nyingi, kimsingi mtalii hata kama ana pesa nyingi lakini idadi ya wapishi, wabeba mizigo nk watabaki kuwa walewale tu, hivyo kusababisha watu wengi
kupoteza kazi.

Kama kweli serikali itakaa na wadau wa utalii basi ni jambo jema.

Nani anakutana na akina nani?
 
Wadau hii ni tetesi yenye ukweli 95%.

Ukweli ni kwamba baada ya serikali kupandisha kodi katika utalii, sasa hali ni mbaya Arusha ambao ndio mkoa wa kitalii zaidi Tanzania.

Kuna taarifa kuwa mnamo tarehe 20 mwezi huu Septemba serikali itakutana na wadau wa utalii kuangalia jinsi ya kurejesha hali ya utalii.

Kwa sasa makampuni mengi yamefungia magari ya kitalii ndani maana hali ni tete, watalii wacheche, vikampuni vidogo vidogo vinapumua kwa Oxygen.


MADHARA YA KAULI YA RAIS

Pia kutokana na ile kauli ya Rais kuwa hatutaki watalii wengi wasio na uwezo wa kulipa, kwamba bora tupate wachache wenye kulipa kodi imesababisha madhara makubwa kwa vijana kwa sababu watalii wakiwa wengi hata kama wanalipa hela kidogo inasaidia vijana wengi kuajiriwa katika sekta hiyo kwa kuwa watalii wakiwa wengi watahitaji Tour guides wengi, wabeba mizigo wengi (Porters), wapishi wengi nk. Tofauti na maoni ya Rais kuwa bora waje wachache wanaotoa pesa nyingi, kimsingi mtalii hata kama ana pesa nyingi lakini idadi ya wapishi, wabeba mizigo nk watabaki kuwa walewale tu, hivyo kusababisha watu wengi kupoteza kazi.

Kama kweli serikali itakaa na wadau wa utalii basi ni jambo jema.


Mtasema sana mwaka huu...inafahamika kuwa makampuni kadhaa ya utalii huko Arusha ni ya Wakenya sasa wameanza kuisoma namba...na Wakenya wale walioingia kinyemela hukop Lushoto, Muheza na kwingineko na kuwaoa dada na mabinti 'zetu' (lakini lengo lao likiwa ni ardhi) nao wameanza kuisoma namba...
 
Hakuna aja ya kujadiliana,serikali watoe VAT walioweka kwenye Utalii. Hii serikali inatuletea umasikini mkubwa sana
 
Magufuli akibadilika ghafla akawa na uwezo wa kuwa SILENT na ku LISTEN ataifikisha hii nchi mbali sana...!!
Mtu yeyote...akiwa msikivu na mtii..atafanikiwa..ukishupaza shingo saana itavunjika.
 
Mtasema sana mwaka huu...inafahamika kuwa makampuni kadhaa ya utalii huko Arusha ni ya Wakenya sasa wameanza kuisoma namba...na Wakenya wale walioingia kinyemela hukop Lushoto, Muheza na kwingineko na kuwaoa dada na mabinti 'zetu' (lakini lengo lao likiwa ni ardhi) nao wameanza kuisoma namba...
A walking dead!!
 
Mtasema sana mwaka huu...inafahamika kuwa makampuni kadhaa ya utalii huko Arusha ni ya Wakenya sasa wameanza kuisoma namba...na Wakenya wale walioingia kinyemela hukop Lushoto, Muheza na kwingineko na kuwaoa dada na mabinti 'zetu' (lakini lengo lao likiwa ni ardhi) nao wameanza kuisoma namba...

Si kweli mkuu, hiyo habari ya Wakenya siyo serious hivyo
 
Watalii wanapoingia ndani ya nchi wanatuletea fedha za kigeni na ajira zinapatikana,hata kama wasipo lipa kodi bado ni faida kubwa kwetu,kwa kuwa kwenye hotel wanazo fikia wanalipa fedha,hotel zilizo lipwa fedha na watalii zinatoa kodi serekalini,wasafirishaji na waongoza watalii n.k nao wanalipwa fedha na watalii,wakilipwa fedha nao wanazilipia kodi ya moja kwa moja au wanalipa kodi kwa kupitia matumizi yao wanayoyanunua.
 
Lkini mafisadi asiwape nafasi ya kuongea nao watu kama lowasa na wenzake
 
Wadau hii ni tetesi yenye ukweli 95%.

Ukweli ni kwamba baada ya serikali kupandisha kodi katika utalii, sasa hali ni mbaya Arusha ambao ndio mkoa wa kitalii zaidi Tanzania.

Kuna taarifa kuwa mnamo tarehe 20 mwezi huu Septemba serikali itakutana na wadau wa utalii kuangalia jinsi ya kurejesha hali ya utalii.

Kwa sasa makampuni mengi yamefungia magari ya kitalii ndani maana hali ni tete, watalii wacheche, vikampuni vidogo vidogo vinapumua kwa Oxygen.


MADHARA YA KAULI YA RAIS

Pia kutokana na ile kauli ya Rais kuwa hatutaki watalii wengi wasio na uwezo wa kulipa, kwamba bora tupate wachache wenye kulipa kodi imesababisha madhara makubwa kwa vijana kwa sababu watalii wakiwa wengi hata kama wanalipa hela kidogo inasaidia vijana wengi kuajiriwa katika sekta hiyo kwa kuwa watalii wakiwa wengi watahitaji Tour guides wengi, wabeba mizigo wengi (Porters), wapishi wengi nk. Tofauti na maoni ya Rais kuwa bora waje wachache wanaotoa pesa nyingi, kimsingi mtalii hata kama ana pesa nyingi lakini idadi ya wapishi, wabeba mizigo nk watabaki kuwa walewale tu, hivyo kusababisha watu wengi kupoteza kazi.

Kama kweli serikali itakaa na wadau wa utalii basi ni jambo jema.
Unajua tunapoleta siasa kwenye mambo serious ni hatari sana kuna siku nimemwona kiongozi moja wa mkoa akipa mahoteli ya kitalii akisema watalii wameongezeka ,hai ingii akilini gharama zinaongezeka watalii wanaongezeka.
 
naombea sana iwe hivyo, hii nji jamani yetu sote, wazo zuri hata kama linatolewa na upinzani tulichukue, hii tabia ya kupuuza vitu et aliyependekeza sio wa upande wenu ni uchuro kama hapo juu jitu linaitwa 1954 limenikwaza pakubwa
 
Hawa si mlisema hatupokei wageni masikini ,kama hawawezi kulipa wasije
 
Back
Top Bottom