Angeonekana yuko siliasi na masilahi ya nchi iwapo angedhibiti kwanza ng`o zinazo fadhili ushoga na utoaji mimba zilizo jaa hapa nchini.Kajali maslahi ya nchi na sio cheo.
Kwa hizi akili zako sio rahisi kuwa na watu wanaoipenda nchi kuliko vyeo na kazi zao.
Hii ya Makelele ya Nyumba za Ibada inahusu sehemu zote mbili lalkini sijayaelewa Madhehebu yenye kufanya usafirishaji haramu wa Watu.Bora kasema wa upande wao.....angesema mgalatia ingekua shida
Mbona kelele zimekuwepo sana, kwanza wapige marufuku kuhusu misikiti inayopiga kelele saa 10 usiku maana hao ndo hatari sana
Utitiri wa nyumba za ibada katika makazi zinasababisha makelele na pia hutumika kuwezesha utakasishaji fedha na ugaidi..
Pia waziri Hamad Masauni asema taasisi na jumuiya ya kidini baadhi yao zinajihusisha na matendo ya kijinai ikiwemo ...
UN- Umoja wa Mataifa imeiweka Tanzania ktk buku jeusi ili ifuatiliwe kwa ukaribu kutokana na kutokuwepo mifumo bora ya ufuatiliaji.
---
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamadi Masauni aesema kumekuwa na utitiri wa nyumba za ibada kwenye makazi ya watu ambazo zinageuka kuwa kero kutokana na kelele katika nyumba hizo. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Machi 26, 2024 wakati wa kampeni za ufunguzi wa jumuiya.
Waziri Masauni amezungumzia pia juu ya uwapo wa Taasisi ambazo zinafadhili shughuli za ugaidi, usafirishaji haramu wa binadamu, silaha haramu na uwepo wa taasisi za kidini zinazotoa mafundisho potofu ambayo ni hatarishi kwa usalama wa raia. Akiongelea mambo haya katika shughuli hiyo Masauni amesema:
"Zimebainika changamoto za uzalishaji holela za utitiri wa nyumba za ibada katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Baadhi ya Jumuiya za dini hususani makanisa na misikiti zimebainika kujengwa katikati ya makazi ya watu.
Kuna mrundikano wa taasisi nyingi katika eneo dogo na baadhi ya taasisi kutumia sauti za juu na hivyo kusababisha adha."
Vilevile baadhi ya Jumuiya za Kiraia zimeripotiwa kushiriki katika kutendeka makosa ya jinai na vitendo vingine ambavyo vina madhara kwa jamii. Baadhi ya vitendo hivyo ni pamoja na Utakatishaji wa Fedha haramu, ugaidi, usafirishaji haramu wa binadamu, biashara haramu ya silaha na uwepo wa taasisi za kidini zinazotoa mafundisho potofu ambayo yanahatarisha usalama wa raia.
Kama ambavyo nimeeleza changamoto za aina hii zinahitaji ushirikiano wa pamoja atika ushughulikiwaji wake ili kuendelea kudumisha hali ya utulivu na usalama.
Hivyo ikiwa kama viongozi mliopewa dhamana ni vyema mkatambua mna wajibu mkubwa wa kuendelea kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi katika kuondoa changamoto hizi kwenye jamii
Kingekuwa kiwanda kinachafua ardhi na maji wangewahi mno Mana Kuna ulaji.Hili la kelele NEMC wanastahili lawama amaaa kufutwa kabisa
Katangaza Tanzania Kuna ugaidi hadharani kabisa!!My Take
Kauli hii ni nzito sana sijui kama bwana Waziri anajua Madhara yake.
View: https://www.instagram.com/p/C5A-sOztKiy/?igsh=bzhtaWF5c2dpZjBl
Si nzito na haiwezi kusababisha kizaa zaa, hakuna mahali serikali imeshindwa it just ime ainisha kuna national security threat kutoka kwenye nyumba za ibada. How wata deal nalo thats up to themKatangaza Tanzania Kuna ugaidi hadharani kabisa!!
Maana yake Nini!!?serikali ya awamu hii imeshindwa kazi!!?isaidiwe na jeshi kupambana na ugaidi!!?
Kauli nzito sana itasababisha kizaa zaa!!
Mungu ibariki Tanzania!!
Kama Tanzania tayari imekuwa blacklisted na UN kwa kuwa na viashiria hatari vya ugaidi, matamko ya viongozi yapimwe vipi tena?!!Viongozi wawe wana pima matokeo ya wanacho kitamka kabla ya kukitamka,hii kauli yake inaweza sababisha akapoteza cheo chake.
Hizo ngo's zinaathiri vipi uchumi wa nchi na maslahi ya mwanachi moja kwa moja.Angeonekana yuko siliasi na masilahi ya nchi iwapo angedhibiti kwanza ng`o zinazo fadhili ushoga na utoaji mimba zilizo jaa hapa nchini.
Sasa uhoples wake nini labda hapohuyu jamaa ni hopeless kabisa
Na hapa wangekusanya faini nyingi sana kupitia huu uchafuzi wa keleleYaani ningewaona wajanja Kama wangejikita katika noise pollution. Kuna hili la ma bar kutopiga miziki kwa sauti za juu mwanza walipiga beat Naona wale jamaa walijiunga baadaye Naona wanaendelea kupiga makelele.
Lindeni mental, physical and spiritual za watu.
Sasa uhoples wake nini labda hapo
Uhoples wake ni upi ndio swali langu mkuuhivi ndani ya nchi kilaza kama huyo ndio waziri wetu? Maendeleo tutaendelea kuyaskia tu
Kwaninihuyu jamaa ni hopeless kabisa
Apoteze cheo kwani kuna kipi kadanganya?Viongozi wawe wana pima matokeo ya wanacho kitamka kabla ya kukitamka,hii kauli yake inaweza sababisha akapoteza cheo chake.