Nimesikia watumishi waliotumbuliwa jiji la DSM. Lakini hebu tujiulize Afisa biashara wa halmashàuri/jiji mwenye degree salary in laki 7.1 akikatwa inabaki laki 5. Afisa huyu mmoja anakusanya zaidi ya milioni 500 kwa mwaka. Kwa hali ya kawaida mnamuweka majaribuni.
Mbona TRA na taasisi nyingine mnawalipa vizuri? Kwanini halmashauri mishahara duni?
Take home laki 5 inaishia kwenye nauli na kodi ya nyumba tu.
Mbona TRA na taasisi nyingine mnawalipa vizuri? Kwanini halmashauri mishahara duni?
Take home laki 5 inaishia kwenye nauli na kodi ya nyumba tu.