Serikali kupitia simu za mkononi, inaweza kukusanya fedha na kuanzisha Mfuko(Fund) wa kugharamia Bima ya Afya na Elimu ya Juu kwa Watanzania wote

Si mpaka niugue ya nini kutajirisha watu wakati maisha mafupi haya

Tell him. kila siku anapiga kelele humu ooh serikali ya kijambazi na bado anatoa wazo la kuwakabidhi mabilion ya pesa
Tatizo watanzania ni wavivu wa kusoma maana nimetoa angalizo juu ya kudhibiti hizo fedha.
 
Sio uvivu wa kusoma. Hakuna angalizo wala sulution inayoweza kutusaidia watanzania. ni nchi ya sauti kubwa moja bila kujali katiba inasema hivi wala vile
Tatizo watanzania ni wavivu wa kusoma maana nimetoa angalizo juu ya kudhibiti hizo fedha.
 
What the hell is this? Tatizo ni viongozi wabovu.
 

Mimi sijakataa umuhimu wa bima nimekataa tozo kitumika kulipia watu bima. Bima inatakiwa ununue mwenyewe . Bima bure ni kwa wazee zaidi ya miaka 65 na watoto chini ya miaka 18.
 
Sasa kufanya hivyo ni lazima uweke tozo juu ya tozo kwenye miamala? Kwanini hufikiri serikali ipunguze matumizi yake, kwa mfano kuachana na kununua magari ya polisi ya washawasha na virungu vya kupiga raia wakati wa uchaguzi?
 
Sasa kufanya hivyo ni lazima uweke tozo juu ya tozo kwenye miamala? Kwanini hufikiri serikali ipunguze matumizi yake, kwa mfano kuachana na kununua magari ya polisi ya washawasha na virungu vya kupiga raia wakati wa uchaguzi?
Hii mada niliitoa kabla tozo haijaanza. Angalia tarehe.
 
Naunga mkono hoja 100%
Wewe no miongoni mwa watanzania wachache wanaojielewa.

Watu wameathirika na neno tozo kiasi kwamba wanasahau tozo ni malipo tu kama kodi, car parking, cost sharing mahospitalini n.k.

Ni watu hawa hawa ambao baadhi yao wakiuugua au kuuguliwa, wanakwenda kuchukua mikopo ya dharura tena sometimes yenye riba kubwa kugharamia matibabu na wengine hata kuuza asset zao mfano ardhi, n.k ili wagharamie matibabu..

Kama umeona hili wazo haliffai, njoo basi na wazo lingine mbadala tukuunge mkono na sio kuponda tu na kulalamika.,

Makosa ya serikali kwwjye hizo tozo yasifunje tuwe vipofu au watu wasio na uwezo wa kufikiri.

Inasikitisha reasoning yetu iko chini sana.
 
Leo wanatangaza kugharamia matibabu ya Prof. Jay ili wapate political milleage na sio kuja na suluhu ya kudumu kuhusu Bima ya kueleweka na endelevu kwa kila mtanzania.

CCM ni mzigo kwa watanzania.
Siyo kwamba walichofanya ndiyo kile ambacho wewe ulishauri kwenye post yako hii hapa


Hapa sasa naona kama unaanza kuwaonea vile!
 
Shabiby alieleta wazo kama hili nae ni CHADEMA?
 
Wazo lako ni Zuri Ila lilenge huduma ya afya tu, na pia haitakuwa Jambo jema kutoza kwenye vocha Ila iwe ni Kwa mkupuo Mmoja Kwa kila laini ya mtandao MTU anaomiliki Kwa lugha nyingine tuite tozo ya laini ya simu Kwa maana kila laini ichajiwe 2000 per year.
 
Ni wazo zuri pia.. Ukweli ni kwamba, ni bora watanzania tukubali hili jambo kuliko mateso na shida ya kushindwa kugharamia matibabu kwa watanzania walio wengi.
 
Yaan wabunge wanajiongezea mishahara kwanajili ya anasa zao halafu mnaumiza wananchi kwa tozo za kipumbavu wallah nyie kuna kitu mnakitafuta nchi hii si bure
 
Ni wazo zuri pia.. Ukweli ni kwamba, ni bora watanzania tukubali hili jambo kuliko mateso na shida ya kushindwa kugharamia matibabu kwa watanzania walio wengi.
Hivi hiyo bima yenyewe mnaielewa vizur inavyo fanya kazi hata panadol tu ukiwa na bima unaambiwa zimeisha ila mwenzio asiye na bina dirisha hilo hilo anapewa, amini nawaambia hilo ni dili lingine mnawapelekea wala fedha
 
Yaan wabunge wanajiongezea mishahara kwanajili ya anasa zao halafu mnaumiza wananchi kwa tozo za kipumbavu wallah nyie kuna kitu mnakitafuta nchi hii si bure
Kwenye familia/ukoo mtu akiugua, mnaanza kuchangishana na pengine hata kufarakana na hata mgonjwa anaweza kufa kwa kukosa matibabu sahiohi kisa hamna hela ya kumtibu. Huu ni mfano mmoja tu, Sasa hapa kipi bora?
 
Kwenye familia/ukoo mtu akiugua, mnaanza kuchangishana na pengine hata kufarakana na hata mgonjwa anaweza kufa kwa kukosa matibabu sahiohi kisa hamna hela ya kumtibu. Huu ni mfano mmoja tu, Sasa hapa kipi bora?
Huu uzi wako ni wa 2020...sasa kwa yaliotokea bado unahisi huu ushauri una maana yoyote?....Ifike mahali watu waheshimiane...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…