Serikali kupitia TRA pitieni Mapungufu ya Kikokotoo cha Kukadiria Ushuru wa Kuingiza Magari used

Serikali kupitia TRA pitieni Mapungufu ya Kikokotoo cha Kukadiria Ushuru wa Kuingiza Magari used

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Tunaingia mwaka mpya, na ndio muda ambao TRA Tanzania wanapitia tena calculator yao ya kuingiza magari used.

Import Duty, VAT na Excise Duty ndio vinavyochangia tuwe na kodi kubwa sana kwenye kuingiza magari. Na vigezo vikubwa vitatu vinavyotumika ni umri wa gari, displacement na CIF.

Import Duty yenyewe uwa ni 25% ya CIF ya gari husika.

VAT hii uwa 20% ya CIF + Import Duty + Excise Duty + Excise Duty due to Age ya gari.

Excise Duty yenyewe inategemea na displacement ya gari. Chini ya 1000 cc uwa ni 0%, Kati ya 1000 - 2000 cc uwa 5% na juu ya 2000 cc uwa 10% ya CIF+ Import Duty.

Kwahiyo kwa ujumla, ukitoa usajili wa gari, gari la cc chini ya 2000 litakuja kua na jumla ya 50% ya CIF.

Na gari la cc juu ya 2000 litakuja kua na jumla ya 65% ya CIF.

Baadhi ya Mapungufu:

1. CIF mnazozipigia hesabu TRA hamjazi-update na haziendani na uhalisia sokoni. Unaweza kukuta gari nyie mnakadiria ni CIF $10,000 ila kiuhalisia sokoni ina range 5,000 hadi 6,000 average.

2. Magari ya Hybrid na EV hajayapewa nafasi za upendeleo kuunga mkono sela ya green environment. Kama tulivyoahidiwa na Bunge lenu tukufu 2023, kodi zake ilibidi zishuke kama sio msamaha wa VAT na ID ya 0%.

3. Hamjadefine vizuri "used car" kwa term ya milage au year of manufacture (YOM).

Ndio maana mtu atakae import gari la same year nyie mnachukulia kama ni used na analipa ushuru mkubwa. Kwann hawa msingewawekea vigezo mfano used car lazima iwe na either umri kuanzia 1 year au Kilometa kadhaa kwenye Odo.

Nje ya Mada: Mwambieni IT wenu kirefu cha cc kwenye engine displacement ni cubic centimeters na sio cylinder capacity.

Screenshot_20241221-152801.png
 
Kichekesho kingine kipo kwemye kodi za maroli ya mtumba, urefu tu wa chassis na kutokuwepo kwa jost fith wheel kunaweza kufanya kodi iwe mara dufu. Ukinunua mende ndo utawajua tra ni nani, kodi ni karibu mara nne ya tractor unit.
Magari haya huko ulaya karibu yote yanafanana bei yakiwa mtumba
 
Kichekesho kingine kipo kwemye kodi za maroli ya mtumba, urefu tu wa chassis na kutokuwepo kwa jost fith wheel kunaweza kufanya kodi iwe mara dufu. Ukinunua mende ndo utawajua tra ni nani, kodi ni karibu mara nne ya tractor unit.
Magari haya huko ulaya karibu yote yanafanana bei yakiwa mtumba
Yeah TRA inawapendelea wanunuzi wa matrekta (agriculture machinery) ila aya ya kusafirisha bidhaa jau
 
Yani ni ivii ukifanya summation utangundua gharama
Na ni 100% ya bei halisi ya gari
Yan kama gari ni 20mil basi utalitoa bandarini kwa 40mil.
 
Tunaingia mwaka mpya, na ndio muda ambao TRA Tanzania wanapitia tena calculator yao ya kuingiza magari used.

Import Duty, VAT na Excise Duty ndio vinavyochangia tuwe na kodi kubwa sana kwenye kuingiza magari. Na vigezo vikubwa vitatu vinavyotumika ni umri wa gari, displacement na CIF.

Import Duty yenyewe uwa ni 25% ya CIF ya gari husika.

VAT hii uwa 20% ya CIF ya gari.

Excise Duty yenyewe inategemea na displacement ya gari. Chini ya 1000 cc uwa ni 0%, Kati ya 1000 - 2000 cc uwa 5% na juu ya 2000 cc uwa 10%.

Kwahiyo kwa ujumla, ukitoa usajili wa gari, gari la cc chini ya 2000 litakuja kua na jumla ya 50% ya CIF.

Na gari la cc juu ya 2000 litakuja kua na jumla ya 65% ya CIF.

Baadhi ya Mapungufu:

1. CIF mnazozipigia hesabu TRA hamjazi-update na haziendani na uhalisia sokoni. Unaweza kukuta gari nyie mnakadiria ni CIF $10,000 ila kiuhalisia sokoni ina range 5,000 hadi 6,000 average.

2. Magari ya Hybrid na EV hajayapewa nafasi za upendeleo kuunga mkono sela ya green environment. Kama tulivyoahidiwa na Bunge lenu tukufu 2023, kodi zake ilibidi zishuke kama sio msamaha wa VAT na ID ya 0%.

3. Hamjadefine vizuri "used car" kwa term ya milage au year of manufacture (YOM).

Ndio maana mtu atakae import gari la same year nyie mnachukulia kama ni used na analipa ushuru mkubwa. Kwann hawa msingewawekea vigezo mfano used car lazima iwe na either umri kuanzia 1 year au Kilometa kadhaa kwenye Odo.

Nje ya Mada: Mwambieni IT wenu kirefu cha cc kwenye engine displacement ni cubic centimeters na sio cylinder capacity.

View attachment 3181689

Ni sahihi kabisa Mkuu; Hiyo calculator inahitaji total reformation.

Kingine, its like wanaencourage watu wanunue magari chakavu na ya zamani yenye high carbon emission badala ya gari mpya zinazotunza mazingira eg;

- Gari 1 ya mwaka 2001 jumla ya ushuru unalipa mil 14 lets say, at the same time gari hiyo hiyo ya mwaka 2017 unalipa ushuru mil33 wengi watakimbilia gari la 2001; ndo maana gari nyingi Tz ni mascrepa ya zamani zamani ndo tunaziita mpya… ila ndo zenye unafuu wa gharama, gari mpya tutazisubiri sana.

Pia mkuu nikurekebishe kidogo;
  • Import duty ni 25% ya CIF uko sahihi kbs✅
  • Excise duty ni 0%, 5% or 10% tegemeana na cc za gari uko sahihi ila ni % ya CIF+Import duty
  • VAT ni 18% ya CIF+Import duty+Excise duty+Excise duty due to age (kama ipo)
 
Ni sahihi kabisa Mkuu; Hiyo calculator inahitaji total reformation.

Kingine, its like wanaencourage watu wanunue magari chakavu na ya zamani yenye high carbon emission badala ya gari mpya zinazotunza mazingira eg;

- Gari 1 ya mwaka 2001 jumla ya ushuru unalipa mil 14 lets say, at the same time gari hiyo hiyo ya mwaka 2017 unalipa ushuru mil33 wengi watakimbilia gari la 2001; ndo maana gari nyingi Tz ni mascrepa ya zamani zamani ndo tunaziita mpya… ila ndo zenye unafuu wa gharama, gari mpya tutazisubiri sana.

Pia mkuu nikurekebishe kidogo;
  • Import duty ni 25% ya CIF uko sahihi kbs✅
  • Excise duty ni 0%, 5% or 10% tegemeana na cc za gari uko sahihi ila ni % ya CIF+Import duty
  • VAT ni 18% ya CIF+Import duty+Excise duty+Excise duty due to age (kama ipo)
Shukrani kaka kwa marekebisho.

Kununua gari Tanzania ni anasa aisee.
 
Ni sahihi kabisa Mkuu; Hiyo calculator inahitaji total reformation.

Kingine, its like wanaencourage watu wanunue magari chakavu na ya zamani yenye high carbon emission badala ya gari mpya zinazotunza mazingira eg;

- Gari 1 ya mwaka 2001 jumla ya ushuru unalipa mil 14 lets say, at the same time gari hiyo hiyo ya mwaka 2017 unalipa ushuru mil33 wengi watakimbilia gari la 2001; ndo maana gari nyingi Tz ni mascrepa ya zamani zamani ndo tunaziita mpya… ila ndo zenye unafuu wa gharama, gari mpya tutazisubiri sana.

Pia mkuu nikurekebishe kidogo;
  • Import duty ni 25% ya CIF uko sahihi kbs✅
  • Excise duty ni 0%, 5% or 10% tegemeana na cc za gari uko sahihi ila ni % ya CIF+Import duty
  • VAT ni 18% ya CIF+Import duty+Excise duty+Excise duty due to age (kama ipo)
Watanzania wengi ni wa kipato cha chini ndio maana serikali imeweka ushuru mdogo kwenye magari ya zamani ili watu waweze kuyamudu.

Kwa wale wachache wenye vipato vya juu ambao wanataka gari latest, kwa mtazamo wangu naona ni sawa walipe kodi ya juu.
 
Pamoja na machozi yote haya, lakini wabongo wananunua gari kama njugu...

Sipati picha ikija kutokea kuna unafuu wa kuingiza gari toka nje hadi beki 3 watanunuliwa gari halafu na barabara zetu zilivyo finyu...
 
Back
Top Bottom