Serikali kupitia TRA pitieni Mapungufu ya Kikokotoo cha Kukadiria Ushuru wa Kuingiza Magari used

Serikali kupitia TRA pitieni Mapungufu ya Kikokotoo cha Kukadiria Ushuru wa Kuingiza Magari used

Kila nchi zina policy zake, ila sisi ni moja ya nchi tulio na gharama kubwa ya kuimport gari.

Kenya hatupishani sana ila Uganda wako chini sana.
Kenya gari ya mwisho kuingiza ni ya 2017 (8yrs) mwakani inakuwa mwisho 2018.. nje ya hapo haiingii labda ipite tu (IT). Ushuru hautofautiani sana but ni cheaper for the same YOM compared to us (kwa magari madogo)
 
Mkuu unataka kusema matajiri kama bakhresa wenye uwezo wa kununua brand new car walipe ushuru mdogo ama halafu akina sie wenye kudunduliza dollar 3000 kwa ajili ya kuagiza gari mtumba Japan tulipe ushuru mkubwa?!
Itakua sio fair, dunia kote watu wenye vipato vikubwa ndio wanatakiwa kulipa kodi kubwa.
hapana sio kweli hao uliowataja hawawezi nunua ist ni sisi wenyewe hoja ya jamaa ni kwamba mfano unakuta bei ya gari ya 2005 ni 5m ila kodi ni 10m jumla 15m hoja ya mwamba ni kwamba kwa gari ya 2020 mfano iwe 8m afu kodi iwe 3 au 5 ambapo unapata 11m au 13m faida ni kwamba tutapata gari latest kwa bei rahisi lakini kwa sasa gari ya 2020+ kodi yake si chini ya 20m kwa hiyo ist afu bei ya gari unakuta dolla 4500 au 6000
 
Tunaingia mwaka mpya, na ndio muda ambao TRA Tanzania wanapitia tena calculator yao ya kuingiza magari used.

Import Duty, VAT na Excise Duty ndio vinavyochangia tuwe na kodi kubwa sana kwenye kuingiza magari. Na vigezo vikubwa vitatu vinavyotumika ni umri wa gari, displacement na CIF.

Import Duty yenyewe uwa ni 25% ya CIF ya gari husika.

VAT hii uwa 20% ya CIF + Import Duty + Excise Duty + Excise Duty due to Age ya gari.

Excise Duty yenyewe inategemea na displacement ya gari. Chini ya 1000 cc uwa ni 0%, Kati ya 1000 - 2000 cc uwa 5% na juu ya 2000 cc uwa 10% ya CIF+ Import Duty.

Kwahiyo kwa ujumla, ukitoa usajili wa gari, gari la cc chini ya 2000 litakuja kua na jumla ya 50% ya CIF.

Na gari la cc juu ya 2000 litakuja kua na jumla ya 65% ya CIF.

Baadhi ya Mapungufu:

1. CIF mnazozipigia hesabu TRA hamjazi-update na haziendani na uhalisia sokoni. Unaweza kukuta gari nyie mnakadiria ni CIF $10,000 ila kiuhalisia sokoni ina range 5,000 hadi 6,000 average.

2. Magari ya Hybrid na EV hajayapewa nafasi za upendeleo kuunga mkono sela ya green environment. Kama tulivyoahidiwa na Bunge lenu tukufu 2023, kodi zake ilibidi zishuke kama sio msamaha wa VAT na ID ya 0%.

3. Hamjadefine vizuri "used car" kwa term ya milage au year of manufacture (YOM).

Ndio maana mtu atakae import gari la same year nyie mnachukulia kama ni used na analipa ushuru mkubwa. Kwann hawa msingewawekea vigezo mfano used car lazima iwe na either umri kuanzia 1 year au Kilometa kadhaa kwenye Odo.

Nje ya Mada: Mwambieni IT wenu kirefu cha cc kwenye engine displacement ni cubic centimeters na sio cylinder capacity.

View attachment 3181689
Kodi ipo kwenye sheria, TRA anatekeleza tuu, hapo ni kushauri wabunge walete kitu chenye nafuu
 
Tunaingia mwaka mpya, na ndio muda ambao TRA Tanzania wanapitia tena calculator yao ya kuingiza magari used.

Import Duty, VAT na Excise Duty ndio vinavyochangia tuwe na kodi kubwa sana kwenye kuingiza magari. Na vigezo vikubwa vitatu vinavyotumika ni umri wa gari, displacement na CIF.

Import Duty yenyewe uwa ni 25% ya CIF ya gari husika.

VAT hii uwa 20% ya CIF + Import Duty + Excise Duty + Excise Duty due to Age ya gari.

Excise Duty yenyewe inategemea na displacement ya gari. Chini ya 1000 cc uwa ni 0%, Kati ya 1000 - 2000 cc uwa 5% na juu ya 2000 cc uwa 10% ya CIF+ Import Duty.

Kwahiyo kwa ujumla, ukitoa usajili wa gari, gari la cc chini ya 2000 litakuja kua na jumla ya 50% ya CIF.

Na gari la cc juu ya 2000 litakuja kua na jumla ya 65% ya CIF.

Baadhi ya Mapungufu:

1. CIF mnazozipigia hesabu TRA hamjazi-update na haziendani na uhalisia sokoni. Unaweza kukuta gari nyie mnakadiria ni CIF $10,000 ila kiuhalisia sokoni ina range 5,000 hadi 6,000 average.

2. Magari ya Hybrid na EV hajayapewa nafasi za upendeleo kuunga mkono sela ya green environment. Kama tulivyoahidiwa na Bunge lenu tukufu 2023, kodi zake ilibidi zishuke kama sio msamaha wa VAT na ID ya 0%.

3. Hamjadefine vizuri "used car" kwa term ya milage au year of manufacture (YOM).

Ndio maana mtu atakae import gari la same year nyie mnachukulia kama ni used na analipa ushuru mkubwa. Kwann hawa msingewawekea vigezo mfano used car lazima iwe na either umri kuanzia 1 year au Kilometa kadhaa kwenye Odo.

Nje ya Mada: Mwambieni IT wenu kirefu cha cc kwenye engine displacement ni cubic centimeters na sio cylinder capacity.

View attachment 3181689
Hii ni kweli

Imagine unaagiza gari 15M


Ushuru kikokotoo kinapiga 12m
 
Back
Top Bottom