Serikali kupitia TRA pitieni Mapungufu ya Kikokotoo cha Kukadiria Ushuru wa Kuingiza Magari used

Serikali kupitia TRA pitieni Mapungufu ya Kikokotoo cha Kukadiria Ushuru wa Kuingiza Magari used

Watanzania wengi ni wa kipato cha chini ndio maana serikali imeweka ushuru mdogo kwenye magari ya zamani ili watu waweze kuyamudu.

Kwa wale wachache wenye vipato vya juu ambao wanataka gari latest, kwa mtazamo wangu naona ni sawa walipe kodi ya juu.
Uchumi si umekuwa mkuu
 
Ni sahihi kabisa Mkuu; Hiyo calculator inahitaji total reformation.

Kingine, its like wanaencourage watu wanunue magari chakavu na ya zamani yenye high carbon emission badala ya gari mpya zinazotunza mazingira eg;

- Gari 1 ya mwaka 2001 jumla ya ushuru unalipa mil 14 lets say, at the same time gari hiyo hiyo ya mwaka 2017 unalipa ushuru mil33 wengi watakimbilia gari la 2001; ndo maana gari nyingi Tz ni mascrepa ya zamani zamani ndo tunaziita mpya… ila ndo zenye unafuu wa gharama, gari mpya tutazisubiri sana.

Pia mkuu nikurekebishe kidogo;
  • Import duty ni 25% ya CIF uko sahihi kbs✅
  • Excise duty ni 0%, 5% or 10% tegemeana na cc za gari uko sahihi ila ni % ya CIF+Import duty
  • VAT ni 18% ya CIF+Import duty+Excise duty+Excise duty due to age (kama ipo)
Hii ni kweli kabisa na TRA wanatakiwa wabadilishe jinsi ya kutoza kodi za Magari. Wanatakiwa waongeze Kodi kwenye magari chakavu sio Magari mapya. Kuagiza gari mpya Tanzania ni anasa kubwa. Kodi ya kuagiza gari mpya Tanzania ni kubwa mno. Wakati inatakiwa iwe kinyume chake. Tusipoangalia Tanzania itageuka dampo la kuigizia Magari chakavu na kuja kuathiri afya za raia.
 
Hii ni kweli kabisa na TRA wanatakiwa wabadilishe jinsi ya kutoza kodi za Magari. Wanatakiwa waongeze Kodi kwenye magari chakavu sio Magari mapya. Kuagiza gari mpya Tanzania ni anasa kubwa. Kodi ya kuagiza gari mpya Tanzania ni kubwa mno. Wakati inatakiwa iwe kinyume chake. Tusipoangalia Tanzania itageuka dampo la kuigizia Magari chakavu na kuja kuathiri afya za raia.
Mkuu unataka kusema matajiri kama bakhresa wenye uwezo wa kununua brand new car walipe ushuru mdogo ama halafu akina sie wenye kudunduliza dollar 3000 kwa ajili ya kuagiza gari mtumba Japan tulipe ushuru mkubwa?!
Itakua sio fair, dunia kote watu wenye vipato vikubwa ndio wanatakiwa kulipa kodi kubwa.
 
Tunaingia mwaka mpya, na ndio muda ambao TRA Tanzania wanapitia tena calculator yao ya kuingiza magari used.

Import Duty, VAT na Excise Duty ndio vinavyochangia tuwe na kodi kubwa sana kwenye kuingiza magari. Na vigezo vikubwa vitatu vinavyotumika ni umri wa gari, displacement na CIF.

Import Duty yenyewe uwa ni 25% ya CIF ya gari husika.

VAT hii uwa 20% ya CIF + Import Duty + Excise Duty + Excise Duty due to Age ya gari.

Excise Duty yenyewe inategemea na displacement ya gari. Chini ya 1000 cc uwa ni 0%, Kati ya 1000 - 2000 cc uwa 5% na juu ya 2000 cc uwa 10% ya CIF+ Import Duty.

Kwahiyo kwa ujumla, ukitoa usajili wa gari, gari la cc chini ya 2000 litakuja kua na jumla ya 50% ya CIF.

Na gari la cc juu ya 2000 litakuja kua na jumla ya 65% ya CIF.

Baadhi ya Mapungufu:

1. CIF mnazozipigia hesabu TRA hamjazi-update na haziendani na uhalisia sokoni. Unaweza kukuta gari nyie mnakadiria ni CIF $10,000 ila kiuhalisia sokoni ina range 5,000 hadi 6,000 average.

2. Magari ya Hybrid na EV hajayapewa nafasi za upendeleo kuunga mkono sela ya green environment. Kama tulivyoahidiwa na Bunge lenu tukufu 2023, kodi zake ilibidi zishuke kama sio msamaha wa VAT na ID ya 0%.

3. Hamjadefine vizuri "used car" kwa term ya milage au year of manufacture (YOM).

Ndio maana mtu atakae import gari la same year nyie mnachukulia kama ni used na analipa ushuru mkubwa. Kwann hawa msingewawekea vigezo mfano used car lazima iwe na either umri kuanzia 1 year au Kilometa kadhaa kwenye Odo.

Nje ya Mada: Mwambieni IT wenu kirefu cha cc kwenye engine displacement ni cubic centimeters na sio cylinder capacity.

View attachment 3181689
Chura kiziwi,atalifanyia kazi 2030
 
Watanzania wengi ni wa kipato cha chini ndio maana serikali imeweka ushuru mdogo kwenye magari ya zamani ili watu waweze kuyamudu.

Kwa wale wachache wenye vipato vya juu ambao wanataka gari latest, kwa mtazamo wangu naona ni sawa walipe kodi ya juu.
Daah! Aisee
Ila sema nini,
Kama hivi ndivyo basi tuna safari ndeefu sana…
Wakati Dunia inaenda kwenye Next-Gen vehicles sisi bado tunafikiria mikangafu ya 90’s na 2000’s…
That policy should be revised kwa kweli.
 
Daah! Aisee
Ila sema nini,
Kama hivi ndivyo basi tuna safari ndeefu sana…
Wakati Dunia inaenda kwenye Next-Gen vehicles sisi bado tunafikiria mikangafu ya 90’s na 2000’s…
That policy should be revised kwa kweli.
Hiyo next Gen ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu?!
Au mnataka magari mmiliki nyinyi mwenye vipato vya juu.
Halafu hiyo mikangafu ya 90s na 2000s mbona inapigwa kodi ya kawaida + kodi ya uchakavu
 
Tunaingia mwaka mpya, na ndio muda ambao TRA Tanzania wanapitia tena calculator yao ya kuingiza magari used.

Import Duty, VAT na Excise Duty ndio vinavyochangia tuwe na kodi kubwa sana kwenye kuingiza magari. Na vigezo vikubwa vitatu vinavyotumika ni umri wa gari, displacement na CIF.

Import Duty yenyewe uwa ni 25% ya CIF ya gari husika.

VAT hii uwa 20% ya CIF + Import Duty + Excise Duty + Excise Duty due to Age ya gari.

Excise Duty yenyewe inategemea na displacement ya gari. Chini ya 1000 cc uwa ni 0%, Kati ya 1000 - 2000 cc uwa 5% na juu ya 2000 cc uwa 10% ya CIF+ Import Duty.

Kwahiyo kwa ujumla, ukitoa usajili wa gari, gari la cc chini ya 2000 litakuja kua na jumla ya 50% ya CIF.

Na gari la cc juu ya 2000 litakuja kua na jumla ya 65% ya CIF.

Baadhi ya Mapungufu:

1. CIF mnazozipigia hesabu TRA hamjazi-update na haziendani na uhalisia sokoni. Unaweza kukuta gari nyie mnakadiria ni CIF $10,000 ila kiuhalisia sokoni ina range 5,000 hadi 6,000 average.

2. Magari ya Hybrid na EV hajayapewa nafasi za upendeleo kuunga mkono sela ya green environment. Kama tulivyoahidiwa na Bunge lenu tukufu 2023, kodi zake ilibidi zishuke kama sio msamaha wa VAT na ID ya 0%.

3. Hamjadefine vizuri "used car" kwa term ya milage au year of manufacture (YOM).

Ndio maana mtu atakae import gari la same year nyie mnachukulia kama ni used na analipa ushuru mkubwa. Kwann hawa msingewawekea vigezo mfano used car lazima iwe na either umri kuanzia 1 year au Kilometa kadhaa kwenye Odo.

Nje ya Mada: Mwambieni IT wenu kirefu cha cc kwenye engine displacement ni cubic centimeters na sio cylinder capacity.

View attachment 3181689
Point No. 2 kwenye EVs na Hybrids, tungepata watengeneza sera wanao-ona mbali tungejiweka kwenye nafasi nzuri sana kama nchi.
 
Sure,
Point No. 2 kwenye EVs na Hybrids, tungepata watengeneza sera wanao-ona mbali tungejiweka kwenye nafasi nzuri sana kama nchi

Point No. 2 kwenye EVs na Hybrids, tungepata watengeneza sera wanao-ona mbali tungejiweka kwenye nafasi nzuri sana kama nchi.
Sure,
And thats where we should start to focus kwa faida ya baadae
 
Bila kulifanya suala hili liwachachafye wanasiasa hakuna kitu kitafanyika. Kwani nchi zingine za SADC zinafanyaje kwenye kodi ya magari?
 
Bila kulifanya suala hili liwachachafye wanasiasa hakuna kitu kitafanyika. Kwani nchi zingine za SADC zinafanyaje kwenye kodi ya magari?
Kila nchi zina policy zake, ila sisi ni moja ya nchi tulio na gharama kubwa ya kuimport gari.

Kenya hatupishani sana ila Uganda wako chini sana.
 
Kwa hawa TRA Inabidi uwe mjanja sana. La sivyo utapigwa kodi kubwa, narudia inabidi uwe mjanja sana.
 
Kwe
Kweli mbuzi-gitaa, maana watunga sheria wetu, wao hujisikia haziwahusu bali huzitunga ili ZITUTUNGUE sisi watungiwa = walala hoi a.k.a walalamikaji na hakuna anayewajali ! " Eeh MUNGU utusikie".
Bwana utuhurumie!!
 
Back
Top Bottom