Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lake Tangayika, KigomaMorogoro hotel
Dodoma hotel
Hizi selikal ni kama zake sio kwa sababu ya majjna laa
Mpaka mademu walikuwa wanatafutiwaHotel za serikali?? Si ndio itakuwa pango la wakuu wa wilaya, mikoa, makatibu na mawaziri kulala bure 😱
Serikali isipoteze fedha kwenye biashara. Hawawezi.
Arusha hotel haijawahi kuwa ya serikali ila nayo na Mt Meru Hotel zina hali mbaya sanaArusha hotel
Dodoma hotel
Mwanza hotel
Zipo zingine za upande wa pili...
NB
Taarifa hii ina weza kuwa sio sahihi, ni ya kufikirisha
Huyu naibu waziri inafaa atumbuliwe upesi.Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja amesema Serikali imejipanga kuboresha huduma kwa watalii katika nyanja mbalimbali ili kuvutia watalii wengi zaidi ikiwa ni mkakati wa kuwafanya watalii hao kuongeza siku za kukaa nchini na hatimaye kukuza pato la Taifa...
Kilimanjaro holet aka Hyatt Regency... morogoro hotel... Arisha hotel na nyingine nyingi.
Sio kwamba hoteli hizo za serikali zinazoendeshwa kwa ubia na sekta binafsi zinapata hasara. Ukweli ukifanyika ukaguzi na taasisi yenye uadilifu utakuta wabia wa serikali sekta binafsi ndio wanapata faida huku wakiweza kuionyesha serikali kuna hasara. kwa lugha rahisi ni kwamba kuna ufisadi mkubwa unafanyika ili sekta binafsi waendeshe hoteli kama yao na huku wawekezaji ambao ni umma kupitia serikali yao wakiambulia nunge. vigogo wahusika serikalini kupitia wakuregenzi kutoka serikali wanaowekwa kwenye bodi ya hizo hoteli wanashirikiana na sekta binafsi kula mapato yatokanayo na uwekezaji wa umma.Kama hadi sekta binafsi imeshindwa kuziendesha zifanywe hostel tu, chuo cha ufundi au shule ya boarding. Hakuna biashara ya Hotel hapo, ni Serikali itaenda kutapanya tu pesa za walipakodi. Serikali haitakaa iwe na ufanisi kuliko sekta binafsi katika biashara ya Hotel
Sio kwamba hoteli hizo za serikali zinazoendeshwa kwa ubia na sekta binafsi zinapata hasara. Ukweli ukifanyika ukaguzi na taasisi yenye uadilifu utakuta wabia wa serikali sekta binafsi ndio wanapata faida huku wakiweza kuionyesha serikali kuna hasara. kwa lugha rahisi ni kwamba kuna ufisadi mkubwa unafanyika ili sekta binafsi waendeshe hoteli kama yao na huku wawekezaji ambao ni umma kupitia serikali yao wakiambulia nunge. vigogo wahusika serikalini kupitia wakuregenzi kutoka serikali wanaowekwa kwenye bodi ya hizo hoteli wanashirikiana na sekta binafsi kula mapato yatokanayo na uwekezaji wa umma.
Badala ya kuzirejesha hotelI kuendeshwa na yenyewe inabidi SERIKALI kujitafakari kwanza kwani sekta binafsi ndio wako vizuri kuendesha hoteli.
muuu! 'comments reserved'Serikali ya awamu ya tano tu ndio ilikuwa inasema ukweli mkuu
Mbeya Hotel,
Uko sahihi sana mkuu.Kama hadi sekta binafsi imeshindwa kuziendesha zifanywe hostel tu, chuo cha ufundi au shule ya boarding. Hakuna biashara ya Hotel hapo, ni Serikali itaenda kutapanya tu pesa za walipakodi. Serikali haitakaa iwe na ufanisi kuliko sekta binafsi katika biashara ya Hotel.