Serikali kurejesha hoteli zake zinazoendeshwa na sekta binafsi ili kuboresha huduma

Wengine watakuwa wanalala na kula bure huko
+ Kunyanduana bure kwa vigogo na chawa wao.
Ni hadithi za kipigaji hizo.
ATCL tu kila siku inatia hasara wanataka kuongeza hasara juu ya mahasara.
Watuonee huruma deni la taifa linazidi kupaa veri suni litafika mawinguni.
 
Hayo majengo yapigwe mnada,serikali isijihusishe na biashara.
Period
 
Tumeanza kurudi huko tulikoshindwa! Hawa vijana huko Serikalini hawasomi historia!! Hawajajua kinachotofautisha utendaji katika sekta ya umma na utendaji katika sekta binafsi? Wakati mwingine kukaa kimya kuna faida ya kuficha kuficha kiwango cha ujinga wako. Jaribu kurudisha uzalishaji wa bia kwenye Shirika la umma uone tofauti itakayotokea. Air Tanzania iko peke yake sasa lakini inapokea hela ya business class bila kutoa huduma uliyolipia pale kiwanjani!
 
Arusha hotel
Dodoma hotel
Mwanza hotel
Zipo zingine za upande wa pili...

NB
Taarifa hii ina weza kuwa sio sahihi, ni ya kufikirisha
Kiufupi karibu kila mkoa kulikuwa ba hotel ya serikali
 
Hivi ilo gofu hapo near posta office or ppf tower kulikoni ...maana miaka nenda Rudi liko ivo ivo ..hata mwekezaji hakuna au kuna mgogoro?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…