Kenya 2022 Serikali kusambaza Askari mitaani kulinda Maamuzi ya Mahakama Kuu

Kenya 2022 Serikali kusambaza Askari mitaani kulinda Maamuzi ya Mahakama Kuu

Kenya 2022 General Election

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Wakati maamuzi ya Mahakama Kuu kuhusu hatma ya Matokeo ya Urais yakisubiriwa nchini kote, Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Edward Mbugua ameagiza Makamanda wote wa Mikoa kusambaza Askari, Vifaa na Mitambo ya Usalama ili kudhibiti majaribio yoyote ya uhalifu.

Hatua hiyo inajiri ikiwa ni siku moja imepita tangu Ubalozi wa Marekani nchini humo utoe tahadhari ya usalama na zuio la usafiri kwa raia kutokana na hofu ya vurugu za mapokeo ya uamuzi wa Majaji kuhusu Matokeo ya Urais utaokaotolewa Septemba 5,2022.

Ujumbe wa Mbugua unasema “Kulingana na uamuzi huo, tunatarajia mijadala mbalimbali kutoka kwa wananchi katika maeneo hatarishi kama vile vurugu na uharibifu wa mali, maandamano na sherehe. Hivyo nakuagiza kuandaa operesheni ya jinsi ya kukabiliana na matokeo ya Uamuzi wa Mahakama,”.

============================

The government has begun moving security officers, equipment and machinery across the country in anticipation of celebrations or protests in some towns and urban centres when the Supreme Court delivers its ruling on the presidential petition on Monday.

The move comes as the Nation established that Inspector-General of Police Hillary Mutyambai, who has spent the last 12 days in hospital, was discharged and could be back in control of the service in the coming days.

The IG was rushed to the Aga Khan Hospital and placed in the High Dependency Unit (HDU) after complaining of breathing difficulties before collapsing at his Karen home in Nairobi. He was discharged on Thursday afternoon.

Not taking a chance
The National Police Service is not taking a chance ahead of the declaration of the outcome of the presidential petition on Monday. Deputy Inspector-General of the National Police Service Edward Mbugua has ordered all regional commanders to deploy their officers in hot spot areas.

“The Supreme Court of Kenya will make a ruling on the presidential petition on Monday, September 5,” the DIG said in a letter to all regional commanders.

“Depending on the ruling, we expect various reactions from the public in hotspot areas such as violence and destruction of property, demonstrations and celebrations. You are directed to prepare operation orders on how to deal with the aftermath of the court ruling,” ordered the DIG.

Movement restrictions
The order by Mr Mbugua came a day after the US imposed movement restrictions on its personnel in Kisumu.

The lake side city was named by the National Cohesion and Integration Commission as one of the counties with the highest risk of election-related violence before the August polls.

Read: US issues security alert on Kisumu ahead of Supreme Court ruling

“Election-related demonstrations and rallies regularly take place after elections, at times blocking key intersections and causing traffic jams. Demonstrations may occasionally be violent, requiring police intervention. Strikes and other protest activities related to economic conditions occur regularly,” warned the US embassy.

“Out of an abundance of caution, the US Embassy has imposed movement restrictions on its government personnel in Kisumu. The State Department reminds US citizens of the continued need for sustained vigilance,” added the Embassy.

NATION AFRICA
 
Huku kwetu kilio changu ni hiki hapa;

"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike"!
 
Back
Top Bottom