Engineer,
Hapa JF kuna sections mbalimbali ikiwemo ushauri, uchumi na biashara, jaribu kupitia na utaona watu wanatoa ushauri kwa serikali.......hata hapa hapa section ya siasa watu hutoa ushauri.................................kama utapenda kuona kile unachotaka unakuwa huwatenedei haki wanaJF amabo wanajitahidi kil kukicha kutoa ushauri...................
kama wewe kweli ni mserikali.................hii inathibitisha tatizo la serikali kwamba hata wawe exposed vipi au hata waelemishwe vipi bado wao hawaoni cha kuchukua na kupractice kwa faida ya wananchi............. tatizo lile lile kufunga masikioo na kujifanya hakuna solution...................hivi unataka kuniambia kwa mfano katika mikataba ya madini viongozi wetu walishindwa hata kuiga kidogo kutoka Botswana wenzetu wamewakaje sheria zao za madini na mikataba yao ikoje..............au ndio ile ile hadithi ya kutaka kuona na kula unachopenda???..............haw haw aviongozi wetu kila kukicha wako majuu.............hivi wanajifunza nini huko??...............ndio maana mtu kama Mungai et al .................nawashnagaa wanafanya nini kwenye cabinet hadi leo hii pamoja na usomi na exposure yao in maendeleo yet still.............they don't practice/implement project za uhakika hapa nyumbani..................
Engineer.........Ushauri ni pamoja na kuipigia kelele serikali kuwa inachokifanya itailetea hasara TAIFA...................kama wangekuwa wa kusikiliza ushauri................basi atleast hata hizi kelele za hapa JF wangezisikia..................wameamua kuziba masikio na kusema TUNAPAA.....na huku RICHMONDs zikiendelea
Hapa JF kuna sections mbalimbali ikiwemo ushauri, uchumi na biashara, jaribu kupitia na utaona watu wanatoa ushauri kwa serikali.......hata hapa hapa section ya siasa watu hutoa ushauri.................................kama utapenda kuona kile unachotaka unakuwa huwatenedei haki wanaJF amabo wanajitahidi kil kukicha kutoa ushauri...................
kama wewe kweli ni mserikali.................hii inathibitisha tatizo la serikali kwamba hata wawe exposed vipi au hata waelemishwe vipi bado wao hawaoni cha kuchukua na kupractice kwa faida ya wananchi............. tatizo lile lile kufunga masikioo na kujifanya hakuna solution...................hivi unataka kuniambia kwa mfano katika mikataba ya madini viongozi wetu walishindwa hata kuiga kidogo kutoka Botswana wenzetu wamewakaje sheria zao za madini na mikataba yao ikoje..............au ndio ile ile hadithi ya kutaka kuona na kula unachopenda???..............haw haw aviongozi wetu kila kukicha wako majuu.............hivi wanajifunza nini huko??...............ndio maana mtu kama Mungai et al .................nawashnagaa wanafanya nini kwenye cabinet hadi leo hii pamoja na usomi na exposure yao in maendeleo yet still.............they don't practice/implement project za uhakika hapa nyumbani..................
Engineer.........Ushauri ni pamoja na kuipigia kelele serikali kuwa inachokifanya itailetea hasara TAIFA...................kama wangekuwa wa kusikiliza ushauri................basi atleast hata hizi kelele za hapa JF wangezisikia..................wameamua kuziba masikio na kusema TUNAPAA.....na huku RICHMONDs zikiendelea