Serikali Kuu ya JamiiForums

Serikali Kuu ya JamiiForums

Chief-Mkwawa, The Return of Undertaker lazima waingie
Waacha wagawianeni vyeo lakin tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF

Rais - Mheshimiwa Kiranga
Makamu wa Rais- Shunie
Waziri Mkuu- Pascal Mayalla

Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume

Waziri wa Mipango na Fedha - BAK
Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu
Waziri Wa mambo ya ndani britanicca
Waziri Wa Kilimo jmushi1
Waziri Wa sayansi na teknolojia barafu

Waziri Wa ujenzi Daudi Mchambuzi

Waziri Wa habari Papa Mobimba

Waziri Wa sanaa jinsia na watoto manengelo

Waziri Wa utamaduni Sky Eclat

Waziri wa ulinzi na usalama Wa Taifa GENTAMYCINE
Waziri wa afya Mshana Jr
Spika Wa Bunge joanah

Naibu spika Karma

CAG Mzigua90

CDF Atoto

IGP Sakayo


Jaji Mkuu peter e mselewa

Kambi rasmi ya Upinzani
Mkuu wake ni Kigogo2014

Msaidizi venchwa

Abinder seth Wa Taifa luambo makiadi

Au siyo
 
Kweli hutaki urais wa "US" !? Hii mpya Ha ha h aaaa!
Uzuri au ubaya nimeanza kutembea corridors za Ikulu tangu nipo tumboni mwa mama yangu.

Enzi hizo za Miss Wicken na Paul Sozigwa.

By the time niko darasa la nne nishakinai habari zao, nishampiga kibao mtoto wa rais kwa sababu aliniringishia sarafu yenye picha ya baba yake. Kumuonesha tu kwamba wote tuko sawa.

Habari za urais nishakinai zamani sana.
 
Uzuri au ubaya nimeanza kutembea corridors za Ikulu tangu nipo tumboni mwa mama yangu.

Enzi hizo za Miss Wicken na Paul Sozigwa.

By the time niko darasa la nne nishakinai habari zao, nishampiga kibao mtoto wa rais kwa sababu aliniringishia sarafu yenye picha ya baba yake. Kumuonesha tu kwamba wote tuko sawa.

Habari za urais nishakinai zamani sana.


Safi sana!
 
Uzuri au ubaya nimeanza kutembea corridors za Ikulu tangu nipo tumboni mwa mama yangu.

Enzi hizo za Miss Wicken na Paul Sozigwa.

By the time niko darasa la nne nishakinai habari zao, nishampiga kibao mtoto wa rais kwa sababu aliniringishia sarafu yenye picha ya baba yake. Kumuonesha tu kwamba wote tuko sawa.

Habari za urais nishakinai zamani sana.
Yap huyu ndiye Kiranga ninayemjua...atageuza maneno mpaka umuache aende zake.😂😂😂😂😂
 
Waacha wagawianeni vyeo lakin tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF

Rais - Mheshimiwa Kiranga
Makamu wa Rais- Shunie
Waziri Mkuu- Pascal Mayalla

Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume

Waziri wa Mipango na Fedha - BAK
Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu
Waziri Wa mambo ya ndani britanicca
Waziri Wa Kilimo jmushi1
Waziri Wa sayansi na teknolojia barafu

Waziri Wa ujenzi Daudi Mchambuzi

Waziri Wa habari Papa Mobimba

Waziri Wa sanaa jinsia na watoto manengelo

Waziri Wa utamaduni Sky Eclat

Waziri wa ulinzi na usalama Wa Taifa GENTAMYCINE
Waziri wa afya Mshana Jr
Spika Wa Bunge joanah

Naibu spika Karma

CAG Mzigua90

CDF Atoto

IGP Sakayo


Jaji Mkuu peter e mselewa

Kambi rasmi ya Upinzani
Mkuu wake ni Kigogo2014

Msaidizi venchwa

Abinder seth Wa Taifa luambo makiadi

Au siyo
Techonology hapo ni chief mkwawa...
 
Back
Top Bottom