Mimi nahisi nitapewa kazi ya waziri ya nchi anayehusika na vijana kazi na Bunge. Kile kimama kinokoooooo!!!!!
Kawe Alumni ndiye Musiba wa Jf.
Mkuu nipo hapa sunset Boulevard![emoji41][emoji41][emoji41]Wewe subiri awamu ijayo
Just be there mkuuMkuu nipo hapa sunset Boulevard![emoji41][emoji41][emoji41]
Una skills za ku run business ya anga ?Barafu ni ceo wa ATCL.
Sio mimi. Mimi ni barafuyamoto. Kuna barafu humu yuko well informed sana mambo ya anga humu na aviation kwa ujumΔΊa.Una skills za ku run business ya anga ?
Nikajua barafu weweSio mimi. Mimi ni barafuyamoto. Kuna barafu humu yuko well informed sana mambo ya anga humu na aviation kwa ujumΔΊa.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]ati mie msaidizi wako
Halafu kulwa nina duku duku langu juu yako[emoji3]
Nakuona naibu spika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani dah kwamba sie ndiyo tunachongesha sana midomo humu ndani
Loh!!kumbe ndio tafsiri yake?[emoji44][emoji44]
Kwa hiyo mie spika wa JF [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwa kweli wamekuonea tu
Msinihusishe π‘π‘ me kwa sasa ni muhasi wa serikali yenu ya kidikteta.Kama ndo tafsiri yake hata unaibu spika haunifai asee πππ
Kuna kina Depal SweetieLee au hata troublemaker angekuwa spika ππ
Mshana labda awe waziri wa michezo na utamaduniWaacha wagawianeni vyeo lakin tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF
Rais - Mheshimiwa Kiranga
Makamu wa Rais- Shunie
Waziri Mkuu- Pascal Mayalla
Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume
Waziri wa Mipango na Fedha - BAK
Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu
Waziri Wa mambo ya ndani britanicca
Waziri Wa Kilimo jmushi1
Waziri Wa sayansi na teknolojia barafu
Waziri Wa ujenzi Daudi Mchambuzi
Waziri Wa habari Papa Mobimba
Waziri Wa sanaa jinsia na watoto manengelo
Waziri Wa utamaduni Sky Eclat
Waziri wa ulinzi na usalama Wa Taifa GENTAMYCINE
Waziri wa afya Mshana Jr
Spika Wa Bunge joanah
Naibu spika Karma
CAG Mzigua90
CDF Atoto
IGP Sakayo
Jaji Mkuu peter e mselewa
Kambi rasmi ya Upinzani
Mkuu wake ni Kigogo2014
Msaidizi venchwa
Abinder seth Wa Taifa luambo makiadi
Au siyo
Katika ubora wako hahahahaWale wananchi ambao hatupigi kura huwa tunashinda vilabuni kwenye draft ,pooltable ,kwenye vibarua vyetu ,kwenye shughuli zetu ,mizunguko ya hapa na pale tujuane hapa
Ombi kwa mh waziri wa ujenzi aiboreshe barabara ya kuelekea jukwaa la MMU
Kama ndo tafsiri yake hata unaibu spika haunifai asee [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kina Depal SweetieLee au hata troublemaker angekuwa spika [emoji23][emoji23]
Msinihusishe π‘π‘ me kwa sasa ni muhasi wa serikali yenu ya kidikteta.