Serikali Kuu ya JamiiForums

Serikali Kuu ya JamiiForums

Waacha wagawianeni vyeo lakin tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF

Rais - Mheshimiwa Kiranga
Makamu wa Rais- Shunie
Waziri Mkuu- Pascal Mayalla

Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume

Waziri wa Mipango na Fedha - BAK
Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu
Waziri Wa mambo ya ndani britanicca
Waziri Wa Kilimo jmushi1
Waziri Wa sayansi na teknolojia barafu

Waziri Wa ujenzi Daudi Mchambuzi

Waziri Wa habari Papa Mobimba

Waziri Wa sanaa jinsia na watoto manengelo

Waziri Wa utamaduni Sky Eclat

Waziri wa ulinzi na usalama Wa Taifa GENTAMYCINE
Waziri wa afya Mshana Jr
Spika Wa Bunge joanah

Naibu spika Karma

CAG Mzigua90

CDF Atoto

IGP Sakayo


Jaji Mkuu peter e mselewa

Kambi rasmi ya Upinzani
Mkuu wake ni Kigogo2014

Msaidizi venchwa

Abinder seth Wa Taifa luambo makiadi

Au siyo
Mshana labda awe waziri wa michezo na utamaduni
 
Wale wananchi ambao hatupigi kura huwa tunashinda vilabuni kwenye draft ,pooltable ,kwenye vibarua vyetu ,kwenye shughuli zetu ,mizunguko ya hapa na pale tujuane hapa


Ombi kwa mh waziri wa ujenzi aiboreshe barabara ya kuelekea jukwaa la MMU
Katika ubora wako hahahaha
 
Back
Top Bottom