crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
Kabisa mkuuMimi nahisi nitapewa kazi ya waziri ya nchi anayehusika na vijana kazi na Bunge. Kile kimama kinokoooooo!!!!!
Kawe Alumni ndiye Musiba wa Jf.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuMimi nahisi nitapewa kazi ya waziri ya nchi anayehusika na vijana kazi na Bunge. Kile kimama kinokoooooo!!!!!
Kawe Alumni ndiye Musiba wa Jf.
nahunga hojaWale wananchi ambao hatupigi kura huwa tunashinda vilabuni kwenye draft ,pooltable ,kwenye vibarua vyetu ,kwenye shughuli zetu ,mizunguko ya hapa na pale tujuane hapa
Ombi kwa mh waziri wa ujenzi aiboreshe barabara ya kuelekea jukwaa la MMU
niko paleHuu nao ni udikteta kutuchagulia viongozi kibabe bila kupiga kura.
Napinga hili, rasmi nitakuwa muasi.
Waziri wa sayansi na teknolojia napinga apewe Chief MkwawaWaacha wagawianeni vyeo lakin tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF
Rais - Mheshimiwa Kiranga
Makamu wa Rais- Shunie
Waziri Mkuu- Pascal Mayalla
Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume
Waziri wa Mipango na Fedha - BAK
Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu
Waziri Wa mambo ya ndani britanicca
Waziri Wa Kilimo jmushi1
Waziri Wa sayansi na teknolojia barafu
Waziri Wa ujenzi Daudi Mchambuzi
Waziri Wa habari Papa Mobimba
Waziri Wa sanaa jinsia na watoto manengelo
Waziri Wa utamaduni Sky Eclat
Waziri wa ulinzi na usalama Wa Taifa GENTAMYCINE
Waziri wa afya Mshana Jr
Spika Wa Bunge joanah
Naibu spika Karma
CAG Mzigua90
CDF Atoto
IGP Sakayo
Jaji Mkuu peter e mselewa
Kambi rasmi ya Upinzani
Mkuu wake ni Kigogo2014
Msaidizi venchwa
Abinder seth Wa Taifa luambo makiadi
Au siyo
Dah! Kwa nini tusiunge mkono?Mkuu usijali, sisi tutakuwa wazee wa KUPINGA KILA KITU.
Sisi wanaume hatufai kuwa naibu speaker?
Nimekupa urais kwa kufuata kodi zangu nazojua , kipindi tumeenda SA kwenye Comettee fulani niliwachekesha sana when I said I want to die 17, Mkapa akavua miwani, sisimulii sana naishia hapaUzuri au ubaya nimeanza kutembea corridors za Ikulu tangu nipo tumboni mwa mama yangu.
Enzi hizo za Miss Wicken na Paul Sozigwa.
By the time niko darasa la nne nishakinai habari zao, nishampiga kibao mtoto wa rais kwa sababu aliniringishia sarafu yenye picha ya baba yake. Kumuonesha tu kwamba wote tuko sawa.
Habari za urais nishakinai zamani sana.
😁😁😁😁britanicca ungekuwa wizara moja na mm ningekufanyia figisu had uondolewe🤒🤒
Wewe subiri awamu ijayoSisi wanaume hatufai kuwa naibu speaker?
Waziri wa masuala ya watoto Miss Natafuta
Kaona kwa kua umefanana na Anne Makinda.
Mheshimiwa spikeeeeeeeer...! Tunakuomba uende ukatibiwe nje hata mafua tu,uambatane na jopo la wasaidizi wako. Check up yako itagharimu tubilioni tuchache. Achilia mbali wapige kelele zao tu wanoko wa nchi hii ya JF,we nenda tu kachekiwe. Gharama zote zitagharimiwa na serikali yako tukufu ya nchi hii ya Jf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Spika wa bunge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
You made my day britanicca hakyanani!!!
Sisi wanaume hatufai kuwa naibu speaker?
You are far too kind.Nimekupa urais kwa kufuata kodi zangu nazojua , kipindi tumeenda SA kwenye Comettee fulani niliwachekesha sana when I said I want to die 17, Mkapa akavua miwani, sisimulii sana naishia hapa
Ahahaaaa...! Huto ni size yako mheshimiwa spikeeerHalafu hii hali ya hewa imenifanya nipate tumafua twa hapa na pale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu nichukue tubilioni tunne nikajitibu [emoji23][emoji23]