GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwamba mimi hata uenyekiti wa kijiji sipo
Daah
Si umeshapewa Cheo cha DGIS Mkuu? Tatizo liko wapi? Na hata Mimi nakubaliana kabisa kuwa hicho Cheo Kinakufaa hasa. britanicca kama itakufaa / kukupendeza tafadhali rejea katika ' Content ' ya Uzi wako na weka Cheo cha DGIS na Mtaje hapo Mkuu wetu huyu Baba Swalehe kwani kwa ' Ubobezi ' wake Cheo hicho Kinamstahili kabisa. Nitakushukuru.